Natengeneza projects za aina yoyote bure njoo na idea yako tuu hakikisha ni nzuri na yenye kunufaisha. Soma maelekezo kwa kuelewa

Natengeneza projects za aina yoyote bure njoo na idea yako tuu hakikisha ni nzuri na yenye kunufaisha. Soma maelekezo kwa kuelewa

Kwa nini usitengrneze zako mwenyewe uuze. Seremala huunda vitu na kuviuza au hupokea oda na kumtenenezea mteja. Sasa wewe selemala wa mifumo kwa nini usiunde samani zako uziuze kuliko mtu akuletee ramani za samani, wewe mi selemala wa aina gani(selema =IT).
 
Wakuu mko salama

Iwe application ya simu, desktop application, web systems zote hizi nazitengeza...

Cost za server na bundle ni juu yako application ikikamilika ndo tutagawana faida
Karibu kwenye industry, ajili Yako itakua tu!
 
Kwa nini usitengrneze zako mwenyewe uuze. Seremala huunda vitu na kuviuza au hupokea oda na kumtenenezea mteja. Sasa wewe selemala wa mifumo kwa nini usiunde samani zako uziuze kuliko mtu akuletee ramani za samani, wewe mi selemala wa aina gani(selema =IT).
huwez ukawa na kila kitu.
 
huwez ukawa na kila kitu.
Kama ni hivyo utaunda kitu kibaya.
Natumia mfumo wa ESS wa utumishi, yaani kuna makosa ya ajabu yamefanywa na waunda mfumo, ina naana walusakiziwa tu kazi .
Kama huna talent ya kitu usisome maana utaishia mle ulipoelekezwa hutaweza kubuni kitu. Inawezekana wewe ni muandishi wa vitabu au mwanamuziki mzuri, tafuta talent yako halisi acha hii milipuko Wengi tumepoteza Talents zetu kwa kufuata mkumbo. Mie nilifuata ajira nikaacha kipaji alichonipa mungu kimepotea
Wewe utakuwa na kipaji kingine , jaribu kukutafuta ila kama nicha mpira basi ushachelewa.
Kuna mtaalamu mmoja anasema kabla hujafika 35 uwe ushajua kipaji chako, huta angaika hapa duniani.
Mimi ni nimeona hivyo ila sio lazima au kweli uwe hivyo.
Lakini wewe kam IT fanya tafiti ili upate problems za kufanya usitegemee tu watu.
Je unaweza kufanya kazi za animation na simulation ? Je unalinda vipi kazi mteja iwapo atakupa idea yake ili usipotee nayo ?
Je makubaliano yapoje ?
Kama website complex unaifanya kwa muda gani ?
 
Back
Top Bottom