Natoa posa!

<br />
<br />
Wewe acha kunizibia bana natoa ruksa toa picha. Halafu wewe nikikukamata?

Sasa hapo huoni kama unanitisha manake nitoe picha halafu unikamate ili unifanyeje?
 
<br />
<br />
Ha ha ha nitakujibu kwa PM hapa noma na sitaki kuharibu
 
<br />
<br />
Unanizibia ridhiki yangu ha ha ha we hebu acha uchokozi bana nini lkn
Basi samahanini ila nilikuwa najaribu kuepusha shari kwa bwana mdogo kaju manake atakapopigwa kombora wana jf tutalazimika kuahirisha shughuli za kila siku ili tukazike na matanga juu!
 
Hivi dearest hujui nafanya kazi hapa Kempiski??Nipo kaunta!!
Hahaha! nimecheka mpaka naogopa nimeamsha watu,we utakuwa mwanafunzi mzuri wa mama wa kwanza mambo ya mafiga matatu unavyotu-juggle rev,cpu na mie lol!
 
Hahaha! nimecheka mpaka naogopa nimeamsha watu,we utakuwa mwanafunzi mzuri wa mama wa kwanza mambo ya mafiga matatu unavyotu-juggle rev,cpu na mie lol!
Hahaha nafurahi umefurahi dearest ila punguza sauti dada jirani asikusikie akadhani una mgeni ndani wakati mwenyewe anakumendea!!!!

Sasa ntafanyaje wakati nawapenda???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…