#COVID19 National treatment policy ya Covid 19 kwa Tanzania ni ipi?

#COVID19 National treatment policy ya Covid 19 kwa Tanzania ni ipi?

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Katika uchunguzi wangu nimegundua kuwa kila hospitali inatibu Covid 19 kadri inavyoona inafàa. Hakuna mwongozo maalumu wa kitaifa kutoka mamlaka husika.

Nasema hivyo kwa sababu nimeuguza wagonjwa kadhaa including me katika hospitali tofauti tofauti na kushuhudia kila hospitali inatoa dawa kadri inavyoona inafaa.

Reference ya kusema hivyo ni kuwa katika fani ya kutibu magonjwa huwa kuna standard regimen ambayo hutolewa na wizara husika/taifa to guide treatment of diseases.

Mfano, malaria treatment policy ipo treatment guide ya kitaifa, malaria isiyo kali, standard drug ni ALu given according to weight. Kwa Covid 19 nadhani hakuna mwongozo rasmi. Mwenye kujua anisaisie na kunielimisha.

There is an array of drugs being used differing from one hospital to another ukiacha oxygen support.
 
Standard treatment guideline (STG) yetu mpaka sasa bado. mwendazake alivuruga sana alikuwa yeye ni daktari , mkemia na mtafiti.

Kama ulivyoainisha ni muhimu kuwe na standard zinazofanana katika matibabu.

Ingawa kwa sasa inatumika cocktail ya (azithromycin, zinc sulphate, ascorbic acid, low molecular weight heparin n.k), intravenous fluids na oxygen

Yote kwa yote wizara ya afya inapaswa irudi kwenye mstari, ifanye kazi kwa kuzingatia weledi na taaluma bila kusukumwa na mihemuko au hisia za wanasiasa.
 
Standard treatment guideline (STG) yetu mpaka sasa bado. mwendazake alivuruga sana alikuwa yeye ni daktari, mkemia na mtafiti..
Asante Sana kwa clarification. Basi I was a victim of covid. Nilitibiwa na Dexamethasone, azuma, Nat C, amoxyclavu? (Spelling), Ped Zinc, aspirin junior etc while my relatives niliowauguza had quite a different course!
 
Standard treatment guideline ( STG ) yetu mpaka sasa bado. mwendazake alivuruga sana alikuwa yeye ni daktari , mkemia na mtafiti.

Kama ulivyoainisha ni muhimu kuwe na standard zinazofanana katika matibabu.

Ingawa kwa sasaa inatumika cocktail ya (azithromycin, zinc sulphate, ascorbic acid, low molecular weight heparin n.k), intravenous fluids na oxygen

Yote kwa yote wizara ya afya inapaswa irudi kwenye mstari, ifanye kazi kwa kuzingatia weledi na taaluma bila kusukumwa na mihemuko au hisia za wanasiasa.
Aliamini kujifukiza
 
Asante Sana kwa clarification. Basi I was a victim of covid. Nilitibiwa na Dexamethasone, azuma, Nat C, amoxyclavu? (Spelling), Ped Zinc, aspirin junior etc while my relatives niliowauguza had quite a different course!
Pole sana mkuu, jambo la kushukuru ulipona. Tuendelee kuchukua tahadhari tukitambua bado ugonjwa upo na unaua.
 
Back
Top Bottom