Hodi chumba cha daktari JF!Shikamoo daktari.Nimekuja ninajiona nakunya mavi mengi kuliko kawaida.Je nina tatizo la afy?
Utakuwa unakula sana na kunywa maji wakati mmoja.Fuata utaratibu
Hodi chumba cha daktari JF!Shikamoo daktari.Nimekuja, ninajiona nakunya mavi mengi kuliko kawaida.Je nina tatizo la afya?
Ivi kumbe makande yanaweza nisaidia mimi nisie pata haja kubwa mara kwa mara?
Kama una kunya kawaida tu haina tatizo.
Ila kama una harisha hilo ni tatizo lingine.
Kuna watu wana pitisha week bila kunya na wana jisifia kwa kujiita "wazungu".
Kunya ni starehe,ukitoa mavi mengi sana kunaweza sababishwa na matatizo
katika mfumo wa mmeng'enyo wa chakula mwilini mwako. (Unacho kula ndicho unacho toa).
So kiasi kidogo sana kinabaki kujenga mwili,au una kula chakula ambacho chenyewe ni kama mavi
tayari (e.g ugali ulopikwa kwa unga wa kukoboa).
kama unakula sana lazima utakunya sana!