Natoa posa!

Natoa posa!

mi naona hapa ndo yale yale mambo naizimia avatar yake mmmhhhh!!!!!!!!!!:israel::israel:
 
jamani umenishindwa mie nisiyevaa kufuli je utamuwezaje yule Dena Amsi anayevaa kufuli, skin tight, bukta, kaptula na baibui juu?

hahahahahaha! Lol!
Lazima jasho limtoke kwenye kumvua baibui.
 
mi naona hapa ndo yale yale mambo naizimia avatar yake mmmhhhh!!!!!!!!!!<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/israel.gif" border="0" alt="" title="Israel" smilieid="207" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/israel.gif" border="0" alt="" title="Israel" smilieid="207" class="inlineimg" />
<br />
<br /
Hawezi kutoa posa bila kuonana
 
<br />
<br />
Kwa Kajuni nakuachia CPU mazima

Nashukuru DENA nafikiri LIZZY anataka kuniharibia kwani alinitaka mie si ndo nikataaaa. Mh LIZZY moyo wangu upo kwa D.
 
Nashukuru DENA nafikiri LIZZY anataka kuniharibia kwani alinitaka mie si ndo nikataaaa. Mh LIZZY moyo wangu upo kwa D.

Usiniambie wewe ndo Sipiyu......!!!Kweli yote ni ubatili mtupu!!
 
Nashukuru DENA nafikiri LIZZY anataka kuniharibia kwani alinitaka mie si ndo nikataaaa. Mh LIZZY moyo wangu upo kwa D.
<br />
<br />
Hebu futa hii post bana nisije kosa watu wa kupika pilau
 
<br />
<br /
Hawezi kutoa posa bila kuonana

Jamani mbona hivo sie mpaka kutangaza ina maana uko tulisha toka zamani! Mhhh kweli nimeamini DENA wengi walikuwa kimya sasa roho zina wauma.
 
Jamani mbona hivo sie mpaka kutangaza ina maana uko tulisha toka zamani! Mhhh kweli nimeamini DENA wengi walikuwa kimya sasa roho zina wauma.
<br />
<br />
Wivu mwingi hakuna kuamgalia nyuma
 
jamani umenishindwa mie nisiyevaa kufuli je utamuwezaje yule Dena Amsi anayevaa kufuli, skin tight, bukta, kaptula na baibui juu?

havai ivo siku zote, ni zile siku za popobawa tu.
 
Naisubiri kwa hamu siku hiii! MOLA nijalie nitimize ndoto yangu ya kuwa na D all my life!!
 
Kumbe ehhh.....?

Mmmh
Jamani waifu haka kamzaha na wifiyo kasikuzingue, si unajua haka ka-pm kangu nilikafunga tangu nilivyokuvisha ile pete ya bati pale kanisa la majaribio
 
Back
Top Bottom