Natokwa na mvi kwenye ndevu bado mdogo

Your hair develops its color from melanocyte stem cells, which live inside the follicles. When your old hair falls out, the stem cells add melanocytes to new follicles — giving your hair its color. When the cells stop working, the follicles no longer develop pigment
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...kwani we hujui ukifikisha paap 18 tayari ni mtu mzima?

Sasa niambie una udogo gani?
Mm bado mdogo bana sijui mema wala mabaya. Hadi nifike 28
 
Awamu hii ya 5....Vijana wengi umri wao mdogo ila wamekua sana Bora wewe una mvi jamaa angu ndo ana 30 Ila Kipara balaa sasa kila siku 4 Saloon
 
Awamu hii ya 5....Vijana wengi umri wao mdogo ila wamekua sana Bora wewe una mvi jamaa angu ndo ana 30 Ila Kipara balaa sasa kila siku 4 Saloon
kweli mkuu heri mvi utapaka black ila kipara dawa yake kipara tu
 
Ahsante sana kwa ushauri mkuu. Kwetu hakuna mvi ki ivo hata mzee hana..
Una uhakika ni mzee wako?? Muulize vizuri bmkubwa, na uchunguze vyema hapo mtaani kwenu hakuna mzee ana midevu km ya mbowe??
 
Koto ni aina fulani ya miti ambayo huota sana huko India, ukienda maduka ya dawa asili utapata unga wake na mafuta pia, hivyo wewe nunua mafuta yake
Ahsante mkuu nitafuata ushauri wako barikiwa
 
Kama ziko 3 tafuta tindo uzitindue au zinyofolee mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…