Natoa milioni 3 kwa kijana aliyeko Dodoma

Mimi mwenyewe Nina wasiwasi na mtoa post.
Hata ID yake imekaa kiujanja ujanja tu ili wazembe wa kufikiri waingie kingi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwaiyo we umefurahia kupata cv
 
Mkuu Asante kwa hiyo fursa nakutafuta
 
Wew jamaa ni hatari sana
 
Binafsi nilishawahi onana na jamaa yupo peace sana, sababu alinisaidia kupata nilichokuwa nahitaji. Mengine ni siri ya mtu ila kama kuna mtu anahitaji msaada huo na yupo na wazo la biashara changamkia fursa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…