NATO wasema wanafukuzana na wakati kuiwahi Urusi

NATO wasema wanafukuzana na wakati kuiwahi Urusi

Wewe mpaka leo hujajua Ukraine wanavyoitesa urusi? ukraine wana tabia ya kuwaacha urusi waingie katika miji halafu wanawazunguka na kuwarambisha mchanga., tokea vita imeanza habari ni hii wanayokumbana nayo russia, unaeza ona kijii kimetekwa kumbe wanasubiriwa wajazane, ndio mana urusi wamepoteza wanajeshi wao kama kumbikumbi mtindo nu huo sasa wanakodi makundi ya kigaidi wagner group, russia hana tena jeshi
Russia hana tena jeshi[emoji848][emoji848][emoji848]
 
successfully mkuu., Russia alivyojipanga alibugi sana alisema ataishughulikia Ukraine kwa 72hrs sasa inamkost mwaka 2 tena, budget yake imevurugwa kitambo sana, anapigana kwa hasara, vita ya siku 1 Russia inagaramika Euro 160 million, Urusi sasa amelazimika kukodi majeshi kwa vikundi vya kigaidi dhidi ya Ukraine jesh hana tena, kamaliza vijana wake, wafungwa magerezani na wanajeshi aliplan kuwapeleka mwanzo wote kwisha habar yao, urusi inaenda kuanguka raia wake wanahama nchi kutafuta maisha nchi nyengine
Kwa hio wanajeshi wa urusi walishakufa saa hizi wamegeuka mbolea kwenye udongo!
Ngoja zelensk skspande ngano kwenye makaburi ya warusi ili Dunia ipoze njaa.
JF kunachekesha
 
Kila siku naku hoji, hivi: Jeshi la Amerika liliwachukua muda gani kupigana na walima mpunga na wavaa sandals zilizo tengenezwa kutokana na mabaki ya matairi ya magari na matairi ya B-52 zilizo tunguliwa na hao hao WavietCong.

Jeshi la Amerika walipigana na wanamgambo hao kwa miaka 10 (kumi) na USA military walishindwa vibaya sana na kuabika kimataifa - angalia video clips zinazo onyesha WavietCong wakikaribia kuuteka mji wa Saigon in 1975 zipo kwenye search engines zote za mtandaoni - video zinaonyesha USA troops pamoja na majenerali wao cutting and running like mad with their tails between their legs, yaani unaona wazi wazi kwamba gallant VietCong troops were scaring a living daylights out of US five star Generals in VietNam never mind other ranks.

Nchi ndogo kabisa ya Yugoslavia iliwachukuwa NATO/USA miezi karibu minne kuishinda na hapo USA kama kawaida yake katumia mbinu zake za kikatiri "shock and awe" carpet bombing taifa dogo mabom mfururulizo bila huruma, wakaenda mbali na kutumia depleted Uranium kulipua Main battle TANKs huku USA ikijuwa wazi wazi kwamba mabom hayo ni hatari yana sambaza vumbi la mionzi ya Uranium hewani na aridhini na kudhuru raia/watu kiafya kwa miaka nenda rudi, nenda Serbia na Iraq utashuhudia watoto wanazaliwa vilema na watu wazima wanakufa kutokana na ugonjwa wa kansa unao sababishwa na vumbi la mlipuko wa ammutions tajwa hapo juu na USA wala hawajali na sijawahi kusikia UN au taifa lolote likipendekeza kuwaburuza mahakamani ma Rais Clinton na Bush kujibu war crime committed in Yugoslavia na Iraq kwa kutumia WMD (depleted Uranium) hipo kwenye kundi hilo.

Now back to the main point, nyinyi mnatujia hapa kila siku na stori za kushangaza eti "mbona inawachukuwa muda mrefu jeshi la Urusi kushinda vita in Ukraine" conveniently avoiding to mention muda Merikani iliyo upoteza ikipigana vita huko VietNam na kwingineko.

Tukiachana na aibu ya USA in VietNam fiasco, je, hawa NATO na USA wanao jifanya vifaru wa kutuniana misuri na Putin, mbona juzi juzi hapa walivurumishwa mkuku kutoka huko Afghanistan na wajukuu wa Mulla Omari baada ya USA Military kupoteza 20 years chasing shadows ie what did they achieve at the end of the day, nothing - need I say more??
Ila pale afganstan ni aibu isiyofutika milele
 
successfully mkuu., Russia alivyojipanga alibugi sana alisema ataishughulikia Ukraine kwa 72hrs sasa inamkost mwaka 2 tena, budget yake imevurugwa kitambo sana, anapigana kwa hasara, vita ya siku 1 Russia inagaramika Euro 160 million, Urusi sasa amelazimika kukodi majeshi kwa vikundi vya kigaidi dhidi ya Ukraine jesh hana tena, kamaliza vijana wake, wafungwa magerezani na wanajeshi aliplan kuwapeleka mwanzo wote kwisha habar yao, urusi inaenda kuanguka raia wake wanahama nchi kutafuta maisha nchi nyengine
Hii ndiyo athari ya media za ki-magharibi. Toka nje ya box uone uhalisia wa mambo ulivyo.
 
Back
Top Bottom