Natoa posa!

Natoa posa!

Heee inamaana umenitosa uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii:A S cry::A S cry::A S cry::A S cry::A S cry::A S cry::A S cry::A S cry::A S cry::evil::evil:

Haaa naomba usikose kushiriki katika kupika pilau.
 
Dena,we kweli umeumbwa uwe lishemeji langu,maana na hili jina Kajuni,si unaona?
 
teh teh teh teh!!!!!!!!!!!!!!!! kweli mwenye dada hakosi shemeji!!!
 
We DENA wewe wewe wewe!!!
nakushangaa tena nakunukuu 'UTAMALIZA BUCHA ZOTE LAKINI NYAMA NI ILE ILE(ZOTE ZINATOA DAMU TENA NYEKUNDU)
leo hii yamekuwa hayo haya kesho usije na kilio humu ndani ooh nimetendwa naombeni ushauri nimemfumania karudi usiku .......
kila la kheri NAOMBA MSINISAHAU KAMATI YA VINYWAJI shem nimesha muomba nimekumbushia na kwako:israel:

Usilolijua ni sawa na usiku wa giza nene kama umetumbukizwa kwenye chupa ya pepsi
 
Back
Top Bottom