Nateswa sana na jini mahaba

Nateswa sana na jini mahaba

Yaani nakuelewa sana km kweli wahitaji msaada nitafute nkusaidie niliteseka for 25 good years na hilo dubwana mpk last year...nimepona km uko serious ntakusaidia hakuna ndumba,wala kuvaa hirizi utapona hutaamini kwa uwezo wa Mungu.

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Ungeweka hapa kwa msaada wa wengine pia
 
Nenda kanisani, nenda kwa waombaji waziristan, sio wachungaji/mapadri..tafuta kanisa lenye waombaji wazur utapata kupona,na ukipona endelea kuomba na ubadil lifestyle yako kidgo. Kama unakunywa bia sana uache kwanza
 
Pepo hawezi kumwingia mtu pasipo sababu, huyo Pepo mahaba alikuingia kwa sababu na hawezi kuondoka moja kwa moja hata kama unazunguka kwenye maombi bila kuondoa sababu iliyofanya akuingie.
Kujua hiyo sababu ndo ishu Sasa?
 
Kwanza nakuona una udhaifu na unalipenda hilo dubwana, pili sijui ni Mungu yupi unaye kwenda kuongea naye kwa kipindi chote hiko.

Yaani kwa Mungu sijui nini kinashindikana ndiyo maana ukiwa kwenye maombi ya nguvu linasepa na kukaa nje likisubiri umalize lije tena.

Nakushauli piga mfungo wa mlimani kwa siku saba ukiwa unakunywa maji tu baada ya hapo njoo utoe ushuhuda.
tOA MAELEKEZO zaidi ni Mungu yupi anatakiwa amtafute, na wapi apate kwanza connection. Bila connetion Mungu hawasikii watenda zambi kihivyo. Na Kwenda kichwa kichwa huko mlimani si ndio atakutana nalo live hilo dubwana. Mana usumbufu wote anaoupata ni kwa sababu hana ulinzi na connection ya msaada wa Mungu wa kweli, usimshauli apande mlimani peke bila kupata ulinzi wa Mungu, na kupona kwake si lazima apande mlimani. Akamuone Mwamposa kazi kwishnea
 
Sio lazima ule kilo nzima, pia kula bangi, kula bangi, kula bangi, narudia tena kula bangi

Utakuja kunishukuru
 
Pole sana, ila kuna kitu nimekihisi hapo. Unachanganya mambo, ukitaka kumfuata Yesu mfuate kwa moyo wote usichanganye na waganga wa kienyeji. Yesu pekee anatosha trust me hutoamini kitakacho tokea. Sijajua upo wap nikuelekeze.
 
Hayo madubwasha ukiwa nayo yanakera
 
Kwanin unaimani za hovyo namna hio mkuu...

Mimi naishi nikiamin..

No shetan
No majin
Nikifeli lazima nijue tatizo na Mara nyingi inakuwa kutokuwa makini..

Kukataliwa na watu I don't care kwan huwez pendwa na kila MTU hapa duniani ..

Acha kuwa na mawazo ya kigiza giza
Wewe ni mpotoshaji.Mungu mwenyewe ndiye aliyemuumba Lucifer,how can you deny his presence. Na Bwana Yesu huduma yake duniani ilikuwa ni kuihubiri Injili na kuwasaidia walio onewa na Shetani including Demons and Jinns,who are you to deny his presence including his servants:demons,Jinns etc.
 
Habari za muda huu ndugu zangu.

Mimi ni kijana Me 26 nimekulia maisha yenye furaha sana mpaka nilipofikia umri wa miaka 24 na kugundua mwili wangu haupo sawa. Yani nasumbuliwa na kiumbe aitwa jini mahaba apo awali nilikuwa nahisi furaha kupata ndoto ya jima na mwanamke ila hasara za huyu kiumbe nimeziona nilipoingia kwenye mahusiano na binti mcha mungu sana.

Ni miaka miwili sasa nateseka kwa aliewahi kupata tatizo langu ni rahisi kunielewa. Nimezungu kwa waganga wa jadi wengi sana wenye uweledi ila nimekuwa nikilitatua tatizo langu kwa kipindi kifupi na kurudi. Tokea nimemtambua uyu kiumbe na kuanza vita nae amezidi kuniandama na kufunga mpaka riziki zangu. Nimefukuzwa kazi, nakataliwa na watu, nadhulumiwa kwenye jasho langu nimekuwa mtu wa kulia sana na kuomba lakini wapi.

Sifahamu ametokea wapi au ametumwa na nani? Ngoja niwaelezee kidogo kuhusu uyu kiumbe na mateso yake kwangu...Uyu kiumbe sio kama mashwetani wa kawaida ukisema akiitwa atazungumza na kueleza dhamira yake. uyu kiumbe anapoona kuna makali ya kumuumiza mfano maombi au dua hutoka na kuondoka na baada ya dawa kuisha hurudi hiyo ndio sababu kubwa ya kushindikana kuondoka kwa huyu kiumbe.

Baada ya kufuatilia mlolongo wa maisha yangu ya nyuma baada ya kutambua nina kiumbe huyu ndani mwangu nimegundua, mwanamke hunipenda ila mimi sitompenda nitamtumia na mwishowe nitamuachia huzuni ya kumuacha, kosa kubwa ni mimi nikimpenda mwanamke zitafanyika hila zozote za kunifanya nishindwane na huyo mwanamke, mfano nitashindwa kumuingilia uyo mwanamke kila nikitaka kufanya hivyo uume hutoweza kufanya lolote ila nikienda kwa mwanamke mwingine naweza niliwahi kuambiwa ni kwamba anapata wivu ndio sababu ya kuniharibia "nimewapoteza bila sababu wengi sana niliokuwa nawapenda nimeumia sana" nipo na mwanamke mcha mungu amekuwa akiniombea na ni strong nadhan ndio moja ya sababu kumshindwa kiumbe huyu

Nimemuingiza katika vita sababu ya upendo wake anapambana sana na mimi katika vita hii, anapata mandoto usiku ya kumtisha anaona wanawake wanamjia na kumwambia umeamua kumfanya unavyotaka sio, baada ya kuwa natumia gharama nyingi kwa waganga kwa ajili ya tatizo langu aliamua kufunga riziki zangu nisipate hata 100 ili nisiweze kufanya jitihada zozote za kumuondoa. Nimeachishwa kazi bila sababu. Apa nilipo sina hata senti.

Vihoja vya mateso kwenye maisha yangu ni vingi sana hata kukumbuka nashindwa nimekuwa kwenye kifungo kikubwa sana nimeenda madhabau mengi na tofauti kanisani, kwa mashekh, kwa waganga ila sijapata auheni zaidi ya uyu kiumbe kuzidi kunipatia mateso. Hivi ninanyoandika nimechoka na kuishi kwa sasa ni mwanamke wangu ambae sina imani katika safari yangu kama nitafika nae.

Nateseka nateseka haswa. Siku uyu binadamu wa karibu yangu pekee atakapo kata tamaa na mimi basi na mimi sitokuwa na budi kuiacha dunia na kupata pumziko la milele, sioni faida ya kuishi apa nilipo nmeuza mali zangu nyingi nilizokuwa nazo ila napota ela bila kujua kufahamu. huu ni moja ya mfano mmoja kati ya mingi ya ajabu iliyonikumba niliwahii kuchukua simu ya mtu nimelekee mteja ili niipaate elf20 ya udalal ila nilienda kushikwa na kuambiwa nimeiiba ile simu na kuwekwa ndani ila baada ya siku2 iligundulika ile simu sio ya wizi imefananishwa nikaachiwa, niliwahi kuitwa interview nilizunguka saa nzima naupita mlango wa chumba cha inteview mpak mda ukaisha.

Katika ndoto usiku naambiwa nawaona wanawake wananiambia wewe si mbishi tutakuonyesha. Nimechoka nahitaji msaada kwa njia yoyote ile inatosha naitaka amani, kuna wakati nalia sana usiku nakuomba...Mwili wangu ni wa nyama vita yang ni ya kiroho Mungu wangu ameniacha. Kuna wakati nawaangalia watu fulani na kutamani kuwa wao na kujiona mimi ni mkosi...Maisha yangu ni ya kulia tuu barabarani, nyumbani, kanisani.

Ewe binadamu unaefahamu msaada wa tatizo langu naomba unisaidie kutoka kufungoni Kwa namna yoyote. Na mungu atakubariki sana.

Asante sana
Ngono ngono ngono. Muda mwingine sio jini dam yangu. ila ni matendo na mambo kadharika yanayotuzunguka. Huenda ukawa the same na mimi ila mi najijua kuwa nina kiu kinyama cha mambo ya kibaba baba.. acha tu niishie hapa ila kikubwa kubadili mienendo.
 
Pia na mafuta ya Zaituni yanasaidia kimtindo me huwa nanunua Kila mwisho wa mwezi pale magomeni kuna jamaa anayauza 2000TZS
Yalinisaidia sana hayo.mafuta.. kuna mama mmoja ni mganga kusema kweli, nilikuwa nasumbuliwa na miguu ilikuwa inawaka moto pamoja na maumivu ya kuhama hama,,, huyo mama alinipa hayo mafta nikajipaka.. ndani ya wiki 2 tatizo ikawa imeisha
 
tOA MAELEKEZO zaidi ni Mungu yupi anatakiwa amtafute, na wapi apate kwanza connection. Bila connetion Mungu hawasikii watenda zambi kihivyo. Na Kwenda kichwa kichwa huko mlimani si ndio atakutana nalo live hilo dubwana. Mana usumbufu wote anaoupata ni kwa sababu hana ulinzi na connection ya msaada wa Mungu wa kweli, usimshauli apande mlimani peke bila kupata ulinzi wa Mungu, na kupona kwake si lazima apande mlimani. Akamuone Mwamposa kazi kwishnea
Sikutaka kureply but ulivyomtaja huyo jamaa yako sijui mwamposa imenibidi niandike na nicheke 😂🤣.

👉🏾 Business as usual..!
 
Ingia Yo
Habari za muda huu ndugu zangu.

Mimi ni kijana Me 26 nimekulia maisha yenye furaha sana mpaka nilipofikia umri wa miaka 24 na kugundua mwili wangu haupo sawa. Yani nasumbuliwa na kiumbe aitwa jini mahaba apo awali nilikuwa nahisi furaha kupata ndoto ya jima na mwanamke ila hasara za huyu kiumbe nimeziona nilipoingia kwenye mahusiano na binti mcha mungu sana.

Ni miaka miwili sasa nateseka kwa aliewahi kupata tatizo langu ni rahisi kunielewa. Nimezungu kwa waganga wa jadi wengi sana wenye uweledi ila nimekuwa nikilitatua tatizo langu kwa kipindi kifupi na kurudi. Tokea nimemtambua uyu kiumbe na kuanza vita nae amezidi kuniandama na kufunga mpaka riziki zangu. Nimefukuzwa kazi, nakataliwa na watu, nadhulumiwa kwenye jasho langu nimekuwa mtu wa kulia sana na kuomba lakini wapi.

Sifahamu ametokea wapi au ametumwa na nani? Ngoja niwaelezee kidogo kuhusu uyu kiumbe na mateso yake kwangu...Uyu kiumbe sio kama mashwetani wa kawaida ukisema akiitwa atazungumza na kueleza dhamira yake. uyu kiumbe anapoona kuna makali ya kumuumiza mfano maombi au dua hutoka na kuondoka na baada ya dawa kuisha hurudi hiyo ndio sababu kubwa ya kushindikana kuondoka kwa huyu kiumbe.

Baada ya kufuatilia mlolongo wa maisha yangu ya nyuma baada ya kutambua nina kiumbe huyu ndani mwangu nimegundua, mwanamke hunipenda ila mimi sitompenda nitamtumia na mwishowe nitamuachia huzuni ya kumuacha, kosa kubwa ni mimi nikimpenda mwanamke zitafanyika hila zozote za kunifanya nishindwane na huyo mwanamke, mfano nitashindwa kumuingilia uyo mwanamke kila nikitaka kufanya hivyo uume hutoweza kufanya lolote ila nikienda kwa mwanamke mwingine naweza niliwahi kuambiwa ni kwamba anapata wivu ndio sababu ya kuniharibia "nimewapoteza bila sababu wengi sana niliokuwa nawapenda nimeumia sana" nipo na mwanamke mcha mungu amekuwa akiniombea na ni strong nadhan ndio moja ya sababu kumshindwa kiumbe huyu

Nimemuingiza katika vita sababu ya upendo wake anapambana sana na mimi katika vita hii, anapata mandoto usiku ya kumtisha anaona wanawake wanamjia na kumwambia umeamua kumfanya unavyotaka sio, baada ya kuwa natumia gharama nyingi kwa waganga kwa ajili ya tatizo langu aliamua kufunga riziki zangu nisipate hata 100 ili nisiweze kufanya jitihada zozote za kumuondoa. Nimeachishwa kazi bila sababu. Apa nilipo sina hata senti.

Vihoja vya mateso kwenye maisha yangu ni vingi sana hata kukumbuka nashindwa nimekuwa kwenye kifungo kikubwa sana nimeenda madhabau mengi na tofauti kanisani, kwa mashekh, kwa waganga ila sijapata auheni zaidi ya uyu kiumbe kuzidi kunipatia mateso. Hivi ninanyoandika nimechoka na kuishi kwa sasa ni mwanamke wangu ambae sina imani katika safari yangu kama nitafika nae.

Nateseka nateseka haswa. Siku uyu binadamu wa karibu yangu pekee atakapo kata tamaa na mimi basi na mimi sitokuwa na budi kuiacha dunia na kupata pumziko la milele, sioni faida ya kuishi apa nilipo nmeuza mali zangu nyingi nilizokuwa nazo ila napota ela bila kujua kufahamu. huu ni moja ya mfano mmoja kati ya mingi ya ajabu iliyonikumba niliwahii kuchukua simu ya mtu nimelekee mteja ili niipaate elf20 ya udalal ila nilienda kushikwa na kuambiwa nimeiiba ile simu na kuwekwa ndani ila baada ya siku2 iligundulika ile simu sio ya wizi imefananishwa nikaachiwa, niliwahi kuitwa interview nilizunguka saa nzima naupita mlango wa chumba cha inteview mpak mda ukaisha.

Katika ndoto usiku naambiwa nawaona wanawake wananiambia wewe si mbishi tutakuonyesha. Nimechoka nahitaji msaada kwa njia yoyote ile inatosha naitaka amani, kuna wakati nalia sana usiku nakuomba...Mwili wangu ni wa nyama vita yang ni ya kiroho Mungu wangu ameniacha. Kuna wakati nawaangalia watu fulani na kutamani kuwa wao na kujiona mimi ni mkosi...Maisha yangu ni ya kulia tuu barabarani, nyumbani, kanisani.

Ewe binadamu unaefahamu msaada wa tatizo langu naomba unisaidie kutoka kufungoni Kwa namna yoyote. Na mungu atakubariki sana.

Asante sana
utube alaf anadika jini mahaba by sunbella kyando. Ukutane na mwana wa kweli wa Mungu, usipo pona naomba unidai milion moja.
 
Chukua namba za hawa watu wasiliana nao hawa wanamjua shetani ndani nje wanazijua Siri nyingi sana za ushindi wa giza.
Wanauelewa mkubwa Sana wa mambo ya kiroho wameyaishi kwa vitendo wanajua codes zote za kufungua uchawi,majini,nk.
Umelogwa,umefungwa,umetupiwa magonjwa,una shida za kiroho watakupa msaada.

1.Mussa Chesa 0758238524
2.Omari Mnyeshani 0755025821
3.Meshack Hassan 0653025305
Matapeli hao hawana lolote mkuu
 
Utahangaika sana kama unategemea kupona kwa kuombewa Jini ni kiumbe dhaifu sana kwa Mwanadamu kama hutamfatisha anavyotaka yeye.
 
Tatizo lako hujulikani wa mito, vugu vugu au baridi... Mara masheikh mara waganga, mara madhahabuni, unaleta mzaha atakuwa hatoki, km ww nni muislamu unatakiwa ujue huo ni mtihani, tena mtihani mkubwa sababu ukiteleza kidogo, unafanya dhambi kubwa kuliko zoote nayo ni shirki,unakuwa umefeli...

Tafuta sheikh asie na makando kando, akupige dua, mlilie mola wako atakuondolea haya mabalaa akipenda.

Kuna jamaa yangu alioa mke, kumbe yule mke alikuwa ni demu wa jini bila kujijua na wameshazaa na mtoto, akihangaika saana, si kwa waganga, wala mashekhe... baadae ndio kuja kumpata sheikh mmoja akamsaidia
Msaidie huyo shehe mdau
 
Habari za muda huu ndugu zangu.

Mimi ni kijana Me 26 nimekulia maisha yenye furaha sana mpaka nilipofikia umri wa miaka 24 na kugundua mwili wangu haupo sawa. Yani nasumbuliwa na kiumbe aitwa jini mahaba apo awali nilikuwa nahisi furaha kupata ndoto ya jima na mwanamke ila hasara za huyu kiumbe nimeziona nilipoingia kwenye mahusiano na binti mcha mungu sana.

Ni miaka miwili sasa nateseka kwa aliewahi kupata tatizo langu ni rahisi kunielewa. Nimezungu kwa waganga wa jadi wengi sana wenye uweledi ila nimekuwa nikilitatua tatizo langu kwa kipindi kifupi na kurudi. Tokea nimemtambua uyu kiumbe na kuanza vita nae amezidi kuniandama na kufunga mpaka riziki zangu. Nimefukuzwa kazi, nakataliwa na watu, nadhulumiwa kwenye jasho langu nimekuwa mtu wa kulia sana na kuomba lakini wapi.

Sifahamu ametokea wapi au ametumwa na nani? Ngoja niwaelezee kidogo kuhusu uyu kiumbe na mateso yake kwangu...Uyu kiumbe sio kama mashwetani wa kawaida ukisema akiitwa atazungumza na kueleza dhamira yake. uyu kiumbe anapoona kuna makali ya kumuumiza mfano maombi au dua hutoka na kuondoka na baada ya dawa kuisha hurudi hiyo ndio sababu kubwa ya kushindikana kuondoka kwa huyu kiumbe.

Baada ya kufuatilia mlolongo wa maisha yangu ya nyuma baada ya kutambua nina kiumbe huyu ndani mwangu nimegundua, mwanamke hunipenda ila mimi sitompenda nitamtumia na mwishowe nitamuachia huzuni ya kumuacha, kosa kubwa ni mimi nikimpenda mwanamke zitafanyika hila zozote za kunifanya nishindwane na huyo mwanamke, mfano nitashindwa kumuingilia uyo mwanamke kila nikitaka kufanya hivyo uume hutoweza kufanya lolote ila nikienda kwa mwanamke mwingine naweza niliwahi kuambiwa ni kwamba anapata wivu ndio sababu ya kuniharibia "nimewapoteza bila sababu wengi sana niliokuwa nawapenda nimeumia sana" nipo na mwanamke mcha mungu amekuwa akiniombea na ni strong nadhan ndio moja ya sababu kumshindwa kiumbe huyu

Nimemuingiza katika vita sababu ya upendo wake anapambana sana na mimi katika vita hii, anapata mandoto usiku ya kumtisha anaona wanawake wanamjia na kumwambia umeamua kumfanya unavyotaka sio, baada ya kuwa natumia gharama nyingi kwa waganga kwa ajili ya tatizo langu aliamua kufunga riziki zangu nisipate hata 100 ili nisiweze kufanya jitihada zozote za kumuondoa. Nimeachishwa kazi bila sababu. Apa nilipo sina hata senti.

Vihoja vya mateso kwenye maisha yangu ni vingi sana hata kukumbuka nashindwa nimekuwa kwenye kifungo kikubwa sana nimeenda madhabau mengi na tofauti kanisani, kwa mashekh, kwa waganga ila sijapata auheni zaidi ya uyu kiumbe kuzidi kunipatia mateso. Hivi ninanyoandika nimechoka na kuishi kwa sasa ni mwanamke wangu ambae sina imani katika safari yangu kama nitafika nae.

Nateseka nateseka haswa. Siku uyu binadamu wa karibu yangu pekee atakapo kata tamaa na mimi basi na mimi sitokuwa na budi kuiacha dunia na kupata pumziko la milele, sioni faida ya kuishi apa nilipo nmeuza mali zangu nyingi nilizokuwa nazo ila napota ela bila kujua kufahamu. huu ni moja ya mfano mmoja kati ya mingi ya ajabu iliyonikumba niliwahii kuchukua simu ya mtu nimelekee mteja ili niipaate elf20 ya udalal ila nilienda kushikwa na kuambiwa nimeiiba ile simu na kuwekwa ndani ila baada ya siku2 iligundulika ile simu sio ya wizi imefananishwa nikaachiwa, niliwahi kuitwa interview nilizunguka saa nzima naupita mlango wa chumba cha inteview mpak mda ukaisha.

Katika ndoto usiku naambiwa nawaona wanawake wananiambia wewe si mbishi tutakuonyesha. Nimechoka nahitaji msaada kwa njia yoyote ile inatosha naitaka amani, kuna wakati nalia sana usiku nakuomba...Mwili wangu ni wa nyama vita yang ni ya kiroho Mungu wangu ameniacha. Kuna wakati nawaangalia watu fulani na kutamani kuwa wao na kujiona mimi ni mkosi...Maisha yangu ni ya kulia tuu barabarani, nyumbani, kanisani.

Ewe binadamu unaefahamu msaada wa tatizo langu naomba unisaidie kutoka kufungoni Kwa namna yoyote. Na mungu atakubariki sana.

Asante sana
Mungu tuu atakusaidia. Usisubiri mchungaji akuombee, mchungaji atakuongoza kuomba, wewe pekee ndio utamtoa huyu mtu kwa maombi na kufunga. Amka usiku usali.
 
Back
Top Bottom