National Intelligence and State Intelligence

Kutokuandika habari za korosho haimaniishi kuwa mtu si mzalendo, hii nchi haiendeshwi kwa korosho tu, kuna idara nyingi sana, na pia kuna kada nyingi na tofauti kwa kila mtu kulingana na area of concentration kwa kila mtu, masuala ya kijasusi yapo kila nchi, asipoelewa mkulima wa korosho kuhusu issue za Intel za Tel Aviv, ataelewa mwingine, Yericko asipofundisha issue za korosho basi zitafundishwa na mwingine,

Kimsingi hatuwezi wote kuwa waalimu wa korosho, au wakulima wa korosho, kama ww unaelewa khs korosho, unaweza ukatoa darasa pia na wadau watakuja.

Vinginevyo ungemuonya tu moja kwa moja khs kutoa namna idara za kijasusi zinavyofanya kazi
 
Lakini hawajapatikana mkuu wala hawajawahi kujulikana, hapo ndio tatizo lilipo, na ndipo watu wanapoanza kufikiri vinginevyo.

Lakini pia kinachoogopesha zaidi ni kama "washamba" wanafanya tukio kama hilo mchana kweupe na hawawezi kuzuiliwa, kujulikana wala kupatikana JE SIKU WAKIFANYA "wajanja itakuwaje"

Na kama hao washamba wameshindwa kupatikana, uwezo wa vyombo vyetu vya usalama ukoje.

Fikiria Mara mbili mkuu
 
 
Kitengo kina fani mbalimbali na kila mtu ni specialist,
Huwez fanya kwenye hiyo idara bila kuwa mtaalam wa jambo fulani

Mfano;Kama lissu angeletwa muhimbil wataalam wangemalizia phase 2

Mbowe aliwaza vema

Muongo utaalamu gani si mnapata mafunzo yanayofanana tu basi
 
Daah Yericko bana amewaza nini sijui, hebu jimwage zaidi binamu yangu Yerricko tungeongea kilugha tatizo hukukulia nyumbani umekulia huko Dare-ssalaam
 
Mvua na jua kwa pamoja maana yake nini wajameni, maana hapa kijijini tangu asubuhi kuna mvua inanyesha na jua linawaka kwa wakati mmoja Mmmaa!!!!!
 
Kwani mshamba hawezi kulindwa na vyombo vya dola mkuu

Eti hawajapatikana acha masihara basi ,wahusika wapo mwambie sizonje aruhusu uchunguzi Uhuru na wa haki
 
Vipi Yericko Nyerere kwa hapa Tanzania bara tunakikosi kama hiko cha siri na hapa ushughulika na nani na kwa misingi ipi ambayo wao huitumia katika utendaji kazi wao kwa huku Tanzania ?
 
Kitengo kina fani mbalimbali na kila mtu ni specialist,
Huwez fanya kwenye hiyo idara bila kuwa mtaalam wa jambo fulani

Mfano;Kama lissu angeletwa muhimbil wataalam wangemalizia phase 2

Mbowe aliwaza vema
Kwahiyo pale hospitali Dodoma walipo muwahisha ndio hawapo eti,
 
Yes, hilo ndio lilikuwa lengo lake na ndio ukweli wa kile alichokusudia hadhira wakipate. Hata kama kuna "chumvi" kidogo lakini ukweli wa dhamira ya udhui lake wengi tunasadiki na kukubaliana nayo,. "Musi forcetufanane"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…