Natoa shahawa nyingi sana wakati wa tendo la ndoa

Natoa shahawa nyingi sana wakati wa tendo la ndoa

angalia usijepiga bao moja mimba ya watoto saba kama nguruwe.
hivi mkuu M.Melo matangazo humu ndani hatulipii??
 
Wakubwa nawasalimia. Mimi ni kijana wa kiume,nina miaka 25 bado Cjaoa na ctarajii kuoa kwa sasa kwa sababu binafsi.ni kwamba nikifanya ngono au tendo la ndoa huwa natoa manii nyingi sana kwa mahesabu ya harakaharaka naweza kujaza nusu ya ile condom na huwa natoa haraka nikiofia condom kupasuka na huwa naenda ndani ya dakika kumi na tano au zaidi na huwa napiga bao 6-7 baada ya kuchomoa na kuendelea tena,na hali ni ile ile imefika binti moja aniomba game eti ameambiwa na shogake eti najua kuwafanyia vizuri,na sasa na Ona hali hii inanipa shida na mimi cyo mtu wa sketi sana.sasa wadau hii imekaaje kiafya? Maana namwaga manii kama nakojoa jamani.naomba ushauri jamani
Usijali dogo, hata mm kaka ako nipo hvyo tena huwa natupia 30 minutes and above, na zikito sikuwa nyingi sana!!! So worry out
 
Hivi unajua kondom inauwezo wa kubeba lita 5 za maji..
Kijana usikute unakojolea mkojo kondom..
Unamapu****mb size gan ujaze kondom mara 7 kwenye game usituletee story za Pornooo!!
Embu oa alafu mke wako alete story eti mme wangu ananijazaga K kwa shahawa..
#Hizi Kiki Nyingine Ni Balaa
labda amuoe monicccca wa fj ndoo analetaga story za kuungua na shahawa ..........
 
yaani km unapiga bao saba na idadi ya shahawa haipungui inabidi uzitafutie wateja fanya biashara ww sio wa kawaida.muhim ziwe na uwezo wa kuzalisha basi hata ukijaza kisado poa tu
 
yaani km unapiga bao saba na idadi ya shahawa haipungui inabidi uzitafutie wateja fanya biashara ww sio wa kawaida.muhim ziwe na uwezo wa kuzalisha basi hata ukijaza kisado poa tu

Nimeanza kubadilisha mlo
 
Unakula vyakula gani kwa mfano?

Mvinyo mwekundu,chaza na pweza,tangawizi,tikitiki maji,parachichi,vanila,blueberry,mtini au figs,karanga,vitunguu saumu,ndizi,chocolate,mbegu za matunda kama mboga,tikitiki,pamoja na nazi mbata.nashukuru mzee wangu ni mkulima mkubwa sana kwa hiyo nayapata kwa urahisi sana.
 
yaani km unapiga bao saba na idadi ya shahawa haipungui inabidi uzitafutie wateja fanya biashara ww sio wa kawaida.muhim ziwe na uwezo wa kuzalisha basi hata ukijaza kisado poa tu

Mkuu kuna dada nilimtia mimba mapacha watatu kwa bahati mbaya ikachomoka
 
Dunia ina mambo
Wengine hamna kitu,
Wengine wanazo nyingi hadi kero.
Kipi bora, uwe nazo au usiwe nazo?
 
Back
Top Bottom