Natetemeka/Kigugumizi nikiongea Kiingereza

kitambo nilikuwa nafahamu wanaofika chuo wote wanajua kingereza lakini kumbe syo mpakA watu waliokuwa makazini hii lughA inawapA shdA sasa usaili sijui walifanyaje pia huku jamiiforum kila mtu analalamika kutema yai ni tatzo .pia hao hao watu wanadigrii zao sjui tatzo libatokea wapi wadau.
 
ndugu wala usijutie kitu ni kawaida tu
cha msingi ni mazoezi
 
aisee mtetemo mbona hauishi wandugu nimeze dawa gani?
 
ninapata kigugumizi hatariiiiiiii nikitamka neno la kiingereza
 
Bora mimi kuliko wanaozugia tetemeko
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
OKAY,TRUST ME,I WILL LET,HANI,I WILL NOT DOWN MY LET YOU MY COUNTRY.
 
una miaka mingapi maana mbwa mzee hakubali mafunzo
 
ok very good thank you.. off course yes..yeah you know


Hayo maneno nayatumiaga sana
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Achana nacho mkuu, vinginevyo kuna siku utakufa kabisa
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
tatizo la wengi mkuu,na mzizi wake ni kutojiamini na kutojipanga ila ikitokea ukarekebisha haya makosa inawezekana
 
tatizo hili huwatokea wengi..sababu ni kuwa lugha unayotaka kuzungumza hauna uzoefu ila ni vyema kujiamini na kukubali kurekebishwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…