Natongozwa na mpangaji mwenzangu


Hongera kwa kushinda nguvu za sheitwan. Huyo atakuwa na ukimwi anataka muondoke wengi, weka call & sms blocker kwe simu kama ni smart hutopata usumbufu, vile vile mueleze mkeo aelewe asije vunja ndoa yenu, anaweza kwenda kuharibu kwa mkeo kuwa ushatembea nae kumbe sio.
 
Tafuta mtu ambaye hajaoa mwenye "mdomo sukari" mpe namba ya huyo mwanamke amtongoze, baada ya wao kuanzisha mahusiano, fanya mpango wa kutambulishana. Hapo mchezo utakuwa umekwisha maana utakuwa ni shemeji kwake.
 
Hahaha
 
Tafuta mtu ambaye hajaoa mwenye "mdomo sukari" mpe namba ya huyo mwanamke amtongoze, baada ya wao kuanzisha mahusiano, fanya mpango wa kutambulishana. Hapo mchezo utakuwa umekwisha maana utakuwa ni shemeji kwake.
 
Dah watu mna maadili, mimi ningepita naye siku hiyohiyo ya kwanza.

Nikitongozwa na ke kuchomoa ni ngumu sana, beki zangu huwa hazikabi kabisaaaaa! Hazijui kukabia juu wala chini, zinajua kutazama tu hadi nyavu zikitikisika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…