Nateswa sana na jini mahaba

Nateswa sana na jini mahaba

Habari za muda huu ndugu zangu. Mimi ni kijana Me 26. nimekulia maisha yenye furaha sana mpaka nilipofikia umri wa miaka 24 na kugundua mwili wangu haupo sawa. Yani nasumbuliwa na kiumbe aitwa jini mahaba apo awali nilikuwa nahisi furaha kupata ndoto ya jima na mwanamke ila hasara za huyu kiumbe nimeziona nilipoingia kwenye mahusiano na binti mcha mungu sana. Ni miaka miwili sasa nateseka kwa aliewahi kupata tatizo langu ni rahisi kunielewa. Nimezungu kwa waganga wa jadi wengi sana wenye uweledi ila nimekuwa nikilitatua tatizo langu kwa kipindi kifupi na kurudi. Tokea nimemtambua uyu kiumbe na kuanza vita nae amezidi kuniandama na kufunga mpaka riziki zangu. Nimefukuzwa kazi, nakataliwa na watu, nadhulumiwa kwenye jasho langu nimekuwa mtu wa kulia sana na kuomba lakini wapi.
Sifahamu ametokea wapi au ametumwa na nani?
Ngoja niwaelezee kidogo kuhusu uyu kiumbe na mateso yake kwangu...Uyu kiumbe sio kama mashwetani wa kawaida ukisema akiitwa atazungumza na kueleza dhamira yake. uyu kiumbe anapoona kuna makali ya kumuumiza mfano maombi,au dua hutoka na kuondoka na baada ya dawa kuisha hurudi hiyo ndio sababu kubwa ya kushindikana kuondoka kwa huyu kiumbe. Baada ya kufuatilia mlolongo wa maisha yangu ya nyuma baada ya kutambua nina kiumbe huyu ndani mwangu nimegundua, mwanamke hunipenda ila mm sitompenda nitamtumia na mwishowe nitamuachia huzuni ya kumuacha, kosa kubwa ni mimi nikimpenda mwanamke zitafanyika hila zozote za kunifanya nishindwane na huyo mwanamke, mfano nitashindwa kumuingilia uyo mwanamke kila nikitaka kufanya hivyo uume hutoweza kufanya lolote ila nikienda kwa mwanamke mwingine naweza niliwahi kuambiwa ni kwamba anapata wivu ndio sababu ya kuniharibia "nimewapoteza bila sababu wengi sana niliokuwa nawapenda nimeumia sana" nipo na mwanamke mcha mungu amekuwa akiniombea na ni strong nadhan ndio moja ya sababu kumshindwa kiumbe huyu...nimemuingiza katika vita sababu ya upendo wake anapambana sana na mimi katika vita hii, anapata mandoto usiku ya kumtisha anaona wanawake wanamjia na kumwambia umeamua kumfanya unavyotaka sio, baada ya kuwa natumia gharama nyingi kwa waganga kwa ajili ya tatizo langu aliamua kufunga riziki zangu nisipate hata 100 ili nisiweze kufanya jitihada zozote za kumuondoa. Nimeachishwa kazi bila sababu. Apa nilipo sina hata senti. Vihoja vya mateso kwenye maisha yangu ni vingi sana hata kukumbuka nashindwa nimekuwa kwenye kifungo kikubwa sana nimeenda madhabau mengi na tofauti kanisani, kwa mashekh, kwa waganga ila sijapata auheni zaidi ya uyu kiumbe kuzidi kunipatia mateso. Hivi ninanyoandika nimechoka na kuishi kwa sasa ni mwanamke wangu ambae sina imani katika safari yangu kama nitafika nae...Nateseka nateseka haswa. Siku uyu binadamu wa karibu yangu pekee atakapo kata tamaa na mimi basi na mimi sitokuwa na budi kuiacha dunia na kupata pumziko la milele, sioni faida ya kuishi apa nilipo nmeuza mali zangu nyingi nilizokuwa nazo ila napota ela bila kujua kufahamu. huu ni moja ya mfano mmoja kati ya mingi ya ajabu iliyonikumba niliwahii kuchukua simu ya mtu nimelekee mteja ili niipaate elf20 ya udalal ila nilienda kushikwa na kuambiwa nimeiiba ile simu na kuwekwa ndani ila baada ya siku2 iligundulika ile simu sio ya wizi imefananishwa nikaachiwa, niliwahi kuitwa interview nilizunguka saa nzima naupita mlango wa chumba cha inteview mpak mda ukaisha...Katika ndoto usiku naambiwa nawaona wanawake wananiambia wewe si mbishi tutakuonyesha. Nimechoka nahitaji msaada kwa njia yoyote ile inatosha naitaka amani, kuna wakati nalia sana usiku nakuomba...Mwili wangu ni wa nyama vita yang ni ya kiroho Mungu wangu ameniacha. Kuna wakati nawaangalia watu fulani na kutamani kuwa wao na kujiona mimi ni mkosi...Maisha yangu ni ya kulia tuu barabarani, nyumbani, kanisani.
Ewe binadamu unaefahamu msaada wa tatizo langu naomba unisaidie kutoka kufungoni Kwa namna yoyote. Na mungu atakubariki sana. Asante sana
Piga kwa jina na damu ya Yesu,huyo ataachia mwenyewe ingawa huwa ni mbishi,inabidi usimame imara sana kwenye maombi na kuishi maisha ya kumpendeza Mungu ataachia tu...
 
Waganga wa kienyeji, Wachawi, Wanga,. Washirikina, Mizimu, Mapepo na Majini wote ni Mawakala wa Shetani.

Sawa na M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money, Halo Pesa ambapo huhusika kutoa na kutuma pesa kwa njia za simu.

Pamoja na vyote hivyo viumbe vikuungana bado nguvu yao ni 0.00% kushindana na nguvu ya Mungu muumba mbingu na nchi.

Kamwe usijidanganye kuwa ukienda kwa Waganga wa kienyeji au ukifanyiwq matambiko utapona tatizo lako.

Utaenda kwa mganga wa kienyeji, atakuganga kisha atawasiliana na majini yake wakuache kwa muda, baadaye watakutumia tena jini lingine ili uendelee kuwa mtumwa wa nguvu za giza(ushetani) kila siku hadi utapokufa.

Inamaana ukishajihusisha na nguvu za giza, sahau kutokuwa muhudhuriaji bora maana watakuwa wameshakusaini ktk mikataba yao.

Usijidanganye pia ukiwa upande wake Mungu, hutapatwa na changamoto, sababu msingi wako wa imani imara umejijenga kupitia hizo hizo changamoto, sawa na Manabii au Mitume ya Mungu walivuopitia hayo majaribu/changamoto japo kwa 100% utazishinda na utakuwa huru na amani kuliko ukijikita ktk nguvu za giza.

Naambatanisha na ushahidi kuwa mimi nilishapitia changamoto hizo za nguvu za giza zaidi ya miaka miwili.

Ndugu walijaribu kunidanganya twende kwa waganga wa mitishamba kumbe nikifika eneo husika, wakifunga mlango tu wanaaza kupiga ramli za uganga wao wa kienyeji lakini niligombana nao hadi sasa
na sikutaka masihara nikisisitiza Mungu aliyeniepusha na ajali za vifo zaidi ya 11 kamwe hawezishindwa kuniokoa kwenye hayo majaribu.

Nilikuwa naumwa kichwa, nahisi kizungu zungu hadi kilikuwa kinaniangusha chini na pia nilikuwa nabanwa kifua ambapo sikuweza kuinama wala kusimama, ila nilipokuwa navikemea kwa jina la Yesu, vilikuwa vinapotea, hivyo nilijua nina vita ya kiroho nikawa nafunga na kuomba mara kwa mara hata zaidi ya wiki na hata kuamka usiku wa manane kusali.

Nilijikita kwa 100% kumwomba Mungu pekee na amenishindia, na hata sasa bado ananishindia mengi sana ili ajitukuze juu yangu niwe ushuhuda kwa wengine wasiojua nguvu na uwezo wake Mungu ulivyo mkubwa zaidi ya chochote kile duniani na hata mbinguni.

Komaa ktk kusali kiimanj lakini ukumbuke maombi ya mwenye dhambi ni kelele mbele zake Mungu, nikimaanisha u apaswa ujikane nafsi kuacha maovu ukimtegemea Mungu pekee.

Amini Mungu hajawahi kushindwa kamwe na amewashindia wwngi nikiwepo mimi pia nawe atakushindia sababu ni mwingi wa rehema na fadhila na huwa hana upendeleo kwwtu Binadamu.
 
Dah pole sana mkuu!

Kwa uzoefu wangu majini mahaba yapo na yanatusumbua sana hasa sisi wanaume na hata wanawake pia, katika kila binaadamu kumi jawakosi watano wanasumbuliwa na hiyo kiumbe japo wengi wetu hatujui sababu za matatizo zinazotuandama, jini mahaba hatoki ki urahisi kama mapepo wengine, ni mbishi kuliko ubishi wenyewe, hutoka na kurudi na akirufi lazma akushikishe adabu maana wewe unakiwa kama hekalu lake, naomba nikuulize maswali mawili matatu

1: kipinfi uko mdogo ( ama wakati wa balehe ) ulikuwa ukipenda kuwinda? Kuogelea kwenye mito mabwawa ama baharini? Kucheza pembeni ya majalala pia.

2: huwa unajisikia usingizi baada ya kuamka asubuhi? Mfano umeamka saa 12 asubuhi, ikifika saa 3 unajisikia hali flani ya usingizi?

3: unakuwa ukipanga kufanya jambo flani la kimaendeleo lakini hulit3kelezi? Unadharau ile sauti ya ndani mwako?

4: majini mahaba ka amekaa ndani ya mwili wako kwa mida mrefu hiwa wanajidhihirisha, wanajionyesha, ushawahi kuhisi ama kuona? Maswali haya machache yatakuongoza kujua kama una jini mahaba ama una kiumbe kingine, duniani kuna viumbe vingi sana, sisi huita majini lakini kuna viumbe zaidi ya majini kama utaamia kufuatilia mamno kwa undani zaidi.


Hapa chini nakupa kisa cha jini mmoja alikuwa akinisumbia sana, nahisi bado tunasumbuana lakini kwa sasa ni yeye ndiye anapata taabu kirudi kwenye jumba ambalo yeye alinifanya mm ni makazi yake..mwisho siku amefeli yeye..sitoeleza yoote kutokana na nafadi niliyonayo hapa nitakuoelekeza jinsi huyo mpuuzi alivyokuwa akijifhihirisha kwangu.. ushuhuda ntaweka mmoja tu ama miwili.

Mara ya kwanza ilikuwa morogoro, ilipokuwa stand ya daladala ya zamani, kule town kwa wenyeji watakuwa wanapaelewa.

Siku hiyo nilikuwa naelekea mazimbu ndani, hivyo nikaenda pale kupanda daladala la mazimbu kupitia tumbaku( modeco ) nilikuta lile daladala linakaribia kujaza kasoro seat mbili tu, diti ya kwanza iliyopo mlangoni, yaan ukikaa pale unakuwa jirani na makalio ya konda, na ya pile ni ile seat ya bench, ile unaangalia nyuma, seat hizi zilikuwa zikitazamana, yaani mkikaa lazma mppishanishe miguu nadhani hapo tumeelewana.

Baada ya mimi kukalia ile seat ya benchi nikiwa naangaliana na abiria wenzangu, ilibaki seat moja ambayo atakayekuja kukaa lazma tupishanishe miguu, basi kwa mbaali nikaanza sikia harufu nzuuti ya marashi kama yale wayatumiayo wanawake wa kiarabu, kisha nikamuona mwanamke mmoja mzuri sana, nakiri ni mzuri haswaa, mweupe kama muarabu lakini alikuwa amevaa blauz ya pink na mauwa mauwa na amevaa kimini kimoja cha haja, mapaja yake manene yakawa yakionekana kunivutia ,akaja akakaa katika ile seat, tukapishanisha miguu, akanisalimia ( Asallam aleykum, nikaitikia, sasa lile joto la mappaja yake likawa linapenya mpaka ndani ya [emoji158] yangu, ila kuna fasta nikaanza hisi kichwa kikiniuma kwa mbaali, kwa uzoefu wangu moja kwa moja nikahisi huyu si kiumbe wa kawaida, na nilikuwa sahihi sababu wakati namkazia macho, kuna vitu nilikuwa naona ktk mboni zake, kwanza mboni zake ni za kijivu alaf kwa mbaali kama **** wekundu na ukijani, pia lililonodtua zaidi ni pale alipokuja jamaa( abiria mwingine akaja akakaa kwenye ile seat aliyokaa yule mwanamke, yaani amekaa kama amekalia seat tupu wakati ile seat kuna mwanamke kakaa, basi akamkalia, dijui niseme akakaa kwenue ile seat na safari ikaanza, jamaa ka relax kabisa hana noma, huye mwanamke nae namuona pia, yaani yule mwanamke kawa kama seat, kamvaa sijui hata sielewi, basi baada ya gari kutoka, pale mbele kuna round about, yule mwanamke nguo zake zikaanza kubadilika kutoka pink na kuwa za rangi ya blue, wakati tunafika masika zikawa za zambarau, akawa anabadilika badilika na tuko tunaangaliana na jamaa aliyemkalia hana anachojua kama kuna kiumbe pale alipokaa, tumeenda mpaka pale idara ya maji moruwasa, daladala likasimama, bila kudimamishwa, kwenye ile bums pale, konda akafungua mlango yule mwanamke akashukia pale ikabidi na mimi nishukie pale nikalipa nikaanza mfuata nyuma, akili yangu kawaida ni mbovu siku zote, nikasema huyu leo ntaujua mwisho wake, badi yeye mbele mimi nyuma, sasa tunapandisha kile kimwinuko cha kuelekea njia panda ya kushoto ambayo inaelekea msikiti wa mungu mmoja kule, yeye mbele mimi nyuma, tukakunja ile njia ya mafiga nipo nyumba anaenda kwa madaha mwenyewe na bado anabadilisha tu rangi, he likatokea zee moja ata sijui limetokea wapi bwana ananijua si akanisalimia? Kasimama kabisa, vipi kijana habari za madiku umepotea sijui maneno kibao, mi nikawa namjibu short short tu ili ajikatae, mwisho yule mwanamke nikaona kakata kona kanipotea, ikabifi na mimi nitoke nduki mpaka pale alipokata kona wallah sikumwona kanipotea, nilizunguka yale maeneo kama nusu saa lakini sikumuona, ikabidi nighail na mazimbu sikwenda tena, nikaenda msamvu, nikakata tiketi ya bus, nakumbuka ilikuwa ni Abood, nikapata seat ya kwanza kabisa ukiingia mlangoni, nikakaa hapo. Bus likaza kama baada ya dakika 40 45 hivi, wakati tunatoka pale geti kwa mbele ambapo trafki huwa wanaingia ktk bus na kuwaambia abiria wafunge mikanda naye yule mwanamke akapanda akamwingia yule trafki akatokea kwa mbele yake, akatabasamu mbele yangu alaf akasema shauri zako. Huyoo akaenda kumuingia mtu seat namba 3. Chuma hiyoo ikaanza safari, dikufika hata mikese, boonge la usingizi likanipitia, nakuja stuka tupo bwanawi, akashukia hapo na akaniaga kwa jina..

Hayo madubwana yapo ila ukitaka kuyatoa kwanza hakuna anayeweza kuyatoa zaidi ya wewe mwenyewe, unaweza pia kuonana nae ukimwita na mkaongea ikiwemo kumfukiza kama unajua namna gani ya kumtoa, lakini kulitoa jini amabalo liko na wewe kwa zaidi ya miaka 20 huko si kazi ndogo ila inawezekana kwa imani yako na kwa nguvu tulizonazo ndani ya miili yetu.
 
Habari za muda huu ndugu zangu. Mimi ni kijana Me 26. nimekulia maisha yenye furaha sana mpaka nilipofikia umri wa miaka 24 na kugundua mwili wangu haupo sawa. Yani nasumbuliwa na kiumbe aitwa jini mahaba apo awali nilikuwa nahisi furaha kupata ndoto ya jima na mwanamke ila hasara za huyu kiumbe nimeziona nilipoingia kwenye mahusiano na binti mcha mungu sana. Ni miaka miwili sasa nateseka kwa aliewahi kupata tatizo langu ni rahisi kunielewa. Nimezungu kwa waganga wa jadi wengi sana wenye uweledi ila nimekuwa nikilitatua tatizo langu kwa kipindi kifupi na kurudi. Tokea nimemtambua uyu kiumbe na kuanza vita nae amezidi kuniandama na kufunga mpaka riziki zangu. Nimefukuzwa kazi, nakataliwa na watu, nadhulumiwa kwenye jasho langu nimekuwa mtu wa kulia sana na kuomba lakini wapi.
Sifahamu ametokea wapi au ametumwa na nani?
Ngoja niwaelezee kidogo kuhusu uyu kiumbe na mateso yake kwangu...Uyu kiumbe sio kama mashwetani wa kawaida ukisema akiitwa atazungumza na kueleza dhamira yake. uyu kiumbe anapoona kuna makali ya kumuumiza mfano maombi,au dua hutoka na kuondoka na baada ya dawa kuisha hurudi hiyo ndio sababu kubwa ya kushindikana kuondoka kwa huyu kiumbe. Baada ya kufuatilia mlolongo wa maisha yangu ya nyuma baada ya kutambua nina kiumbe huyu ndani mwangu nimegundua, mwanamke hunipenda ila mm sitompenda nitamtumia na mwishowe nitamuachia huzuni ya kumuacha, kosa kubwa ni mimi nikimpenda mwanamke zitafanyika hila zozote za kunifanya nishindwane na huyo mwanamke, mfano nitashindwa kumuingilia uyo mwanamke kila nikitaka kufanya hivyo uume hutoweza kufanya lolote ila nikienda kwa mwanamke mwingine naweza niliwahi kuambiwa ni kwamba anapata wivu ndio sababu ya kuniharibia "nimewapoteza bila sababu wengi sana niliokuwa nawapenda nimeumia sana" nipo na mwanamke mcha mungu amekuwa akiniombea na ni strong nadhan ndio moja ya sababu kumshindwa kiumbe huyu...nimemuingiza katika vita sababu ya upendo wake anapambana sana na mimi katika vita hii, anapata mandoto usiku ya kumtisha anaona wanawake wanamjia na kumwambia umeamua kumfanya unavyotaka sio, baada ya kuwa natumia gharama nyingi kwa waganga kwa ajili ya tatizo langu aliamua kufunga riziki zangu nisipate hata 100 ili nisiweze kufanya jitihada zozote za kumuondoa. Nimeachishwa kazi bila sababu. Apa nilipo sina hata senti. Vihoja vya mateso kwenye maisha yangu ni vingi sana hata kukumbuka nashindwa nimekuwa kwenye kifungo kikubwa sana nimeenda madhabau mengi na tofauti kanisani, kwa mashekh, kwa waganga ila sijapata auheni zaidi ya uyu kiumbe kuzidi kunipatia mateso. Hivi ninanyoandika nimechoka na kuishi kwa sasa ni mwanamke wangu ambae sina imani katika safari yangu kama nitafika nae...Nateseka nateseka haswa. Siku uyu binadamu wa karibu yangu pekee atakapo kata tamaa na mimi basi na mimi sitokuwa na budi kuiacha dunia na kupata pumziko la milele, sioni faida ya kuishi apa nilipo nmeuza mali zangu nyingi nilizokuwa nazo ila napota ela bila kujua kufahamu. huu ni moja ya mfano mmoja kati ya mingi ya ajabu iliyonikumba niliwahii kuchukua simu ya mtu nimelekee mteja ili niipaate elf20 ya udalal ila nilienda kushikwa na kuambiwa nimeiiba ile simu na kuwekwa ndani ila baada ya siku2 iligundulika ile simu sio ya wizi imefananishwa nikaachiwa, niliwahi kuitwa interview nilizunguka saa nzima naupita mlango wa chumba cha inteview mpak mda ukaisha...Katika ndoto usiku naambiwa nawaona wanawake wananiambia wewe si mbishi tutakuonyesha. Nimechoka nahitaji msaada kwa njia yoyote ile inatosha naitaka amani, kuna wakati nalia sana usiku nakuomba...Mwili wangu ni wa nyama vita yang ni ya kiroho Mungu wangu ameniacha. Kuna wakati nawaangalia watu fulani na kutamani kuwa wao na kujiona mimi ni mkosi...Maisha yangu ni ya kulia tuu barabarani, nyumbani, kanisani.
Ewe binadamu unaefahamu msaada wa tatizo langu naomba unisaidie kutoka kufungoni Kwa namna yoyote. Na mungu atakubariki sana. Asante sana
Kwanza nikupe pole sana kwa mateso hayo, ushauri wangu japo sijui Imani yako lkn nashauri upate msaada wa kiroho. Kama ni maombi/dua usiishie tu kuombea bali ubadilishe kabisa mfumo wa maisha yako na kuishi maisha ya ibada na kumcha Mungu.
 
Jini haliwezi kumshinda Mungu, kamwe haliwezi. wewe tatizo lako unali entertain hilo Jini.
unaweza kuamua moja kati ya haya mawili.
1. lipige marufuku kukusogelea kwa kumuomba Mungu kupitia damu ya Yesu Kristo na mambo yako yatanyooka
2. endelea kulinyandua na uliombe likupe utajiri na usahau kuwa na mke mwingine
uchaguzi ni wako
 
Jini unamtoa mwenyewe kamaa alivyokuingia mwenyewe, zaid ya hapo utasumbuka, utapoteza muda na pesa...onana nae mwambie haumtaki, mwite atakuja, sio kichwani kama tunavyoaminishwa, mwite aje live! Hii utafanya wewe mwenyewe hakuna mtu anayeweza kukufanyia hii kubwa zaid yako..uwe jasiri tu. Maana laweza kuja ktika namna yoyote ile, moshi, mnyama, ktk umbo la kibinadamu ama itu worse kuliko utavyotarajia, ni kukutisha tu.

NB mimi si mtaalam, ni katika tu kujitoa utumwani unajikuta humo.
 
Habari za muda huu ndugu zangu. Mimi ni kijana Me 26. nimekulia maisha yenye furaha sana mpaka nilipofikia umri wa miaka 24 na kugundua mwili wangu haupo sawa. Yani nasumbuliwa na kiumbe aitwa jini mahaba apo awali nilikuwa nahisi furaha kupata ndoto ya jima na mwanamke ila hasara za huyu kiumbe nimeziona nilipoingia kwenye mahusiano na binti mcha mungu sana. Ni miaka miwili sasa nateseka kwa aliewahi kupata tatizo langu ni rahisi kunielewa. Nimezungu kwa waganga wa jadi wengi sana wenye uweledi ila nimekuwa nikilitatua tatizo langu kwa kipindi kifupi na kurudi. Tokea nimemtambua uyu kiumbe na kuanza vita nae amezidi kuniandama na kufunga mpaka riziki zangu. Nimefukuzwa kazi, nakataliwa na watu, nadhulumiwa kwenye jasho langu nimekuwa mtu wa kulia sana na kuomba lakini wapi.
Sifahamu ametokea wapi au ametumwa na nani?
Ngoja niwaelezee kidogo kuhusu uyu kiumbe na mateso yake kwangu...Uyu kiumbe sio kama mashwetani wa kawaida ukisema akiitwa atazungumza na kueleza dhamira yake. uyu kiumbe anapoona kuna makali ya kumuumiza mfano maombi,au dua hutoka na kuondoka na baada ya dawa kuisha hurudi hiyo ndio sababu kubwa ya kushindikana kuondoka kwa huyu kiumbe. Baada ya kufuatilia mlolongo wa maisha yangu ya nyuma baada ya kutambua nina kiumbe huyu ndani mwangu nimegundua, mwanamke hunipenda ila mm sitompenda nitamtumia na mwishowe nitamuachia huzuni ya kumuacha, kosa kubwa ni mimi nikimpenda mwanamke zitafanyika hila zozote za kunifanya nishindwane na huyo mwanamke, mfano nitashindwa kumuingilia uyo mwanamke kila nikitaka kufanya hivyo uume hutoweza kufanya lolote ila nikienda kwa mwanamke mwingine naweza niliwahi kuambiwa ni kwamba anapata wivu ndio sababu ya kuniharibia "nimewapoteza bila sababu wengi sana niliokuwa nawapenda nimeumia sana" nipo na mwanamke mcha mungu amekuwa akiniombea na ni strong nadhan ndio moja ya sababu kumshindwa kiumbe huyu...nimemuingiza katika vita sababu ya upendo wake anapambana sana na mimi katika vita hii, anapata mandoto usiku ya kumtisha anaona wanawake wanamjia na kumwambia umeamua kumfanya unavyotaka sio, baada ya kuwa natumia gharama nyingi kwa waganga kwa ajili ya tatizo langu aliamua kufunga riziki zangu nisipate hata 100 ili nisiweze kufanya jitihada zozote za kumuondoa. Nimeachishwa kazi bila sababu. Apa nilipo sina hata senti. Vihoja vya mateso kwenye maisha yangu ni vingi sana hata kukumbuka nashindwa nimekuwa kwenye kifungo kikubwa sana nimeenda madhabau mengi na tofauti kanisani, kwa mashekh, kwa waganga ila sijapata auheni zaidi ya uyu kiumbe kuzidi kunipatia mateso. Hivi ninanyoandika nimechoka na kuishi kwa sasa ni mwanamke wangu ambae sina imani katika safari yangu kama nitafika nae...Nateseka nateseka haswa. Siku uyu binadamu wa karibu yangu pekee atakapo kata tamaa na mimi basi na mimi sitokuwa na budi kuiacha dunia na kupata pumziko la milele, sioni faida ya kuishi apa nilipo nmeuza mali zangu nyingi nilizokuwa nazo ila napota ela bila kujua kufahamu. huu ni moja ya mfano mmoja kati ya mingi ya ajabu iliyonikumba niliwahii kuchukua simu ya mtu nimelekee mteja ili niipaate elf20 ya udalal ila nilienda kushikwa na kuambiwa nimeiiba ile simu na kuwekwa ndani ila baada ya siku2 iligundulika ile simu sio ya wizi imefananishwa nikaachiwa, niliwahi kuitwa interview nilizunguka saa nzima naupita mlango wa chumba cha inteview mpak mda ukaisha...Katika ndoto usiku naambiwa nawaona wanawake wananiambia wewe si mbishi tutakuonyesha. Nimechoka nahitaji msaada kwa njia yoyote ile inatosha naitaka amani, kuna wakati nalia sana usiku nakuomba...Mwili wangu ni wa nyama vita yang ni ya kiroho Mungu wangu ameniacha. Kuna wakati nawaangalia watu fulani na kutamani kuwa wao na kujiona mimi ni mkosi...Maisha yangu ni ya kulia tuu barabarani, nyumbani, kanisani.
Ewe binadamu unaefahamu msaada wa tatizo langu naomba unisaidie kutoka kufungoni Kwa namna yoyote. Na mungu atakubariki sana. Asante sana

Pole sana sana

Mara nyingi tunaomba bila kujua kuomba ndio maana tunachelewa kuona matokeo ila Yupo Mungu muumba wa kila kitu hajakuacha!

Uko wapi wewe?
 
Pole sana.
Hao jamaa wakitoka wanavunga wanasikilizia hali ya hewa tu, ukiwawekea mazingiracsawa wanarudi na moto ule ule.

Ukiamua kupiga ndumba basi piga haswa na ukiamua maombi piga maombi haswaa
aweke kambi kwenye imani moja siyo kuchanganya madawa
 
Dah pole sana mkuu!

Kwa uzoefu wangu majini mahaba yapo na yanatusumbua sana hasa sisi wanaume na hata wanawake pia, katika kila binaadamu kumi jawakosi watano wanasumbuliwa na hiyo kiumbe japo wengi wetu hatujui sababu za matatizo zinazotuandama, jini mahaba hatoki ki urahisi kama mapepo wengine, ni mbishi kuliko ubishi wenyewe, hutoka na kurudi na akirufi lazma akushikishe adabu maana wewe unakiwa kama hekalu lake, naomba nikuulize maswali mawili matatu

1: kipinfi uko mdogo ( ama wakati wa balehe ) ulikuwa ukipenda kuwinda? Kuogelea kwenye mito mabwawa ama baharini? Kucheza pembeni ya majalala pia.

2: huwa unajisikia usingizi baada ya kuamka asubuhi? Mfano umeamka saa 12 asubuhi, ikifika saa 3 unajisikia hali flani ya usingizi?

3: unakuwa ukipanga kufanya jambo flani la kimaendeleo lakini hulit3kelezi? Unadharau ile sauti ya ndani mwako?

4: majini mahaba ka amekaa ndani ya mwili wako kwa mida mrefu hiwa wanajidhihirisha, wanajionyesha, ushawahi kuhisi ama kuona? Maswali haya machache yatakuongoza kujua kama una jini mahaba ama una kiumbe kingine, duniani kuna viumbe vingi sana, sisi huita majini lakini kuna viumbe zaidi ya majini kama utaamia kufuatilia mamno kwa undani zaidi.


Hapa chini nakupa kisa cha jini mmoja alikuwa akinisumbia sana, nahisi bado tunasumbuana lakini kwa sasa ni yeye ndiye anapata taabu kirudi kwenye jumba ambalo yeye alinifanya mm ni makazi yake..mwisho siku amefeli yeye..sitoeleza yoote kutokana na nafadi niliyonayo hapa nitakuoelekeza jinsi huyo mpuuzi alivyokuwa akijifhihirisha kwangu.. ushuhuda ntaweka mmoja tu ama miwili.

Mara ya kwanza ilikuwa morogoro, ilipokuwa stand ya daladala ya zamani, kule town kwa wenyeji watakuwa wanapaelewa.

Siku hiyo nilikuwa naelekea mazimbu ndani, hivyo nikaenda pale kupanda daladala la mazimbu kupitia tumbaku( modeco ) nilikuta lile daladala linakaribia kujaza kasoro seat mbili tu, diti ya kwanza iliyopo mlangoni, yaan ukikaa pale unakuwa jirani na makalio ya konda, na ya pile ni ile seat ya bench, ile unaangalia nyuma, seat hizi zilikuwa zikitazamana, yaani mkikaa lazma mppishanishe miguu nadhani hapo tumeelewana.

Baada ya mimi kukalia ile seat ya benchi nikiwa naangaliana na abiria wenzangu, ilibaki seat moja ambayo atakayekuja kukaa lazma tupishanishe miguu, basi kwa mbaali nikaanza sikia harufu nzuuti ya marashi kama yale wayatumiayo wanawake wa kiarabu, kisha nikamuona mwanamke mmoja mzuri sana, nakiri ni mzuri haswaa, mweupe kama muarabu lakini alikuwa amevaa blauz ya pink na mauwa mauwa na amevaa kimini kimoja cha haja, mapaja yake manene yakawa yakionekana kunivutia ,akaja akakaa katika ile seat, tukapishanisha miguu, akanisalimia ( Asallam aleykum, nikaitikia, sasa lile joto la mappaja yake likawa linapenya mpaka ndani ya [emoji158] yangu, ila kuna fasta nikaanza hisi kichwa kikiniuma kwa mbaali, kwa uzoefu wangu moja kwa moja nikahisi huyu si kiumbe wa kawaida, na nilikuwa sahihi sababu wakati namkazia macho, kuna vitu nilikuwa naona ktk mboni zake, kwanza mboni zake ni za kijivu alaf kwa mbaali kama **** wekundu na ukijani, pia lililonodtua zaidi ni pale alipokuja jamaa( abiria mwingine akaja akakaa kwenye ile seat aliyokaa yule mwanamke, yaani amekaa kama amekalia seat tupu wakati ile seat kuna mwanamke kakaa, basi akamkalia, dijui niseme akakaa kwenue ile seat na safari ikaanza, jamaa ka relax kabisa hana noma, huye mwanamke nae namuona pia, yaani yule mwanamke kawa kama seat, kamvaa sijui hata sielewi, basi baada ya gari kutoka, pale mbele kuna round about, yule mwanamke nguo zake zikaanza kubadilika kutoka pink na kuwa za rangi ya blue, wakati tunafika masika zikawa za zambarau, akawa anabadilika badilika na tuko tunaangaliana na jamaa aliyemkalia hana anachojua kama kuna kiumbe pale alipokaa, tumeenda mpaka pale idara ya maji moruwasa, daladala likasimama, bila kudimamishwa, kwenye ile bums pale, konda akafungua mlango yule mwanamke akashukia pale ikabidi na mimi nishukie pale nikalipa nikaanza mfuata nyuma, akili yangu kawaida ni mbovu siku zote, nikasema huyu leo ntaujua mwisho wake, badi yeye mbele mimi nyuma, sasa tunapandisha kile kimwinuko cha kuelekea njia panda ya kushoto ambayo inaelekea msikiti wa mungu mmoja kule, yeye mbele mimi nyuma, tukakunja ile njia ya mafiga nipo nyumba anaenda kwa madaha mwenyewe na bado anabadilisha tu rangi, he likatokea zee moja ata sijui limetokea wapi bwana ananijua si akanisalimia? Kasimama kabisa, vipi kijana habari za madiku umepotea sijui maneno kibao, mi nikawa namjibu short short tu ili ajikatae, mwisho yule mwanamke nikaona kakata kona kanipotea, ikabifi na mimi nitoke nduki mpaka pale alipokata kona wallah sikumwona kanipotea, nilizunguka yale maeneo kama nusu saa lakini sikumuona, ikabidi nighail na mazimbu sikwenda tena, nikaenda msamvu, nikakata tiketi ya bus, nakumbuka ilikuwa ni Abood, nikapata seat ya kwanza kabisa ukiingia mlangoni, nikakaa hapo. Bus likaza kama baada ya dakika 40 45 hivi, wakati tunatoka pale geti kwa mbele ambapo trafki huwa wanaingia ktk bus na kuwaambia abiria wafunge mikanda naye yule mwanamke akapanda akamwingia yule trafki akatokea kwa mbele yake, akatabasamu mbele yangu alaf akasema shauri zako. Huyoo akaenda kumuingia mtu seat namba 3. Chuma hiyoo ikaanza safari, dikufika hata mikese, boonge la usingizi likanipitia, nakuja stuka tupo bwanawi, akashukia hapo na akaniaga kwa jina..

Hayo madubwana yapo ila ukitaka kuyatoa kwanza hakuna anayeweza kuyatoa zaidi ya wewe mwenyewe, unaweza pia kuonana nae ukimwita na mkaongea ikiwemo kumfukiza kama unajua namna gani ya kumtoa, lakini kulitoa jini amabalo liko na wewe kwa zaidi ya miaka 20 huko si kazi ndogo ila inawezekana kwa imani yako na kwa nguvu tulizonazo ndani ya miili yetu.
ebwaneeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Habari za muda huu ndugu zangu.

Mimi ni kijana Me 26 nimekulia maisha yenye furaha sana mpaka nilipofikia umri wa miaka 24 na kugundua mwili wangu haupo sawa. Yani nasumbuliwa na kiumbe aitwa jini mahaba apo awali nilikuwa nahisi furaha kupata ndoto ya jima na mwanamke ila hasara za huyu kiumbe nimeziona nilipoingia kwenye mahusiano na binti mcha mungu sana.

Ni miaka miwili sasa nateseka kwa aliewahi kupata tatizo langu ni rahisi kunielewa. Nimezungu kwa waganga wa jadi wengi sana wenye uweledi ila nimekuwa nikilitatua tatizo langu kwa kipindi kifupi na kurudi. Tokea nimemtambua uyu kiumbe na kuanza vita nae amezidi kuniandama na kufunga mpaka riziki zangu. Nimefukuzwa kazi, nakataliwa na watu, nadhulumiwa kwenye jasho langu nimekuwa mtu wa kulia sana na kuomba lakini wapi.

Sifahamu ametokea wapi au ametumwa na nani? Ngoja niwaelezee kidogo kuhusu uyu kiumbe na mateso yake kwangu...Uyu kiumbe sio kama mashwetani wa kawaida ukisema akiitwa atazungumza na kueleza dhamira yake. uyu kiumbe anapoona kuna makali ya kumuumiza mfano maombi au dua hutoka na kuondoka na baada ya dawa kuisha hurudi hiyo ndio sababu kubwa ya kushindikana kuondoka kwa huyu kiumbe.

Baada ya kufuatilia mlolongo wa maisha yangu ya nyuma baada ya kutambua nina kiumbe huyu ndani mwangu nimegundua, mwanamke hunipenda ila mimi sitompenda nitamtumia na mwishowe nitamuachia huzuni ya kumuacha, kosa kubwa ni mimi nikimpenda mwanamke zitafanyika hila zozote za kunifanya nishindwane na huyo mwanamke, mfano nitashindwa kumuingilia uyo mwanamke kila nikitaka kufanya hivyo uume hutoweza kufanya lolote ila nikienda kwa mwanamke mwingine naweza niliwahi kuambiwa ni kwamba anapata wivu ndio sababu ya kuniharibia "nimewapoteza bila sababu wengi sana niliokuwa nawapenda nimeumia sana" nipo na mwanamke mcha mungu amekuwa akiniombea na ni strong nadhan ndio moja ya sababu kumshindwa kiumbe huyu

Nimemuingiza katika vita sababu ya upendo wake anapambana sana na mimi katika vita hii, anapata mandoto usiku ya kumtisha anaona wanawake wanamjia na kumwambia umeamua kumfanya unavyotaka sio, baada ya kuwa natumia gharama nyingi kwa waganga kwa ajili ya tatizo langu aliamua kufunga riziki zangu nisipate hata 100 ili nisiweze kufanya jitihada zozote za kumuondoa. Nimeachishwa kazi bila sababu. Apa nilipo sina hata senti.

Vihoja vya mateso kwenye maisha yangu ni vingi sana hata kukumbuka nashindwa nimekuwa kwenye kifungo kikubwa sana nimeenda madhabau mengi na tofauti kanisani, kwa mashekh, kwa waganga ila sijapata auheni zaidi ya uyu kiumbe kuzidi kunipatia mateso. Hivi ninanyoandika nimechoka na kuishi kwa sasa ni mwanamke wangu ambae sina imani katika safari yangu kama nitafika nae.

Nateseka nateseka haswa. Siku uyu binadamu wa karibu yangu pekee atakapo kata tamaa na mimi basi na mimi sitokuwa na budi kuiacha dunia na kupata pumziko la milele, sioni faida ya kuishi apa nilipo nmeuza mali zangu nyingi nilizokuwa nazo ila napota ela bila kujua kufahamu. huu ni moja ya mfano mmoja kati ya mingi ya ajabu iliyonikumba niliwahii kuchukua simu ya mtu nimelekee mteja ili niipaate elf20 ya udalal ila nilienda kushikwa na kuambiwa nimeiiba ile simu na kuwekwa ndani ila baada ya siku2 iligundulika ile simu sio ya wizi imefananishwa nikaachiwa, niliwahi kuitwa interview nilizunguka saa nzima naupita mlango wa chumba cha inteview mpak mda ukaisha.

Katika ndoto usiku naambiwa nawaona wanawake wananiambia wewe si mbishi tutakuonyesha. Nimechoka nahitaji msaada kwa njia yoyote ile inatosha naitaka amani, kuna wakati nalia sana usiku nakuomba...Mwili wangu ni wa nyama vita yang ni ya kiroho Mungu wangu ameniacha. Kuna wakati nawaangalia watu fulani na kutamani kuwa wao na kujiona mimi ni mkosi...Maisha yangu ni ya kulia tuu barabarani, nyumbani, kanisani.

Ewe binadamu unaefahamu msaada wa tatizo langu naomba unisaidie kutoka kufungoni Kwa namna yoyote. Na mungu atakubariki sana.

Asante sana
Nasikia ukiwaomba Tigo hawakutesi tena.
 
Habari za muda huu ndugu zangu.

Mimi ni kijana Me 26 nimekulia maisha yenye furaha sana mpaka nilipofikia umri wa miaka 24 na kugundua mwili wangu haupo sawa. Yani nasumbuliwa na kiumbe aitwa jini mahaba apo awali nilikuwa nahisi furaha kupata ndoto ya jima na mwanamke ila hasara za huyu kiumbe nimeziona nilipoingia kwenye mahusiano na binti mcha mungu sana.

Ni miaka miwili sasa nateseka kwa aliewahi kupata tatizo langu ni rahisi kunielewa. Nimezungu kwa waganga wa jadi wengi sana wenye uweledi ila nimekuwa nikilitatua tatizo langu kwa kipindi kifupi na kurudi. Tokea nimemtambua uyu kiumbe na kuanza vita nae amezidi kuniandama na kufunga mpaka riziki zangu. Nimefukuzwa kazi, nakataliwa na watu, nadhulumiwa kwenye jasho langu nimekuwa mtu wa kulia sana na kuomba lakini wapi.

Sifahamu ametokea wapi au ametumwa na nani? Ngoja niwaelezee kidogo kuhusu uyu kiumbe na mateso yake kwangu...Uyu kiumbe sio kama mashwetani wa kawaida ukisema akiitwa atazungumza na kueleza dhamira yake. uyu kiumbe anapoona kuna makali ya kumuumiza mfano maombi au dua hutoka na kuondoka na baada ya dawa kuisha hurudi hiyo ndio sababu kubwa ya kushindikana kuondoka kwa huyu kiumbe.

Baada ya kufuatilia mlolongo wa maisha yangu ya nyuma baada ya kutambua nina kiumbe huyu ndani mwangu nimegundua, mwanamke hunipenda ila mimi sitompenda nitamtumia na mwishowe nitamuachia huzuni ya kumuacha, kosa kubwa ni mimi nikimpenda mwanamke zitafanyika hila zozote za kunifanya nishindwane na huyo mwanamke, mfano nitashindwa kumuingilia uyo mwanamke kila nikitaka kufanya hivyo uume hutoweza kufanya lolote ila nikienda kwa mwanamke mwingine naweza niliwahi kuambiwa ni kwamba anapata wivu ndio sababu ya kuniharibia "nimewapoteza bila sababu wengi sana niliokuwa nawapenda nimeumia sana" nipo na mwanamke mcha mungu amekuwa akiniombea na ni strong nadhan ndio moja ya sababu kumshindwa kiumbe huyu

Nimemuingiza katika vita sababu ya upendo wake anapambana sana na mimi katika vita hii, anapata mandoto usiku ya kumtisha anaona wanawake wanamjia na kumwambia umeamua kumfanya unavyotaka sio, baada ya kuwa natumia gharama nyingi kwa waganga kwa ajili ya tatizo langu aliamua kufunga riziki zangu nisipate hata 100 ili nisiweze kufanya jitihada zozote za kumuondoa. Nimeachishwa kazi bila sababu. Apa nilipo sina hata senti.

Vihoja vya mateso kwenye maisha yangu ni vingi sana hata kukumbuka nashindwa nimekuwa kwenye kifungo kikubwa sana nimeenda madhabau mengi na tofauti kanisani, kwa mashekh, kwa waganga ila sijapata auheni zaidi ya uyu kiumbe kuzidi kunipatia mateso. Hivi ninanyoandika nimechoka na kuishi kwa sasa ni mwanamke wangu ambae sina imani katika safari yangu kama nitafika nae.

Nateseka nateseka haswa. Siku uyu binadamu wa karibu yangu pekee atakapo kata tamaa na mimi basi na mimi sitokuwa na budi kuiacha dunia na kupata pumziko la milele, sioni faida ya kuishi apa nilipo nmeuza mali zangu nyingi nilizokuwa nazo ila napota ela bila kujua kufahamu. huu ni moja ya mfano mmoja kati ya mingi ya ajabu iliyonikumba niliwahii kuchukua simu ya mtu nimelekee mteja ili niipaate elf20 ya udalal ila nilienda kushikwa na kuambiwa nimeiiba ile simu na kuwekwa ndani ila baada ya siku2 iligundulika ile simu sio ya wizi imefananishwa nikaachiwa, niliwahi kuitwa interview nilizunguka saa nzima naupita mlango wa chumba cha inteview mpak mda ukaisha.

Katika ndoto usiku naambiwa nawaona wanawake wananiambia wewe si mbishi tutakuonyesha. Nimechoka nahitaji msaada kwa njia yoyote ile inatosha naitaka amani, kuna wakati nalia sana usiku nakuomba...Mwili wangu ni wa nyama vita yang ni ya kiroho Mungu wangu ameniacha. Kuna wakati nawaangalia watu fulani na kutamani kuwa wao na kujiona mimi ni mkosi...Maisha yangu ni ya kulia tuu barabarani, nyumbani, kanisani.

Ewe binadamu unaefahamu msaada wa tatizo langu naomba unisaidie kutoka kufungoni Kwa namna yoyote. Na mungu atakubariki sana.

Asante sana
pole sana mkuu
 
Tatizo lako hujulikani wa mito, vugu vugu au baridi... Mara masheikh mara waganga, mara madhahabuni, unaleta mzaha atakuwa hatoki, km ww nni muislamu unatakiwa ujue huo ni mtihani, tena mtihani mkubwa sababu ukiteleza kidogo, unafanya dhambi kubwa kuliko zoote nayo ni shirki,unakuwa umefeli...

Tafuta sheikh asie na makando kando, akupige dua, mlilie mola wako atakuondolea haya mabalaa akipenda.

Kuna jamaa yangu alioa mke, kumbe yule mke alikuwa ni demu wa jini bila kujijua na wameshazaa na mtoto, akihangaika saana, si kwa waganga, wala mashekhe... baadae ndio kuja kumpata sheikh mmoja akamsaidia
 
Luka 11:24-26
Nakuja kuuchambua huo mstari.
Ndiko kuna uponyaji wako.
Pepo mchafu akimtoka mtu atamrudia tena endapo atakuta hali ileile ya awali ndani ya mtu.
Dawa ni wewe ubadilike na si kuishia kutolewa huyo pepo mchafu pekee
 
Back
Top Bottom