Natokwa Damu Ukeni Na sio Hedhi

Natokwa Damu Ukeni Na sio Hedhi

Habari Wana JF.
Kwa majina naitwa Sara...
wiki Mbili zilizopita... yaani tar 21 Niliingia kwenye Mzunguko wangu wa hedhi kama kawaida, na Huu mzunguko haujawah yumba uko Constant...

Tarehe 27.. nilikutana na Mpenzi wangu Kimwili Na Baada ya kumaliza hapo Kichwa kiliniuma na baadae kdg Tumbo liliniuma sana, hasa Chini kidogo ya kitovu.. kesho yake maumivu yalipungua ila maajabu baada ya siku mbili DAMU ikaanza kutoka Ukeni... Na Leo ni siku ya 3 Damu inaendelea kutoka Na haina maumivu kabisa (Damu inatoka ukeni na Sihisi maumivu kama yale ya hedhi)..

Naombeni kama kunamtu aliewahipitia hii au Daktari anipe mwanga kidogo

AHSANTEN SANA
Njoo inbox
 
I usually do background checks....hivyo jamaa ni kijana below 24yrs
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu unachekesha sana mbona umekazania kijana sana
 
Pole ila binafisi naona kuingia trh 21 it means trh 25 ulitoka period, trh 27 bado ni mapema kulala na mwanaume . siko sure ila nahisi ile sehemu unakuwa bado unaumwa sasa kukutana na mwanaume, na mwanaume mwenyewe ukute ana mguu wa mtoto mhhhhh. Anyway mwone Dr.
 
Pole sana yawezekana una tatizo la insulin resistance,.kwani huwa hivi damu inaweza kutoka siku kadhaa ukaona kama imekata ila itaendelea kutoka hata kidogokidogo na wakat mwingine haijakolea inakua kama pink.kama ni hivyo basi nenda kwa doct wa wanawake yawezekana una shida hiyo ambayo husababishwa na hormonial imbalance
Habari Wana JF.
Kwa majina naitwa Sara...
wiki Mbili zilizopita... yaani tar 21 Niliingia kwenye Mzunguko wangu wa hedhi kama kawaida, na Huu mzunguko haujawah yumba uko Constant...

Tarehe 27.. nilikutana na Mpenzi wangu Kimwili Na Baada ya kumaliza hapo Kichwa kiliniuma na baadae kdg Tumbo liliniuma sana, hasa Chini kidogo ya kitovu.. kesho yake maumivu yalipungua ila maajabu baada ya siku mbili DAMU ikaanza kutoka Ukeni... Na Leo ni siku ya 3 Damu inaendelea kutoka Na haina maumivu kabisa (Damu inatoka ukeni na Sihisi maumivu kama yale ya hedhi)..

Naombeni kama kunamtu aliewahipitia hii au Daktari anipe mwanga kidogo

AHSANTEN SANA
 
Pole ila binafisi naona kuingia trh 21 it means trh 25 ulitoka period, trh 27 bado ni mapema kulala na mwanaume . siko sure ila nahisi ile sehemu unakuwa bado unaumwa sasa kukutana na mwanaume, na mwanaume mwenyewe ukute ana mguu wa mtoto mhhhhh. Anyway mwone Dr.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwani panaumaga tukiwa hedhi?maana ulivyosema unakua bado unaumwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole sana yawezekana una tatizo la insulin resistance,.kwani huwa hivi damu inaweza kutoka siku kadhaa ukaona kama imekata ila itaendelea kutoka hata kidogokidogo na wakat mwingine haijakolea inakua kama pink.kama ni hivyo basi nenda kwa doct wa wanawake yawezekana una shida hiyo ambayo husababishwa na hormonial imbalance
Wasomi mmewaza mbali sana, hiyo dogo ndio mara ya kwanza anaona hiyo hali na hakuna shida nyingine. Antifibrinolytic agents zingemtosha kwa kuanzia kwa mtazamo wangu.
 
Back
Top Bottom