NATO hatakiwi kishinda vita hii maana hana nia nzuri na dunia hii

Umeandika meeengi ila nakuuliza maswali machache tu, la kwanza inamaana hapo unapoishi ukigombana na adui Yako basi wote waishio karibu na ww wanatakiwa pia waingie kwenye ugomvi?

Swali lingine, Urusi ana majirani wangapi na je wote ni maadui wa NATO?

Swali la tatu, Toka Urusi aingie kijeshi Ukraine ni majirani wangapi wa Urusi wamejiunga NATO? Na je Urusi ameingiza majeshi kwenye hizo nchi?
 
Ukitaka ujue kuwa watanzania uwezo wao wa kufikiria ni mdogo weka Uzi kama huu
 
Urusi mbona kaishiwa silaha sasahivi anaomba silaha korea kaskazini

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo lazima wakubwa wakupangie ili mambo yao yaende.mbona Marekani ndo bingwa wa kuwapangia Watu.Tumieni akili kufikiri.
Mbona Urusi imeshindwa kuipangia Finland iliyojiunga NATO??
 
Mda utazungumza ,mambo ni mengi mda ni mchache
 
mkund wako

KWANINI UTUKANE?

ULITAKIWA UMSHINDE KWA HOJA SIO KWA MATUSI.

WAKUWAHISHE DODOMA UKALE ZABIBU PAMOJA NA KUPUNGA UPEPO PALE KARIBU NA GEREZA LA ISANGA.

HII ITAKUSAIDIA KUWA MZURI WA KUJENGA HOJA HUKO MBELENI.
soma alichoandika na alivyojibiw , hajatukanwa mtu
 
Shoga yoyote hawezi kukaa na mwanaume wakaongea kiume wakamaliza tofauti zao,Ukrein haina raisi bali inakivuli cha NATO kinachoongoza nchi ya Ukrein
nazan Zele ni bora kuliko Putin , Putin anajificha na hajavamiwa Urusi
 
unategemea nin kwa nchi inayosaini mikataba ya hovyo
 
Ndiyo lazima wakubwa wakupangie ili mambo yao yaende.mbona Marekani ndo bingwa wa kuwapangia Watu.Tumieni akili kufikiri.
una akil za kishoga , ukiambiwa binuka tukusugue utakubal tu ?
 
kwamb wewe na Marekan nan ana data za uongo? ebu endeleeni kupikia kuni na gesi ipo mtwara
 

Sababu kuu ya urusi kuivamia ukraine ni moja tu kurudisha USSR... putin ni kizazi cha USSR tena mhafidhina haswa wakat inasambaratika putin aliluwa comrade hasa wa USSR na kilimuuma sana aliamini kuwa viongoz wake walizembea kuruhusu mgawanyiko .. aliamin ilitakiwa Nchi iongozwe na Iron fist maaana utawala wowote wa kicomunist unaamin katika iron first ruling

So putin anataka kurudisha USSR akimaliza na ukraine atahamia nchi zingine ambazo zilikuwa ni USSR na hata irudisha kw mfumo wa kizaman anataka afanye kama belarus anaweka kiongoz puppet maana yake kremlin ndo itakuwa inaamua nini kifanyike ukraine.. kama ilivyo belarus

Hizo sababu zingine ni geresha
Tu maana anajua ukraine wakijoin Nato basi wengine watafata na ndoto yake haitatimia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…