drake_vamp
Member
- Dec 5, 2014
- 13
- 1
Naumba utatuzi ni siku ya tatu sasa tangu nifanye mapenzi kwa mara ya kwanza yaaan kutolewa bikra ila kuna vitu vya rangi ya damu vinavyoteleza vinatoka ukeni je ni kawaida kwa hii hali au sio kawaida, . Na kama sio kawaida je ni nini nifanye ili kuondokana na hii hali, .Asanteh