Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
una hakika na unayoyasema au ndio mambo ya vijiweni tu.......
Mie nilipeleka fizicale na ni kweli niliweka ktk dustibin ila haikugonga ubongo wangu kwani nishayaona sana office za serikali, mfano TRA pale nasaco ya zamani, na application za jeshini mwaka juziWeka vizuri ili tukuelewe halafu tuchangie
Una ushahidi kwa unayoongea?but kama haukuwa shortlisted cv na vyeti vyako havina kazi tena mkuu.kwa wale waliopeleka application zao NIC nasikia zilikua zinawekwa ktk dustbin,ivyo inakuaje mtu amesoma zaidi ya miaka kumi shule alafu chet chake anakitupa ktk dustbin kama akijui alaf anasema anaaply kazi?
una hakika na unayoyasema au ndio mambo ya vijiweni tu.......