Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi na ufuksa wangu wote niliacha kuzama uvinza baada ya kupigwa na kitu kizitoWakuu Salaam!.
Juzi nikiwa nimemaliza dozi ya UTI nikasema ngoja nijipe pole kwa kujivinjari na mpenzi wangu.
Katika kujivinjari akaniomba nizame uvinza na mimi bila hiana nikazama, Tukafanya ya kufanya mpaka mwisho.
Sasa Leo nimeamka mdomoni kwa pembeni kukiwa na upele wa kutosha,Now natembea nimevaa Barakoa Ili kuficha hivi vipele.
Ndugu zangu tusizame tena uvinza hakufai.
Nawasilisha.
AiseeeKuna mwamba kazikwa juzi kati kwa Kansa ya koo
Shukuran mkuu.Wahi mapema kanunue hako kamzigoView attachment 2705371
Unasukutua dakika3 unameza usitemeShukuran mkuu.
Pole sana mzeeWakuu Salaam!.
Juzi nikiwa nimemaliza dozi ya UTI nikasema ngoja nijipe pole kwa kujivinjari na mpenzi wangu.
Katika kujivinjari akaniomba nizame uvinza na mimi bila hiana nikazama, Tukafanya ya kufanya mpaka mwisho.
Sasa Leo nimeamka mdomoni kwa pembeni kukiwa na upele wa kutosha,Now natembea nimevaa Barakoa Ili kuficha hivi vipele.
Ndugu zangu tusizame tena uvinza hakufai.
Nawasilisha.
Shukuran mkuu nishachukua mzigoUnasukutua dakika3 unameza usiteme
Shukuran mkuu nishachukua mzigoUnasukutua dakika3 unameza usiteme
Aisee [emoji23]Mimi hutumia vile vimfuko vyepesiii (vifriji) au tray wrapper .. naziweka juu namlamba
[emoji41]Tatizo ni fungus na UTI....pia tukitoka kumaliza period haifai unipige deki.....afu umenifanya nikumbuke raha yake ..Daaa[emoji39][emoji31]
Halafu wewe mdada comment zako zinatuamsha mapema sana sijui una ajenda gani na sisi madume ya simba.Nikiufikiria uchi wa mwanamke ulivyo na mambo mengi halafu kuna mdau anazama ndani! [emoji119][emoji119]
Member wa kwanza JF kukiri hatumii muda mrefu.Sisi ambao hatutumii mda mrefu kufanya huwa tunazama angalau ku buy time mzee.