jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Najaribu kufikiri kwa kina !
Inavyoonekana Rais Wetu Mhe. Samia Suluhu Hassani anatuelekeza kuwa na umoja wa kitaifa kwa ajili ya kuendeleza Taifa.
Amegusa maeneo yote muhimu yalioonekana ni MATATIZO MAKUBWA na hivyo kuja na approach mtambuka.
Ni muhimu kulielewa hili uwe mwanaCCM,Pro Magufuli ,Mpinzani n.k.
Hebu sasa tujenge muelekeo huo kama Taifa.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Inavyoonekana Rais Wetu Mhe. Samia Suluhu Hassani anatuelekeza kuwa na umoja wa kitaifa kwa ajili ya kuendeleza Taifa.
Amegusa maeneo yote muhimu yalioonekana ni MATATIZO MAKUBWA na hivyo kuja na approach mtambuka.
Ni muhimu kulielewa hili uwe mwanaCCM,Pro Magufuli ,Mpinzani n.k.
Hebu sasa tujenge muelekeo huo kama Taifa.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!