National Council for Technical Education (NACTE) Wanafunzi walioomba Shahada ya kwanza

Joined
Jun 23, 2014
Posts
17
Reaction score
6
National Council for Technical Education (NACTE) TANGAZO WANAFUNZI WALIOMBA SHAHADA YA KWANZA

Matokeo yametoka ya awamu mbili na yamesha pelekwa vyuoni kwa ajili ya uhakiki. Tunapenda kuwa taarifu kuwa, kuanzia juma tatu mtaona kwenye PROFILE zenu. Ambao wamechaguliwa wataona- SELECTED

Ambao hawajachaguliwa -
WATEWEZA KUBADILI MACHAGUO YAO.

Asanteni. Source nacte fb
 
Hapa kuna uwezekano zitatoka tena second batch
 
Hiyo page ya Nacte fb ni fake jamaa ni wababaishaji tu mfano juzi hapo walisema eti posts za mzumbe zipo tayari eti wanazitoa lakini wapi hadi sasa zimepita siku 5 makavu tu.
 
Walinitumia kwamba nitaweza kuona kwenye profile yangu j3
 
waongo tu hao yaan ni majanga tu,mana si tcu wala nacte ni km sio ofsi za serikali;tuvute subra na waendelee kudanganya ili muda wetu uende.
 
Wanajamvi hebu tupunguze kulalamika, tusubiri tu hyo j.3 tuone wametuandalia nn...
 
Yani kuna watu humu wamo kukatisha wenzio tamaa sio fresh mbadilike mnajijua.

Watu wa nacte tusubiri j3 mana hata walioenda ofisini kwao waliambiwa hivyo
 
Yani kuna watu humu wamo kukatisha wenzio tamaa sio fresh mbadilike mnajijua! Watu wa nacte tusubiri j3 mana hata walioenda ofisini kwao waliambiwa hivyo

me sijaelewa vyuo vyote tulivyoomba wameshatoa majina na hatumo sasa tusubirie sis nacte kuna yetu special au hapa nshachanganyikiwa mm
 
Jamani mimi nimeshau password yangu yaani mpaka nawaza sijui itakuwaje
 
me sijaelewa vyuo vyote tulivyoomba wameshatoa majina na hatumo sasa tusubirie sis nacte kuna yetu special au hapa nshachanganyikiwa mm

Ambao hawajachaguliwa WATAWEZA KUBADILI MACHAGUO YAO soma apo juu mkuu
 
me sijaelewa vyuo vyote tulivyoomba wameshatoa majina na hatumo sasa tusubirie sis nacte kuna yetu special au hapa nshachanganyikiwa mm

mimi nimeelewa kuwa hy j3 tutakuta status kwny profile zetu waliochaguliwa watakuta status ya SELECTED.

If not selected utatakiwa uchague machaguo mengn, kwa hiyo kwa kifp watu wa dip selection bado hazijatoka rasmi.
 
mimi nimeelewa kuwa hy j3 tutakuta status kwny profile zetu waliochaguliwa watakuta status ya SELECTED..if not selected utatakiwa uchague machaguo mengn..kwa hy kwa kifp watu wa dip selection bado hazijatoka rasmi

You are right
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…