Natoa wito kwa Serikali kufanya uchunguzi kwenye Makanisa

Natoa wito kwa Serikali kufanya uchunguzi kwenye Makanisa

Shujaa Nduna

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2022
Posts
599
Reaction score
487
Serikali ianzishe uchunguzi wa makanisa yote na madhehebu ili kubaini yale yenye ukwasi mzito kwa kuwarubuni waumini kupitia jina la Yesu wayafungiye au walipe mapato.

Kama mmeweza kuruhusu makampuni ya michezo haramu ya kalyinda, crypto currency kwakuwa tu wamejisajili wakalipa ili wafanye usanii kwa njia inayoumiza wananchi basi natowa wito kwa makanisa na madhehebu mtakayobaini katika hali hiyo yawe yanalipa mapato au yafungwe.

Watu wanahitaji elimu,ushauri wa kisaikolojia na mafundisho ya kujenga imani si kuwakwanguwa hela tu.Nimemaliza by...
 
Nchi hii kuna wajinga wengi sana

Na wajinga ni fursa

Ova
 
Mbna kamanda siroo alishawai kuelekeza Hilo litanyike
 
Kalynda ni mchezo endelevu wa serikali YA kidhalimu inayopenda kuona wananchi wake wakiteseka kwa ugumu wa Maisha, pesa zote hizo zitataifishwa Na bank juu then mchezo unAishia hapo nahisi DECI mnaikumbuka vizuri nini kikitokea.
 
Back
Top Bottom