changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Nashauri uongozi wa Yanga, benchi la ufundi, wachezaji na mashabiki wa Yanga tusije kubweteka na mpasuko uliojitokeza Simba kwa maneno ya Haji Manara yanayosambazwa mitandaoni na kuacha kujipanga ipasavyo ili kushinda mechi ya tarehe 25.
Tuwaachie wenyewe hayo mambo na tujipange kimchezo ili tubebe kombe la FA hiyo jumapili. Kuachiwa video ya namna ile huku tukielekea kwenye Derby inaweza kuwa ni namna ya kuwafanya Yanga waone wameshaumaliza mchezo mapema sana na huku wapinzani wao wakawa wanaendeleza nguvu na mikakati na mipango ya ushindi kama vile hakijatokea kitu vile.
Tuwaachie wenyewe hayo mambo na tujipange kimchezo ili tubebe kombe la FA hiyo jumapili. Kuachiwa video ya namna ile huku tukielekea kwenye Derby inaweza kuwa ni namna ya kuwafanya Yanga waone wameshaumaliza mchezo mapema sana na huku wapinzani wao wakawa wanaendeleza nguvu na mikakati na mipango ya ushindi kama vile hakijatokea kitu vile.