SaintErick
Member
- Aug 7, 2013
- 90
- 53
Muungano wa kijeshi wa NATO pamoja na Jumuiya ya Umoja wa Ulaya kwa sasa wanakabiliwa na changamoto kubwa zaidi tangu kumalizika kwa mzozo wa vita baridi miaka ya 1990s.
NATO ilijisahau na kua na utegemezi wa Marekani kwa asllimia kubwa. Lakini katika kipindi cha Urais wa Donald Trump (2016-2020), NATO ilijikutq inaingia katika mzozo wa kibajeti na Marekani. Kwa sasa NATO inahofia kama Trump atashinda ni nini ataamua? Nchi nyingi za Ulaya kama Finland zinajaribu kwanza kujiimarisha zenyewe.
Mgogoro wa Ukraine kwa sasa ni kipimo cha uthabiti wa NATO lakini ingawa Ukraine sio Mwanachama wa NATO ilikua ni muhimu kuisaidia. Lakini mpka sasa ni kwamba ni kama NATO imetegwa. Hitaji la Ukraine ni kutumia Silaha za NATO na au kutoka washirika wa Umoja wa Ulaya lakini nchi zote hazina mtazamo sawa. Kuna baadhi zinaruhusu kama Finland na nyingine zinakataa kama Ujerumani. Na kuna tofauti kati ya nchi waanzilishi wa NATO na hawa waliojiunga karibuni. Nchi za mwanzo hasa kipindi cha kati ya 1970s-1990s zinatazama katika namna tofauti sana kwa kuhesabu hatua zilizobakia Ulaya kutumikia katika vita kamili na URUSI ambayo Warusi walikua wakijiandaa nago kwa muda sasa ila Ulaya bado ndio wameanza kujiandaa haswa kati ya 2022/23.
Tatizo la NATO ilikuwa ni kujitanua kusiko kua na nidhamu kinyume kitu ambacho marais werevu kama George HW Bush na Bill Clinton walijaribu kuzuia wakati huo na ukikukwaji miongozo na makubaliano ya mwanzo na labda kwa sababu waliidhafau Urusi hasa ya Boris Yelestin na Vladmir Putin.
Wakati NATO kwa sasa ikiwa matatani pamoja tatizo hilo liko Umoja wa Ulaya. Nchi nyingi sasa zina mitazamo tofauti ndani ya Umoja huo wenye nguvu zaidi duniani. Kwa sasa Hungary ambeye anashikilia kijiti cha Uenyekiti wa Umoja wa Ulaya anasimama badharani kuukosoa umoja huo. Utakumbuka miaka kadhaa hapa tumekua na Bri-Exit. Umoja wa Ulaya hauko kama ulivyokua.
Changamoto kubwa sasa kwa Umoja huo inatoka katika bara la ASIA hasa ukuaji wa China na pia muungano wa BRICS+. Hivi karibuni walikua wanataka kuongeza kodi kwenye bidhaa za magari ya umeme kutoka china kwa hadi 100% kuna nchi ziliunga mkono hoja, kuna nchi zilipinga na kuna nchi zilijizuia kupiga kura. Kwa mpasuko huu nani atawaokoa?
Lakini Urusi pia imekua na changamoto kubwa kwa Umoja huo lakini kuna namna wamekubaliana kuishi naye. Wasichoweza kukiri ni kwamba walikosea sana kutoendana na Urusi katika njia ya mazungumzo wakiamini katika kuisaidia Ukraine kupigana vita ya Umoja wa Ulaya na Urusi. Ukraine ametumikia kama "Proxy" tu. Kwa sasa tayari EU inaona vita hii ni ya muda mrefu na kwa yanayoendelea, huenda kwa vyovyote vita itavyoisha URUSI atakua na advantage.
Lakini uhalisia wa kwambakwa vyovyote vile Urusi atanufaika na vita hii ni ngumu kwa EU kukubali lakini wanahitaji kuzinduka na kuona tayari wanafikia ukikongoni katika kutoa msaada ambao Ukraine inautaka. Wataendelea kutoa msaada ambao bado sio suluhisho la mwisho kwa Ukraine.
Nguvu ya China na India zinaweza kusaidia EU na NATO kufichama na au Donald Trump anaweza wasaidia. Akichaguliwa, vita vya Ukraine vitaisha ndani ya muda mfupi sana.
NATO ilijisahau na kua na utegemezi wa Marekani kwa asllimia kubwa. Lakini katika kipindi cha Urais wa Donald Trump (2016-2020), NATO ilijikutq inaingia katika mzozo wa kibajeti na Marekani. Kwa sasa NATO inahofia kama Trump atashinda ni nini ataamua? Nchi nyingi za Ulaya kama Finland zinajaribu kwanza kujiimarisha zenyewe.
Mgogoro wa Ukraine kwa sasa ni kipimo cha uthabiti wa NATO lakini ingawa Ukraine sio Mwanachama wa NATO ilikua ni muhimu kuisaidia. Lakini mpka sasa ni kwamba ni kama NATO imetegwa. Hitaji la Ukraine ni kutumia Silaha za NATO na au kutoka washirika wa Umoja wa Ulaya lakini nchi zote hazina mtazamo sawa. Kuna baadhi zinaruhusu kama Finland na nyingine zinakataa kama Ujerumani. Na kuna tofauti kati ya nchi waanzilishi wa NATO na hawa waliojiunga karibuni. Nchi za mwanzo hasa kipindi cha kati ya 1970s-1990s zinatazama katika namna tofauti sana kwa kuhesabu hatua zilizobakia Ulaya kutumikia katika vita kamili na URUSI ambayo Warusi walikua wakijiandaa nago kwa muda sasa ila Ulaya bado ndio wameanza kujiandaa haswa kati ya 2022/23.
Tatizo la NATO ilikuwa ni kujitanua kusiko kua na nidhamu kinyume kitu ambacho marais werevu kama George HW Bush na Bill Clinton walijaribu kuzuia wakati huo na ukikukwaji miongozo na makubaliano ya mwanzo na labda kwa sababu waliidhafau Urusi hasa ya Boris Yelestin na Vladmir Putin.
Wakati NATO kwa sasa ikiwa matatani pamoja tatizo hilo liko Umoja wa Ulaya. Nchi nyingi sasa zina mitazamo tofauti ndani ya Umoja huo wenye nguvu zaidi duniani. Kwa sasa Hungary ambeye anashikilia kijiti cha Uenyekiti wa Umoja wa Ulaya anasimama badharani kuukosoa umoja huo. Utakumbuka miaka kadhaa hapa tumekua na Bri-Exit. Umoja wa Ulaya hauko kama ulivyokua.
Changamoto kubwa sasa kwa Umoja huo inatoka katika bara la ASIA hasa ukuaji wa China na pia muungano wa BRICS+. Hivi karibuni walikua wanataka kuongeza kodi kwenye bidhaa za magari ya umeme kutoka china kwa hadi 100% kuna nchi ziliunga mkono hoja, kuna nchi zilipinga na kuna nchi zilijizuia kupiga kura. Kwa mpasuko huu nani atawaokoa?
Lakini Urusi pia imekua na changamoto kubwa kwa Umoja huo lakini kuna namna wamekubaliana kuishi naye. Wasichoweza kukiri ni kwamba walikosea sana kutoendana na Urusi katika njia ya mazungumzo wakiamini katika kuisaidia Ukraine kupigana vita ya Umoja wa Ulaya na Urusi. Ukraine ametumikia kama "Proxy" tu. Kwa sasa tayari EU inaona vita hii ni ya muda mrefu na kwa yanayoendelea, huenda kwa vyovyote vita itavyoisha URUSI atakua na advantage.
Lakini uhalisia wa kwambakwa vyovyote vile Urusi atanufaika na vita hii ni ngumu kwa EU kukubali lakini wanahitaji kuzinduka na kuona tayari wanafikia ukikongoni katika kutoa msaada ambao Ukraine inautaka. Wataendelea kutoa msaada ambao bado sio suluhisho la mwisho kwa Ukraine.
Nguvu ya China na India zinaweza kusaidia EU na NATO kufichama na au Donald Trump anaweza wasaidia. Akichaguliwa, vita vya Ukraine vitaisha ndani ya muda mfupi sana.