Natofautiana na wenzangu kuhusu suala la Katiba Mpya

Katiba mpya inampunguzia rais madaraka, na bunge litakuwa na madaraka zaidi ya kuwapitisha wateule wa rais. Naogopa asije tokea mwendawazimu akawa rais akamchagua mkewe, wanae, na ukoo wake mzima kwenye madaraka. Mmesahau Iddi Amin alitumia katiba mbovu ya Uganda kujifanyia anavyotaka?
 
Wakati mwingine ninapata wasiwasi na baadhi ya wanajamvi ni kama vile wana ajenda zao za siri,hili la sokomoko nalifananisha na lile la takukuru kujifanya inaleta mjadala wa kuwaoji wabunge kuhusu kupokea posho mara mbili,wakati mambo ya richmond yaeiva yako jikoni(bungeni) yanajadiliwa baada ya ripoti ya mwakemye,hii ilikuwa ni mbiunu chafu ya ccm na serikali kuwanyamazisha wabunge na kubadilisha muelekeo ili kutuliza mkasa wa richmondology,huyu mwenzetu ni kama ana lake jambo hatujamaliza hili la msingi ambalo liko mbeleyetu anataka kuleta danganya toto,hatudanganyiki tumekushtukia una lako jambo,kama unania ya kweli anza moja kisha mbili na sio moja na mbili kwa pamoja kwani yawezakukuponyoka yote mawili...............
 

Ishi...! Hujui au unajifanya maamuma, Katiba Ya Nchi ndo SHERIA MAMA na sheria zote zinatoka humo! Ukitaka kuangamiza mti, ng'oa mzizi wake mkuu siyo unachuma majani au matunda?

Umesahau kuweka ufamilia kwenye red! Maana hapa unawalenga CC-M!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…