NATO wasema wanafukuzana na wakati kuiwahi Urusi

Russia hana tena jeshi[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Kwa hio wanajeshi wa urusi walishakufa saa hizi wamegeuka mbolea kwenye udongo!
Ngoja zelensk skspande ngano kwenye makaburi ya warusi ili Dunia ipoze njaa.
JF kunachekesha
 
Ila pale afganstan ni aibu isiyofutika milele
 
Hii ndiyo athari ya media za ki-magharibi. Toka nje ya box uone uhalisia wa mambo ulivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…