Huenda ikawa ni growing nail problem...hii hutokana na mwili kuongezeka uzito na size ....hasa kama huna mazoea ya kukata kucha halafu unavaa viatu mda mwingi...hii hufanya nyama kuziba njia ya kucha hivyo kujikuta kucha zikichimba ktk kuta za vidole hasa dole kubwa...hivi vidonda huwa si sana rahisi kupona...husababisha usaha...majimaji na wkt mwngne damu pia....Mimi nilipatwa na hili tatizo mwezi mei niliteseka mwezi mzima....lkn nilienda dispensary moja IPO pale kigogo mwisho nikafanyiwa operation ndogo kwa kung' oa sehemu ya ukucha iliyoathirika ili kuruhusu kidonda kupona ikiwa umeathirika zaidi ukucha mzima unaweza kutolewa na hata ukiota huwa dhaifu...gharama yake ni tsh. 20,000 kwa kidole kimoja pamoja na dawa...Ila utangolewa kwa interval ya siku mbili...maana changamoto kidogo...Mungu akutie nguvu mkuu utapona