National Intelligence and State Intelligence

Ni wakina nani hao wanaweza ingia eneo makaz ya speaker na kupiga tukio bila walinzi kujib mashambilizi?
Why cctv kamera zimetolewa?

Unabishana na watu wasiotaka kujadili hoja zaidi ya kusifu na kuabudu.

Kwa wale tunaamini kuna Mungu,basi kwenye kuua binadamu Muumba wa huyo Binaadamu asipotaka hata ukeshe usiku na mchana unaloga hutomuua.

Mfano mzuri ni yule Sniper aliyemdungua Pope Paul II na alipona pamoja na kwamba alimpiga sentimita chache toka kwa moyo.

Tukumbuke binadamu anavyowaza maovu au mema Mungu anayajua matendo yake kabla hata hajaanza kutenda.

Tujifunze kuheshimu Uhai wa mwingine hata akiwa tofauti na sisi.Hakuna binadamu mwenye haki ya kuondoa uhai wa binadamu mwenzake,awe Kiongozi au raia wa kawaida ndiyo sababu tumejiwekea Mahakama.

Na wasio fahamu Mahakama zilikuwepo kabla hata ya hizi za wazungu.Tujifunze kuheshimu maisha ya wengine
 
...hata Dr.Ulimboka pia nahisi alikutana na hao hao wasio na utaalamu
 
Ninachofurahi nikuwa umekubalia na mimi tofauti ni aina tu ya kuekezea hadhira
 
Wasomi wakibongo bhana shida sana sasa wewe unatupa mambo ya uraya na marekani sisi yanatusaidia nini okay wao walishawi kuandika habari za bongo .acha utumwa wewe kijana msomi mchwara
 
Wewe jamaa unachuki binafsi na Yeriko sio bure unataka kuniambia kila uzi unaoletwa humu unawasaidia wakulima wa korosho? Acheni tabia zakusema watu wanaotuelimisha humu mm binafsi nimeipenda sana article hii
 
Gentamycine umepotea sana mkuu heri ya mwaka mpya
 
Sasa umejuaje kama hao waliomshamnulia Lissu hawajapoteza ajira au kuuwawa mkuu?
 
Acha bange / bangi tafadhali. Kitengo gani hicho Mimi kimenibana?
In ngumu kwangu kuacha bange kutokana na shughuli ninayoifanya.Kitengo chako cha ufukunyuku mkuu kimepoa sana zile nyuzi zako zimepotea
 
Navyoifaham Spetsnaz ni tofauti kidooogo!
Its deeper than that...
It wasnt established for political bullshit, but its being used for that.

But still, you dont wanna meet those guys.
 
Hawa wazungu wametumaliza kabisa kifikra yaani tunafikiri kwa mujibu wa fikra zao, yaani ukikuta uzi una neno Intel basi lazima uone CIA. Nimemuelewa sana huyu jamaa wa MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO
 
Soma vizuri alichokiandika Yeriko ,yeriko kapotosha kuhusu hizo taasisi kuanzia muundo na namna zibavyotekeleza majukumu yake
fafanua ujuavyo tusioelewa tujue. vinginevyo wewe ndio unapotosha
 
ara

Paragraph 3 za mwanzo zilizotosha kuonesha muelekeo wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…