Natoa 50,000 Kwa mwenye Movie za korean Drama au English Season,1TB kwenda mbele

Natoa 50,000 Kwa mwenye Movie za korean Drama au English Season,1TB kwenda mbele

Hii biashara sio ya kuwekeza pesa nyingi, halaf si vema kurasimisha biashara ya hivi maana ni illegal, nashangaa watu wamejiachia kama vile ni halali.
Hii unatakiwa uifanye iwe ni side buz sio main.
 
Kwahio tangazo lako ni misleading / halijakamilika unataka series ambazo utauliza ni zipi kwanza, pili kipimo cha 1TB bila kusema quality husika huoni hapo pia ni misleading ? hapo unaweza kupata series nyingi zaidi au chache according to quality
Limekamilika,hata wewe ukienda dukani n lazima uangalie unataka kiatu cha rangi ipi na ipi,huwezi sema tu nataka kiatu bila kuchagua na kuki test pia.

series nimeshasema ziwe above 930TB ina maana kama ni pungufu ya hapo,hatuwezi fanya biashara kuhusu quality sidhani kama kuna mwenye series ya quality chini ya 720p.
 
Hii biashara sio ya kuwekeza pesa nyingi, halaf si vema kurasimisha biashara ya hivi maana ni illegal, nashangaa watu wamejiachia kama vile ni halali.
Hii unatakiwa uifanye iwe ni side buz sio main.
illegal kwa maana ipi mkuu? maana biashara zote nchini kabla yakuzianzisha lazima TRA wahusike kwenye maswala ya kodi,usajili,nk,hapo je kuna tatizo?

au unaongelea ruhusa toka kwa wamiliki wa movie husika mf:kina The rock na kampuni zao za usambazaji movie?
 
jurassic-world-fallen-kingdom-JW2_Adv1Sheet_Stampede_RGB_2_rgb.jpg
 
illegal kwa maana ipi mkuu? maana biashara zote nchini kabla yakuzianzisha lazima TRA wahusike kwenye maswala ya kodi,usajili,nk,hapo je kuna tatizo?

au unaongelea ruhusa toka kwa wamiliki wa movie husika mf:kina The rock na kampuni zao za usambazaji movie?
TRA wanakosa kodi kwasababu movie haziuzwi kihalali, kwa hiyo katika hiyo 1TB kuna kodi nyingi zingepatikana kama wanunuzi wangenunua copy genuine.
Walishafanya msako kipindi fulani cha Nape wakakamata zile DVD na mashine. kuna maduka yalifungiwa kwa kuikosesha kodi serikali.

Hiyo ndio tafsiri fupi.
 
TRA wanakosa kodi kwasababu movie haziuzwi kihalali, kwa hiyo katika hiyo 1TB kuna kodi nyingi zingepatikana kama wanunuzi wangenunua copy genuine.
Walishafanya msako kipindi fulani cha Nape wakakamata zile DVD na mashine. kuna maduka yalifungiwa kwa kuikosesha kodi serikali.

Hiyo ndio tafsiri fupi.
Nakumbuka hilo sanga sanga,lilisumbua sana watu
 
Habari zenu wana jamvi,nimekuja kwenu kwa wale wapenzi wa series za kikorea na zile za English nahitaji movie ONLY SERIES nina external ya ukubwa wa 1TB = 931GB nahitaji ijazwe Series,najua tabu na shda ya ku download movie hasa series hiivyo basi nimekuja kwenu na ombi ambalo limeambatana na kiasi cha sh.50,000 kwa ataefanikisha kunipatia SERIES.

Nahitaji series aina moja,kama ukinitafuta uwe na Korean drama za 1TB or English 1TB sitaki kuchanganya,kwa hivyo kama una external umeijaza SERIES tu za English zilizofika 1TB karibu PM. AU kama una series DRAMA zilizofika 1TB karibu PM.

sio lazima uwe na drama + na english HAPANA wewe uwe na moja kati ya DRAMA na ENGLISH muhimu tu ziwe zimefika ujazo wa 1TB kwenda mbele.

OFA yangu kwa atakaenipa hizo movie ni 50,000.

View attachment 1382829

OR

View attachment 1382830

kwa walo serious KARIBU pm tubadilishane namba na tujue tunakutanaje,Location yangu mimi ni DAR-ES-SALAAM.

Kwa wale wanaohitaji single movie NINAZO zilizojaaa HARD DISK ya 6TB karibuni,wale wateja wa wholesale TU.

1TB naweka kwa 50,000
2TB naweka kwa 100,000

Na kuendelea lakini pa i do MOVIE EXCHANGING tunabadilishana,unanipa hii nakupa hiii i also do that kwa mlio interested,Exchanging is Free japo itakupasa uje OFISINI.
oblivion unayo?? mi nataka moja moja
 
Habari zenu wana jamvi,nimekuja kwenu kwa wale wapenzi wa series za kikorea na zile za English nahitaji movie ONLY SERIES nina external ya ukubwa wa 1TB = 931GB nahitaji ijazwe Series,najua tabu na shda ya ku download movie hasa series hiivyo basi nimekuja kwenu na ombi ambalo limeambatana na kiasi cha sh.50,000 kwa ataefanikisha kunipatia SERIES.

Nahitaji series aina moja,kama ukinitafuta uwe na Korean drama za 1TB or English 1TB sitaki kuchanganya,kwa hivyo kama una external umeijaza SERIES tu za English zilizofika 1TB karibu PM. AU kama una series DRAMA zilizofika 1TB karibu PM.

sio lazima uwe na drama + na english HAPANA wewe uwe na moja kati ya DRAMA na ENGLISH muhimu tu ziwe zimefika ujazo wa 1TB kwenda mbele.

OFA yangu kwa atakaenipa hizo movie ni 50,000.

View attachment 1382829

OR

View attachment 1382830

kwa walo serious KARIBU pm tubadilishane namba na tujue tunakutanaje,Location yangu mimi ni DAR-ES-SALAAM.

Kwa wale wanaohitaji single movie NINAZO zilizojaaa HARD DISK ya 6TB karibuni,wale wateja wa wholesale TU.

1TB naweka kwa 50,000
2TB naweka kwa 100,000

Na kuendelea lakini pa i do MOVIE EXCHANGING tunabadilishana,unanipa hii nakupa hiii i also do that kwa mlio interested,Exchanging is Free japo itakupasa uje OFISINI.
Mimi nataka uniweke TB2 kwa 60000
 
Back
Top Bottom