johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
CCM imefanya mambo makubwa ndani ya hii miaka 5 ya Rais Magufuli na hili wananchi wote wanalijua.
Tundu Lissu amekuwa ni mtu wa kulalamika na kushutumu huku akipinga kila jambo litendwalo na CCM. Nampa tu angalizo kuwa urais wa JMT siyo sawa na ule wa TLS, watanzania watataka kusikia malengo yake na siyo malalamishi yake.
Tupingane kwa hoja na data na tusionyeshane ubingwa wa kutema povu, maana Lissu povu ndio zake.
Nawatakia kila la kheri, tukutane kwenye kampeni.
Maendeleo hayana vyama!
cc: Daudi Mchambuzi Pascal Mayalla na mmawia & mrangi
Tundu Lissu amekuwa ni mtu wa kulalamika na kushutumu huku akipinga kila jambo litendwalo na CCM. Nampa tu angalizo kuwa urais wa JMT siyo sawa na ule wa TLS, watanzania watataka kusikia malengo yake na siyo malalamishi yake.
Tupingane kwa hoja na data na tusionyeshane ubingwa wa kutema povu, maana Lissu povu ndio zake.
Nawatakia kila la kheri, tukutane kwenye kampeni.
Maendeleo hayana vyama!
cc: Daudi Mchambuzi Pascal Mayalla na mmawia & mrangi