Nathubutu kusema UEFA champions league Atletico Madrid ndio mabingwa 80% loading

Nathubutu kusema UEFA champions league Atletico Madrid ndio mabingwa 80% loading

Trend ya Atletico Madrid(AT) imewashangaza wengi nawalinganisha moja kwa moja na Leceister city katika mbio za medani za soccer ,match ambazo tulitarajia itolewe ndo kwanza imewaangusha vigogo ,Robo fainali vigogo no 1 wa soccer duniani Barcelona (defending champions) tuliona wanatolewa kwa aggregate ya 3-2
Leo katika Nusu fainali tunashuhudia team pekee ambayo tulitarajia iwatoe AT ikiaga mashindani kwa advantage ya away goal

Mimi kama mpenda mpira nathubutu kusema hivi kati ya Team zilizobaki sio Man city wala Madrid hamna yenye uwezo wa kumfunga AT,whether kwa historia kujirudia kama UEFA ya 2013-2014 au watoto wamuarabu wa Dubai kutoka jiji la Manchester

This time Atletico Madrid am 100% sure hatarudia makosa aliyoyafanya fainali za UEFA 2013-2014

Simeone Diego go go this is your reign

Kabla hatujaendelea mbele zaidi na huu mjadala,kwanza tuakikishie kwamba AT wasipochukua kombe hutaacha soka.

Maana wewe kwa nadhiri,unatisha
 
Trend ya Atletico Madrid(AT) imewashangaza wengi nawalinganisha moja kwa moja na Leceister city katika mbio za medani za soccer ,match ambazo tulitarajia itolewe ndo kwanza imewaangusha vigogo ,Robo fainali vigogo no 1 wa soccer duniani Barcelona (defending champions) tuliona wanatolewa kwa aggregate ya 3-2
Leo katika Nusu fainali tunashuhudia team pekee ambayo tulitarajia iwatoe AT ikiaga mashindani kwa advantage ya away goal

Mimi kama mpenda mpira nathubutu kusema hivi kati ya Team zilizobaki sio Man city wala Madrid hamna yenye uwezo wa kumfunga AT,whether kwa historia kujirudia kama UEFA ya 2013-2014 au watoto wamuarabu wa Dubai kutoka jiji la Manchester

This time Atletico Madrid am 100% sure hatarudia makosa aliyoyafanya fainali za UEFA 2013-2014

Simeone Diego go go this is your reign
Mkuu, pana dhana katika mashindano haya kuwa timu inayoitoa FC Barcelona katika hatua ya robo fainali ndo inakuwa bingwa. Ngoja tuone mwisho wake.
 
Mkuu, pana dhana katika mashindano haya kuwa timu inayoitoa FC Barcelona katika hatua ya robo fainali ndo inakuwa bingwa. Ngoja tuone mwisho wake.

Mbona msimu ule Atletico anamfunga Barcelona final anakutana na real Madrid akafungwa atletico. Tena Barcelona alifungwa kwenye quarter-final hiyo ilikuwa 2014
 
Back
Top Bottom