Nateswa sana na jini mahaba

Ungeweka hapa kwa msaada wa wengine pia
 
Nenda kanisani, nenda kwa waombaji waziristan, sio wachungaji/mapadri..tafuta kanisa lenye waombaji wazur utapata kupona,na ukipona endelea kuomba na ubadil lifestyle yako kidgo. Kama unakunywa bia sana uache kwanza
 
Pepo hawezi kumwingia mtu pasipo sababu, huyo Pepo mahaba alikuingia kwa sababu na hawezi kuondoka moja kwa moja hata kama unazunguka kwenye maombi bila kuondoa sababu iliyofanya akuingie.
Kujua hiyo sababu ndo ishu Sasa?
 
tOA MAELEKEZO zaidi ni Mungu yupi anatakiwa amtafute, na wapi apate kwanza connection. Bila connetion Mungu hawasikii watenda zambi kihivyo. Na Kwenda kichwa kichwa huko mlimani si ndio atakutana nalo live hilo dubwana. Mana usumbufu wote anaoupata ni kwa sababu hana ulinzi na connection ya msaada wa Mungu wa kweli, usimshauli apande mlimani peke bila kupata ulinzi wa Mungu, na kupona kwake si lazima apande mlimani. Akamuone Mwamposa kazi kwishnea
 
Sio lazima ule kilo nzima, pia kula bangi, kula bangi, kula bangi, narudia tena kula bangi

Utakuja kunishukuru
 
Pole sana, ila kuna kitu nimekihisi hapo. Unachanganya mambo, ukitaka kumfuata Yesu mfuate kwa moyo wote usichanganye na waganga wa kienyeji. Yesu pekee anatosha trust me hutoamini kitakacho tokea. Sijajua upo wap nikuelekeze.
 
Hayo madubwasha ukiwa nayo yanakera
 
Wewe ni mpotoshaji.Mungu mwenyewe ndiye aliyemuumba Lucifer,how can you deny his presence. Na Bwana Yesu huduma yake duniani ilikuwa ni kuihubiri Injili na kuwasaidia walio onewa na Shetani including Demons and Jinns,who are you to deny his presence including his servants:demons,Jinns etc.
 
Ngono ngono ngono. Muda mwingine sio jini dam yangu. ila ni matendo na mambo kadharika yanayotuzunguka. Huenda ukawa the same na mimi ila mi najijua kuwa nina kiu kinyama cha mambo ya kibaba baba.. acha tu niishie hapa ila kikubwa kubadili mienendo.
 
Pia na mafuta ya Zaituni yanasaidia kimtindo me huwa nanunua Kila mwisho wa mwezi pale magomeni kuna jamaa anayauza 2000TZS
Yalinisaidia sana hayo.mafuta.. kuna mama mmoja ni mganga kusema kweli, nilikuwa nasumbuliwa na miguu ilikuwa inawaka moto pamoja na maumivu ya kuhama hama,,, huyo mama alinipa hayo mafta nikajipaka.. ndani ya wiki 2 tatizo ikawa imeisha
 
Sikutaka kureply but ulivyomtaja huyo jamaa yako sijui mwamposa imenibidi niandike na nicheke 😂🤣.

👉🏾 Business as usual..!
 
Ingia Yo
utube alaf anadika jini mahaba by sunbella kyando. Ukutane na mwana wa kweli wa Mungu, usipo pona naomba unidai milion moja.
 
Linakufanyaje jini mahaba, linakupiga miti bila ridhaa yako ama?
 
Matapeli hao hawana lolote mkuu
 
Utahangaika sana kama unategemea kupona kwa kuombewa Jini ni kiumbe dhaifu sana kwa Mwanadamu kama hutamfatisha anavyotaka yeye.
 
Msaidie huyo shehe mdau
 
Mungu tuu atakusaidia. Usisubiri mchungaji akuombee, mchungaji atakuongoza kuomba, wewe pekee ndio utamtoa huyu mtu kwa maombi na kufunga. Amka usiku usali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…