Nina biashara yangu ya kuuza viuongo, nataka mtu anaweza kudesign muonekano mzuri wa brand yangu kwa bidhaa zifuato
Tea masala : 100g
Black pepper: 500g
Garlic: 250g
Ginger: 250g
Cinnamon: 250g
Nataka logo iwe juu na jina la bidhaa chini la logo yakiwa makubwa kidogo alafu chini ni ujazo wa chupa.
weka sehemu ya barcode na maelezo ya bidhaa.
Unaweza kunitumia kazi yako hapa au ukacomment jina la account yako ya instagram nikaangalia kazi yako ili nikutafute mwenywe
Poor BrainNina biashara yangu ya kuuza viuongo, nataka mtu anaweza kudesign muonekano mzuri wa brand yangu kwa bidhaa zifuato
Tea masala : 100g
Black pepper: 500g
Garlic: 250g
Ginger: 250g
Cinnamon: 250g
Nataka logo iwe juu na jina la bidhaa chini la logo yakiwa makubwa kidogo alafu chini ni ujazo wa chupa.
weka sehemu ya barcode na maelezo ya bidhaa.
Unaweza kunitumia kazi yako hapa au ukacomment jina la account yako ya instagram nikaangalia kazi yako ili nikutafute mwenywe
Poor Brain huyuhuyu mwemyekiti wa wagombea vocha za sadakalawe?
Jina la logo unayotumia.?Nina biashara yangu ya kuuza viuongo, nataka mtu anaweza kudesign muonekano mzuri wa brand yangu kwa bidhaa zifuato
Tea masala : 100g
Black pepper: 500g
Garlic: 250g
Ginger: 250g
Cinnamon: 250g
Nataka logo iwe juu na jina la bidhaa chini la logo yakiwa makubwa kidogo alafu chini ni ujazo wa chupa.
weka sehemu ya barcode na maelezo ya bidhaa.
Unaweza kunitumia kazi yako hapa au ukacomment jina la account yako ya instagram nikaangalia kazi yako ili nikutafute mwenywe
Nishafika hapa ngoja tuone
ππππMkuu mybe nikupe short cv yangu...Poor Brain huyuhuyu mwemyekiti wa wagombea vocha za sadakalawe?
π Jamaa mtaalamu sana kwenye hiyo sectorPoor Brain huyuhuyu mwemyekiti wa wagombea vocha za sadakalawe?
Kwa faida ya ''UMMA wa kiepe'' ibwage mkuu.ππππMkuu mybe nikupe short cv yangu...
ππ Anakuchukulia powaππππMkuu mybe nikupe short cv yangu...
Mkuu ukiacha kuwa mtaalamu wa kuchukua mashangazi hapa jf na mtaani...Kwa faida ya ''UMMA wa kiepe'' ibwage mkuu.
Anajua mi ni mtu wa mashangazi tuuππ Anakuchukulia powa
Ukifanikiwa kutengeneza chai yenye harufu na ladha ya Tea Blenders ya miaka ya 1970s hadi 80s nitafute nikupe sokoNina biashara yangu ya kuuza viuongo, nataka mtu anaweza kudesign muonekano mzuri wa brand yangu kwa bidhaa zifuato
Tea masala : 100g
Anaziskani tu shwaaa... anaanza kutambaπ Jamaa mtaalamu sana kwenye hiyo sector
CEO wa mchongoππππMkuu mybe nikupe short cv yangu...