Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
ππππππππ Graphics design kutoka dodoma...mchongo
Mwenye kufanya kazi zake kwa bei ya kawaida sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππππ Graphics design kutoka dodoma...mchongo
Ninazo Mkuu sample nilishawahi kumfanyia Mama fulani Afisa wa TRA ni PM nikuoneshe sampleNina biashara yangu ya kuuza viuongo, nataka mtu anaweza kudesign muonekano mzuri wa brand yangu kwa bidhaa zifuato
Tea masala : 100g
Black pepper: 500g
Garlic: 250g
Ginger: 250g
Cinnamon: 250g
Nataka logo iwe juu na jina la bidhaa chini la logo yakiwa makubwa kidogo alafu chini ni ujazo wa chupa.
weka sehemu ya barcode na maelezo ya bidhaa.
Unaweza kunitumia kazi yako hapa au ukacomment jina la account yako ya instagram nikaangalia kazi yako ili nikutafute mwenywe
Ndo ukaongoza troop ya wapenda vocha za yule mama kule kwenye uzi uliondolewa baada ya majigambo kuzidiππππππππ Graphics design kutoka dodoma...
Mwenye kufanya kazi zake kwa bei ya kawaida sana
Pm if uko interestedNina biashara yangu ya kuuza viuongo, nataka mtu anaweza kudesign muonekano mzuri wa brand yangu kwa bidhaa zifuato
Tea masala : 100g
Black pepper: 500g
Garlic: 250g
Ginger: 250g
Cinnamon: 250g
Nataka logo iwe juu na jina la bidhaa chini la logo yakiwa makubwa kidogo alafu chini ni ujazo wa chupa.
weka sehemu ya barcode na maelezo ya bidhaa.
Unaweza kunitumia kazi yako hapa au ukacomment jina la account yako ya instagram nikaangalia kazi yako ili nikutafute mwenywe
Mkitumiwa mnaenda kuwapa watu wenu wanaprint toa hiyo hela udesiniwe utumiwe hadi upende ukabidhiwe hakuna kazi za bure labda watu wanaotaka kukusaidiaNina biashara yangu ya kuuza viuongo, nataka mtu anaweza kudesign muonekano mzuri wa brand yangu kwa bidhaa zifuato
Tea masala : 100g
Black pepper: 500g
Garlic: 250g
Ginger: 250g
Cinnamon: 250g
Nataka logo iwe juu na jina la bidhaa chini la logo yakiwa makubwa kidogo alafu chini ni ujazo wa chupa.
weka sehemu ya barcode na maelezo ya bidhaa.
Unaweza kunitumia kazi yako hapa au ukacomment jina la account yako ya instagram nikaangalia kazi yako ili nikutafute mwenywe
Anaenda kuprint humuoni tena
ππππππNdo ukaongoza troop ya wapenda vocha za yule mama kule kwenye uzi uliondolewa baada ya majigambo kuzidi
Wanatufanya sii wangese kuku hawa πππππAnaenda kuprint humuoni tena
Na mm ndo nilosababisha ule uzi kufutwa muulize mod atakuambiaππππππ
Daaah mbona sasa huo ni ukorofi mkuu π π
Wee jamaa ni hovyo kama lilivo jina lako anNa mm ndo nilosababisha ule uzi kufutwa muulize mod atakuambia
Haina shida maana ntakuwa miongoni mwa watanzania waliowahi shika Mtanzania mmoja kwenye mafanikio yakeAnaenda kuprint humuoni tena
Naelewa nimefanya hzi kazi miaka kibao unachukua hapa unapeleka kwa mtu wako anaeka logo yako kwishaumeelewa lakini, sample na na print vipi ambayo haina hata lego yangu
JishaueHaina shida maana ntakuwa miongoni mwa watanzania waliowahi shika Mtanzania mmoja kwenye mafanikio yake
Spread peaceβοΈ
Spread love π
Tushawafanyiaga wengi wenye idea yako mpe mtu hela ufanye kazi . Mdesugn naye wote hadi upendeNdo kwamba nimeshndwa kuchukua idea ya brand zingine alafu niweke logo yangu.