Natokwa na maji ya kuteleza yenye rangi ya damu sehemu za siri

Hili jukwaa sio la kufanya mzaha. Kugawanya kwa aina mbalimbali za majukwaa kuna mantiki yake.
Mzaha ukienea humu wenye shida zao watashindwa kupata msaada wanaostahili.

Watu wanaongea Utumbo na Mzaha tu! Kama hujui si kaa kimya! Watu wanakera sana!
 
Watu wanaongea Utumbo na Mzaha tu! Kama hujui si kaa kimya! Watu wanakera sana!

ukienda kwa dr ukamuambia nina tapika akikuuliza mara ya mwisho kusex ni lini UNAEZA HISI ANAKUTANIA
kumbe anakufanyia diagnosis kuna ma dr hapa wanafanya kazi TULIA
 
Tuma pm kwa mtu mmoja anaitwa Mzizi mkavu anasaidia sana watu humu.
 
Last edited by a moderator:
Jamii yetu kuna mahali imeteleza, ona huyu binti Mdogo kaingizwa kwenye ngono bila ufahamu wowote, na hana hata mtu wa karibu wa kumsaidia kulingana na matokeo baada ya kufanya ngono kwa mara ya kwanza.
Kwa vyovyote wala hakutumia condom kwa ajili ya kujikinga, sasa anatafuta elimu ya kupapasa, ikiwa ni elimu ambayo alipaswa kuanza kuisaka kabla hajajiingiza kwenye vitendo vya ngono. Ana miaka 16 sasa na tayari yuko kwenye maisha ya ngono. Pole sana mtoto.
Ova
 
Asanteh kwa ushauri kindege534
Ayo majimaji yangekua na vibonge bonge vyeupe, ningekushauri vingine. Lakin kwakuwa umesema yana vibonge vya damu inanipa shaka kdg.
Ila unafuu wake ni kwamba hakuna harufu mbaya. Harufu ingekuwepo tungesema mengine pia.
 
Last edited by a moderator:
Inaelekea ulifanywa bila kinga; kinachotoka ni sha hawa zilizomiminwa ndani yako.Huogopi virusi?
 

c uende hospitali??
 


Daah inasikitisha mnooo!:thumbup:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…