Baby Nimah
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 719
- 833
Jamanii asanteni sana wale wote mlionisaidia na hata wale mlio nibeza mungu awabariki sanaaa
Leo asubuhi nilipata dharura kidogo nikawa sina pakuanzi kila niliye mtafuta kimya nikaona isiwe tabu ngoja niombe msaada kwa wanajamii
Bila kujali watanipokea vipi shida yangu ilikuwa vocha ya tsh 2000 mungu ni mwema kuna ambao walinitukana wengine walinifariji
NAOMBA NITOE SHUKRANI ZANGU ZA DHATI KWA WALE WOTE WALIO NISAIDIA NILIFANIKIWA
Msaada walio nipa kwangu Mimi ni mkubwa mnooo we unaweza sema kidogo lakini Mimi kwangu nikikubwa mnooo
Mungu awabariki sana [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
NB:hili sio jina langu wala Mimi sio huyo mnaye mzania mtusi mpunguze
Nitaongea na wakuu wanibadilishie
[emoji319][emoji319][emoji319][emoji319][emoji319][emoji319][emoji319][emoji319][emoji319][emoji319][emoji319][emoji319][emoji319]View attachment 977024
JAMANI NAOMBENI MSAADA WENU - JamiiForums
Leo asubuhi nilipata dharura kidogo nikawa sina pakuanzi kila niliye mtafuta kimya nikaona isiwe tabu ngoja niombe msaada kwa wanajamii
Bila kujali watanipokea vipi shida yangu ilikuwa vocha ya tsh 2000 mungu ni mwema kuna ambao walinitukana wengine walinifariji
NAOMBA NITOE SHUKRANI ZANGU ZA DHATI KWA WALE WOTE WALIO NISAIDIA NILIFANIKIWA
Msaada walio nipa kwangu Mimi ni mkubwa mnooo we unaweza sema kidogo lakini Mimi kwangu nikikubwa mnooo
Mungu awabariki sana [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
NB:hili sio jina langu wala Mimi sio huyo mnaye mzania mtusi mpunguze
Nitaongea na wakuu wanibadilishie
[emoji319][emoji319][emoji319][emoji319][emoji319][emoji319][emoji319][emoji319][emoji319][emoji319][emoji319][emoji319][emoji319]View attachment 977024
JAMANI NAOMBENI MSAADA WENU - JamiiForums