Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Ungeweka na gharama za huduma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Idea ipi tena maana Leo mitikasi za uduvi zimekubali atleast Leo nimetoka na faida ya 6000 mwanangu sio mbaya nipite riverside nikapige kimoko cha 4000Ndo nini hiki 😂 ... Huyu Bolotoba katoa idea nzuri afu akakimbiaaa, Pombe bhanaa 😂
Youth talk ... Ya YouTube au sio wewe uliyesema JanaIdea ipi tena maana Leo mitikasi za uduvi zimekubali atleast Leo nimetoka na faida ya 6000 mwanangu sio mbaya nipite riverside nikapige kimoko cha 4000
Kaka upwiru unakaba kooYouth talk ... Ya YouTube au sio wewe uliyesema Jana
Usiende riverside 😂
Dah mkuu dhambi ya kutamani kwa macho na kula zote ni Sawa sawa bora Nikale tuYouth talk ... Ya YouTube au sio wewe uliyesema Jana
Usiende riverside 😂
Sijui mkuu, anapotea na kurudi saa zingne nawaza usikute ni bichwa komwe maake comment zao zinafananOya hivi braza CHOGO yuko wapy
Ila madhara hayafananiii ... 😂Kaka upwiru unakaba koo
YDah mkuu dhambi ya kutamani kwa macho na kula zote ni Sawa sawa bora Nikale tu
😂linanesa kama KITENESI
huduma hiyo siitaki acha nibak na ushamba wangu.Je massage ya body to body ipo na ni bei gani?
Nime uliza kwa niaba ya 007 Vishu Mtata a.k.a boyka wa vikindu, mwenye nyumba uchwara Half american na wachaga wa daslam kina Mpaji Mungu na MIN-me
Mi mwenyewe siwezi, naweza piga ukunga 😂🤣huduma hiyo siitaki acha nibak na ushamba wangu.
ukunga kazi auMi mwenyewe siwezi, naweza piga ukunga 😂🤣
we mbwa tusalimianez isiwe Kama wote tuli lewa Jana.ukunga kazi au
We chizi niniwe mbwa tusalimianez isiwe Kama wote tuli lewa Jana.
We boya uta pasuka, jichanganye uishie kupostiwa na mishumaaWe chizi nini