wanacho fanya simba ni ku- create 'mind game' ili kuwahadaa yangaa, jumatatu ndiyo utaujua ukweli kama kweli hao 'wazungu' wawili wame itilafiana…. kuna mchezo mchafu nachezwa apooo ….Mind game !Mnaendeleza utoto mpira wa Tanzania. Yaani wachezaji wa Yanga waathiriwe na bifu la Manara na Barbra? Mkifungwa fungweni tu wala hicho unachoongea hakihusoani na saikolojia ya wachezaji.
Sasa maneno yanaathiri vp wachezaji wa Yanga?Uwezo mdogo wa kufikiri.Unajua Pyschology kweli ww?
Labda haujui mind game. Mechi za Simba na Yanga huwa zinaanzia kuchezwa nje ya uwanja kabla ya kuingia uwanjani. Naposema nje ya uwanja namaanisha mambo ya hamasa, motisha, n.k hivi vyote vinafanywa kuwapa hari na morali wachezaji. Hili bifu la Manara kwa CEO wake lipo kimkakati zaidi haiingii akilini mpasuko utokee kuekea kwenye Derby. Hapa Yanga wanafubazwa tuMnaendeleza utoto mpira wa Tanzania. Yaani wachezaji wa Yanga waathiriwe na bifu la Manara na Barbra? Mkifungwa fungweni tu wala hicho unachoongea hakihusoani na saikolojia ya wachezaji.
Jidanganye na endelea kujitoa akili.Labda haujui mind game. Mechi za Simba na Yanga huwa zinaanzia kuchezwa nje ya uwanja kabla ya kuingia uwanjani. Naposema nje ya uwanja namaanisha mambo ya hamasa, motisha, n.k hivi vyote vinafanywa kuwapa hari na morali wachezaji. Hili bifu la Manara kwa CEO wake lipo kimkakati zaidi haiingii akilini mpasuko utokee kuekea kwenye Derby. Hapa Yanga wanafubazwa tu
Kama anahusika na kazi hizo atoe tamko.Mzee mpili ama