Uchaguzi 2020 Nategemea kumuona Tundu Lissu akitufafanulia ilani ya CHADEMA badala ya kulalamika lalamika wakati wa kampeni!

Uchaguzi 2020 Nategemea kumuona Tundu Lissu akitufafanulia ilani ya CHADEMA badala ya kulalamika lalamika wakati wa kampeni!

Ana cha kuongea sasa hapo ukute hata ilani ya chama haijui anachojua yeye ni kutukana nchi yake na viongozi basi huyu na alaaniwe.
Wewe akili kisoda, kama anaweza kuichambua sheria na kuwashinda mapilato wetu huko mahakamani, atashindwaje kuifafanua irani ya chama?
 
Usimpangie cha kufanya wakati wa kampeni TAL siyo wa kupangiwa cha kuongea.


Ukiwa kama kada wa CCM ktk kampeni usimsahau mzee wa uno atakuwa anabeba ilani ya ccm muda wote akiwa kwenye msafara wa JPM
CCM imefanya mambo makubwa ndani ya hii miaka 5 ya Rais Magufuli na hili wananchi wote wanalijua.

Tundu Lissu amekuwa ni mtu wa kulalamika na kushutumu huku akipinga kila jambo litendwalo na CCM. Nampa tu angalizo kuwa urais wa JMT siyo sawa na ule wa TLS, watanzania watataka kusikia malengo yake na siyo malalamishi yake.

Tupingane kwa hoja na data na tusionyeshane ubingwa wa kutema povu, maana Lissu povu ndio zake.

Nawatakia kila la kheri, tukutane kwenye kampeni.

Maendeleo hayana vyama!

cc: Daudi Mchambuzi Pascal Mayalla na mmawia & mrangi
 
... wata-desa hayo hayo.
kwa kudesa yuko vizuri kama juzi tu hapa alikuja kuzindua kiwanda kinapiga kazi tangia utawala wa marehemu nkapa atashindwa kweli kudesa miradi ya kikwete?
 
Kwenye uchaguzi huu tuwaache wanasiasa wapambane, polis kaeni pembeni, msajili atulie tuliiii.wananchi wataamua kwenye sanduku LA kura nani wanamtaka
 
Tunaomba development vission ya kufikia 2025 na progress yake ipoje kuelekea miaka mitano iliyobaki
 
CCM imefanya mambo makubwa ndani ya hii miaka 5 ya Rais Magufuli na hili wananchi wote wanalijua.

Tundu Lissu amekuwa ni mtu wa kulalamika na kushutumu huku akipinga kila jambo litendwalo na CCM. Nampa tu angalizo kuwa urais wa JMT siyo sawa na ule wa TLS, watanzania watataka kusikia malengo yake na siyo malalamishi yake.

Tupingane kwa hoja na data na tusionyeshane ubingwa wa kutema povu, maana Lissu povu ndio zake.

Nawatakia kila la kheri, tukutane kwenye kampeni.

Maendeleo hayana vyama!

cc: Daudi Mchambuzi Pascal Mayalla na mmawia & mrangi
Mkuu hivi haya mengi yaliyofanywa na ccm awamu hii ni yapi kiasi kwamba jpm aonekana kafanya kazi kubwa mno ndani ya hii miaka 5?? Binafsi sijaona kilichobadilika zaidi ya pesa kuadimika tu.
Kwa mimi kikwete alifanya zaidi ya haya sioni cha ajabu alichofanya jpm vingi ni wajibu wa serikali na vingine vingi havijatekelezwa achilia mbali kufanywa kidogo na kukuzwa na wanasiasa uchwara
Jpm anakuzwa zaidi ya uhalisia na hii yote ni kwasababu hakosolewi
 
CCM imefanya mambo makubwa ndani ya hii miaka 5 ya Rais Magufuli na hili wananchi wote wanalijua.

Tundu Lissu amekuwa ni mtu wa kulalamika na kushutumu huku akipinga kila jambo litendwalo na CCM. Nampa tu angalizo kuwa urais wa JMT siyo sawa na ule wa TLS, watanzania watataka kusikia malengo yake na siyo malalamishi yake.

Tupingane kwa hoja na data na tusionyeshane ubingwa wa kutema povu, maana Lissu povu ndio zake.

Nawatakia kila la kheri, tukutane kwenye kampeni.

Maendeleo hayana vyama!

cc: Daudi Mchambuzi Pascal Mayalla na mmawia & mrangi
Kumbe ccm ipo kwa miaka5 tu haya bwana mahaba niue ya mwenyekiti kwani we toka umezaliwa una miaka mitano tu.
 
Back
Top Bottom