Crispin Nyoni
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 413
- 90
He!Pole,tatizo hili limeanza lini?Nini rangi ya kinyesi chako?
Hodi chumba cha daktari JF!Shikamoo daktari.Nimekuja ninajiona nakunya mavi mengi kuliko kawaida.Je nina tatizo la afy?
Wiki 3, Nyeusi
hahaha watu wa JF humu!!!! tho i think ndugu yangu fuatilia milo yako ya hizi siku tatu utapata jibu...juice ya ukwaju,parachichi,kabichi ni mfano tu wa vyakula ambavyo husababisha hiko ulikolalamika(sorry siwezi kukitaja maana tasfida yako ulotumia ni noma):nono::yo:
Hodi chumba cha daktari JF!Shikamoo daktari.Nimekuja ninajiona nakunya mavi mengi kuliko kawaida.Je nina tatizo la afy?