National Housing Corporation (NHC) Kujenga Housing Complex ya Wabunge Chimwaga Dodoma

National Housing Corporation (NHC) Kujenga Housing Complex ya Wabunge Chimwaga Dodoma

Baba Imani

Member
Joined
Jul 15, 2011
Posts
79
Reaction score
15
Wanajamii nimekuwapo Dodoma kwa siku mbili na ni eons niwasilishe tetesi hii ambayo haina ubishi tena. Leo jioni baada ya bajeti ya Ngereja kupita Waziri Mkuu aliandamana na Wabunge wetu kuelekea eneo beyond Chimwaga (kwa wale ambao hawajawahi Kigoma hapa Dodoma, Chimwaga ndiko palipo Chuo Kikuu Cha Dodoma). Ninaposema beyond Chimwaga namaanisha um Ali upatao fifteen more or less kilometers from town centre. Huko walienda kukagua eneo patakapojengwa nyumba zao. Nyumba hizo zitakuwa tayari ifikapo December 2012. Tunao Wabunge 387.Kabla ya hapo walipitia eneo la Medeli kuona nyumba zilizokwisha kamilika na tayari kwa kuuzwa. Katika complex hiyo kutakuwa na kola huduma za jamii na hivyo hapatakuwa na haja ya wao kutegemea mambo yore ya muhimu kiuchumi wanayopata kwa sasa hapa mjini.Wanajamii wenzangu kimsimngi wazo hilo Mie silipingi isipokuwa nimeptwa na mshawasha kuwa kuna uwezekano mkubwa kitendo cha kuwaengua hawa wateja katika uchumi mkuu ama soko mchanganyiko la wanadodoma na kuwa-confine kwenye mikono ya kampuni chache say a supermarket chain, etc, kutasababisha matatizo katika socioeconomic setup and prosperity ya wanajamii wa hapa. Naomba Mwongozo wenu ndugu zangu katika mstakabali wa taifa letu.
 
Nimesikia leo spika akisema watakwenda huko kuangalia eneo zitakakojengwa nyumba za NHC kwa ajili ya wabunge!
 
walijengewa kisasa wakakataa kukaa kwenye kota .....wakawagawia walimu wa chuo cha UDOM sasa wanaanza mpango huo tena
 
Waache wajenge wakizikataa tena tutazinunua cc bado hatujajenga.
 
hakuna haja ya kuwa na wasiwasi kuhushu soko, kwani vitakavyouzwa huko supermarket zao vitatokana na wakulima wetu wa bongo, mfano mchele bora unatoka lumuma, kyela na bahi. Nyama itatokana na ng'ombe wetu sisi wagogo wa hapahapa, wao watatusaidia kufunga vizuri ili vinunulike na watu wa kada za juu, kwa hiyo linalotakiwa ni kuacha uvivu na kuongeza uzalishaji. Hongera serikali ya CCM kwa hili.
 
walijengewa kisasa wakakataa kukaa kwenye kota

Walikataa kwa kuwa zipo mbali na club 84, sasa hivi kabla ya kuhamia huko NHC wanaongea na Mbowe awajengee Bills yao huko huko.
 
walijengewa kisasa wakakataa kukaa kwenye kota .....wakawagawia walimu wa chuo cha UDOM sasa wanaanza mpango huo tena


Another selfishness!!!! wabunge walishajengewa wakakataa, sassa mnawajengea tena, badala ya kujenga nyumba kwa wafanyakazi na wananchi wa kipato cha chini na kuwapa long rerm kulipa kwa mkopo nafuu kama huku botswana wanavyofanya kwa kila mji, hivyo kuleta maendeleo kwa kila eneo!!! mie nachoka kaqbisa... aaaargh.. wabunge wenyewe na mawaziri huwa hawakai na hawataki kuishi Dodoma!! Waststage of tax payers resources badala ya kuwafikiria wananchi walio wengi!!!
 
Another selfishness!!!! wabunge walishajengewa wakakataa, sassa mnawajengea tena, badala ya kujenga nyumba kwa wafanyakazi na wananchi wa kipato cha chini na kuwapa long rerm kulipa kwa mkopo nafuu kama huku botswana wanavyofanya kwa kila mji, hivyo kuleta maendeleo kwa kila eneo!!! mie nachoka kaqbisa... aaaargh.. wabunge wenyewe na mawaziri huwa hawakai na hawataki kuishi Dodoma!! Waststage of tax payers resources badala ya kuwafikiria wananchi walio wengi!!!

Ujamaa ushapitwa na wakati. Waacheni wajitenge kwani tunafaidika nini wao kuishi masaki na obay. Cha msingi tuwafanye wawajibike. NHC inaelekea kuwa bussiness oriented maskini hatoweza nunua nyumba. Cha msingi ni kupunguza tatizo la nyumba mijini na ili kodi zishuke.
 
Ni wachache sana watakwenda kukaa huko. hawa watu hawapendi maisha ya kota na nyumba hizo zitakuwa kama kota. Ukitaka mfano angalia mawaziri wanavyozipiga chenga nyumba za Viktoria hapa dar, kikubwa wanachokisema ni kuwa hawawezi kuishi kwenye kota. Hao wakubwa wakitaka wawapate wabunge katika dili kama hilo wawaambie kuwa watawakiopesha fedha za ntyumba (kama ilivyofanyika kwa magari)
 
Back
Top Bottom