Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu ni moja tu jambo km hilo mshirikishr mkeo, kama unaona ni kikwazo kwako kabsaaa ni vyema mshirikishe atakusaidia sn kuepukana na hiyo kero
Jamani kwa mwanaume au yeyote aliyepitia jambo hili anisaidie
Amshirikishe mke wampige chini huyu mama, huyu mama kimeo, either anataka umzalishe, akupe gonjwa, akuvurugie ndoa, kaathrika, ana ugonjwa wa kiakili...n.k. Huyu dada janga kaka, mblock kabisa namba yake, ukiona yazidi ripoti polisi, anaweza kukufanya hata mabaya huyu..hii kama ni kweli, usijekuwa unatupiga fix tu kaka...WATU WALIOKUWA WANAMWEKA MJINI CHANNEL ZAO ZIMEKATWA NA MAGU, SASA ANATENGENEZA LINK NYINGI ILI AKIKWAMA MUMSAIDIE, LEO UTAMUONA HANA SHIDA HATA GUEST ANAWEZA KULIPA YEYE LKN ANAJUA ZITARUDI TU.
POINT, HAPASWI KABISA KUMSHIRIKISHA MKE, NA HATA MWANAMKE UPATAPO AU KUKUTANA NA VITU KAMA HIVI SI VIZURI KUMSHIRIKISHA MWENZIO MAANA WENGINE HUPOKEA TOFAUTI, USHAHIDI NI MIMI MWENYEWE, Kuna rafiki wa mpenzi wangu alitaka nikamgegede, tena aliniita kwake nikamrekebishie TV yake, kweli nikaenda but kumbe haikuwa TV alitaka nikarekebishe papuchi, basi nikagoma na nikampa mkanda mpenzi wangu, aise, moto uliwaka, uliwaka na suluhisho nikaona tutemane tuMkuu awa;li ya Yote pole na Nakupa hongera sana kwa Ujasiri ulioufanya hasa kwa kuwa Mkweli na Muwazi na hata kudhirisha kuwa wewe Una Muheshimu Mke wako.
Awali ya yote hiyo imekuwa Mbinu Kuu siku hizi ya wadada au wanawake kujitongozesha na unapokataa huja na Gia hiyo ya kusema Mimi nitaonekanaje kama Mwanamke kukwambia hisia yangu kwako halafu unanikatalia. Wanaume wengi huanguka sana Wakisikia Kauli hiyo. Huingiwa na Huruma na mwisho wa siku Huingia huo Mtego na Mwishowe hufanya lile tendo kwa kisingizo kuwa ni Siri.... Mimi ni Mhanga wa Kutongozwa tena Sana na hizo ndiyo zimekuwa kauli zao....
Mkuu kwenye Hiyo Mbinu kwa huyo Mpangaji wako Kuna Yafuatayo ambayo unatakiwa Kuyaangalia.
Mkuu nina Imani kuwa katika hayo hapo Juu huyo Mpangaji wako ataangukia kwenye mojawapo.
- Kwa haraka Haraka Unaweza hisi kuwa Mke wako Anakujaribu Uaminifu wako Kupitia Changamoto hiyo ya huyo Mpangaji,.. Hii Itategemeana na mazoea waliyo nayo.
- Au, Mke wako hana mahusiano Mazuri na Huyo Mpangaji sasa anataka kumuonyesha kuwa anaweza Kumchukua Mume wake na baada ya kufanikisha utaone Kitakacho Tokea.
- Au Huyo Mpangaji amejiona mjinga kama uliishi Pale kabla ya Kuoa na umekuja Kuoa mwanamke mwingine ilihali yeye yupo Pale na ana Vigezo Vyote.
- Au Kweli alikukuwa anakuhitaji ila hukuonyesha initiative ya kumuapproach hivyo ameamua kuwa mkweli na inaweza kuwa ndivyo ilivyo.
Suluhisho,
Ngoja niishie hapo kwanza nitarudi baadae
- Usimwambie Mke wako Lolote linaoendelea na Usithubutu hata Siku Moja na Pindi Ukifanya hivyo Basi tarajia Ndoa yako Kuingiwa na Mgogoro Mkubwa kwa sabab umeitikia vikao zaidi ya Viwili bila kumhusisha Mkeo, sasa Ukimhusisha sasa hivi itakuletea matatizo Makubwa.
- Tafuta Nyumba Nyingine na Uhame hapo Mara Moja kama haupo Tayari kutimiza Matakwa ya huyo Mpangaji.
Nipe number yake.Jamani kwa mwanaume au yeyote aliyepitia jambo hili anisaidie jinsi ya kuliepuka. Suala lenyewe lipo hivi mimi nimeoa na ni miaka kama miwili hivi toka nioe, maisha yangu ya ndoa ninayafurahia kwasababu nilimpata mwanamke wa ndoto zangu yaani sijutii kuishi naye ingawa safari bado ni ndefu hivyo ni mapema kujihakikishia. Jambo linalonisumbua ni kuna mpangaji mwenzangu ambaye ni mdada flani hivi anamtoto mmoja na anakazi yake na kipindi nahamia pale nilimkuta.
Ni Dada ambaye alinionyeshea mashauzi sana kipindi napanga kwenye ile nyumba kitu ambacho kilipelekea kutokuwa na mazoea naye zaidi ya salamu tu basi. Kwa kipindi chote hicho cha takribani miaka miwili na zaidi sikubahatika kuomba namba yake ya mawasiliano na wala yeye hakuniomba mpaka hivi karibuni akawa ameniomba namba nikampa.
Siku moja baada ya kuniomba namba akanipigia akidai kwanini sijamjibu SMS yake wakati hakukuwa na SMS yoyote aliyonitumia, mimi nikamwabia sijaipata labda imefail kwahiyo nitumie tena ili niione akaniambia poa.
Akaanza na SMS ya kwanza samahani kama nitakukwaza, then akatuma SMS ya pili akisema, mimi ni binadamu, ninahisia, ninahitaji hivyo tafadhali naomba utimize haja ya moyo wangu kwani nimeteseka kwa miaka yote hiyo sijawahi kukwambia lakini uzalendo umenishinda, please don't let me down. Nikamrudishia, samahani kama nitakukwaza ila kiukweli sitaweza kufanya hilo unalohitaji.
Akaniambia, hivi unahisi nitajiskiaje mimi kama mwanamke kukuelezea hisia zangu then unanijibu hivyo, vipi nikikuona nitakuonaje na utanionaje, najua unamke wako lakini lengo langu si kuharibu ndoa yako, na nitaendelea kuitunza ile heshima tuliyokuwa nayo tangu awali. Nikamwambia kuwa mimi si mtu namna hiyo, imani yangu na maadili niliyolelewa hayaruhusu kitu hicho unachotaka kutoka kwangu, lakini pia naheshimu sana kiapo cha ndoa yangu.
Siku inayofuata akanitext kuwa anaomba nionane naye face to face, nikaona hiyo ndio itakuwa njia ya kumweleza ukweli kuwa anachofikiria hakitawezekana, kweli tukakutana akaniambia mambo mengi sana kuwa alinipenda toka siku ya kwanza kuniona, amevumilia sana kwa mda mrefu kwahiyo anaomba nimwelewe kwani itakuwa siri yetu, akasema ikibidi basi nimpe hata japo kwa siku moja tu yeye ataridhika.
Kiukweli nikamwambia anachopaswa kufanya ni kumwomba mungu amsaidie ili ampate mume kwani mimi ni mume wa mtu na siwezi kusaliti ndoa yangu then nikamuacha. Jana akanitext kuwa anaomba anione tena, nikaenda kumsikiliza akasema usiku wa Leo nimelala kwa raha sana kwani nilipoongea nawe nilifarijika na nilipofika nyumbani chupi yangu ilikuwa imeloa kabisa ingawa, naomba uniingizie japo kakichwa tu basi sitakusumbua tena.
Akasema kuna pafyumu ya wanaume nimekununulia hivyo nilikuita ili uje nikupe. Nikamwambia nashukuru kwa zawadi lakini samahai zawadi hiyo sitaipokea na usirudie kuingia gharama tena kwasababu unajiingiza hasara bure. Kwa kweli alionyesha kusikitika sana, lakini kuhusu ile pafyumu mimi niliingiwa na woga kwani nikahisi huenda akawa ameifanyizia madawa ili nikiitumia lengo lake lifanikiwe.
Basi nikaikataa na akalaumu kuwa nimekataa kumtimizia haja yake hata pafyumu ambayo ni zawadi tu naikataa! Basi mimi nikamwambia analolifikiria juu yangu hatafanikiwa hivyo asijisumbue. Lakini cha ajabu ameendelea kuwa kero kwangu kila Mara ananitumia SMS, ananipigia ingawa sipokei call zake, sasa sijui nitumie mbinu gani ili huyu Dada aachane na huo mpango wake wa kutaka kuninasa.
Mpe namba ya mke wako ndo dawa kabisa hiyo kaka hutosumbuliwa tena halafu usje ukalogwa ukatembea na huyo dada sio mzur kuwa na ww anatka ahalibu ndoa yako kwa vyovyote vile iwe kwa dawa au vingne pia,usishangae ajashindwa kwako akaanza kuharibu kwa mkeo ili muachane hivyo ni vyema ukampa no: mke wako na umueleze kabisa,fanya hivyo kama unaipenda ndoa yako, huyo dada hakupend hata kidogo isipo kuwa anaona wivu vile ww unavyomfanyia mkeo,kuwa makin sana hapo ikibid uhame na ubadilishe namba.Jamani kwa mwanaume au yeyote aliyepitia jambo hili anisaidie jinsi ya kuliepuka. Suala lenyewe lipo hivi mimi nimeoa na ni miaka kama miwili hivi toka nioe, maisha yangu ya ndoa ninayafurahia kwasababu nilimpata mwanamke wa ndoto zangu yaani sijutii kuishi naye ingawa safari bado ni ndefu hivyo ni mapema kujihakikishia. Jambo linalonisumbua ni kuna mpangaji mwenzangu ambaye ni mdada flani hivi anamtoto mmoja na anakazi yake na kipindi nahamia pale nilimkuta.
Ni Dada ambaye alinionyeshea mashauzi sana kipindi napanga kwenye ile nyumba kitu ambacho kilipelekea kutokuwa na mazoea naye zaidi ya salamu tu basi. Kwa kipindi chote hicho cha takribani miaka miwili na zaidi sikubahatika kuomba namba yake ya mawasiliano na wala yeye hakuniomba mpaka hivi karibuni akawa ameniomba namba nikampa.
Siku moja baada ya kuniomba namba akanipigia akidai kwanini sijamjibu SMS yake wakati hakukuwa na SMS yoyote aliyonitumia, mimi nikamwabia sijaipata labda imefail kwahiyo nitumie tena ili niione akaniambia poa.
Akaanza na SMS ya kwanza samahani kama nitakukwaza, then akatuma SMS ya pili akisema, mimi ni binadamu, ninahisia, ninahitaji hivyo tafadhali naomba utimize haja ya moyo wangu kwani nimeteseka kwa miaka yote hiyo sijawahi kukwambia lakini uzalendo umenishinda, please don't let me down. Nikamrudishia, samahani kama nitakukwaza ila kiukweli sitaweza kufanya hilo unalohitaji.
Akaniambia, hivi unahisi nitajiskiaje mimi kama mwanamke kukuelezea hisia zangu then unanijibu hivyo, vipi nikikuona nitakuonaje na utanionaje, najua unamke wako lakini lengo langu si kuharibu ndoa yako, na nitaendelea kuitunza ile heshima tuliyokuwa nayo tangu awali. Nikamwambia kuwa mimi si mtu namna hiyo, imani yangu na maadili niliyolelewa hayaruhusu kitu hicho unachotaka kutoka kwangu, lakini pia naheshimu sana kiapo cha ndoa yangu.
Siku inayofuata akanitext kuwa anaomba nionane naye face to face, nikaona hiyo ndio itakuwa njia ya kumweleza ukweli kuwa anachofikiria hakitawezekana, kweli tukakutana akaniambia mambo mengi sana kuwa alinipenda toka siku ya kwanza kuniona, amevumilia sana kwa mda mrefu kwahiyo anaomba nimwelewe kwani itakuwa siri yetu, akasema ikibidi basi nimpe hata japo kwa siku moja tu yeye ataridhika.
Kiukweli nikamwambia anachopaswa kufanya ni kumwomba mungu amsaidie ili ampate mume kwani mimi ni mume wa mtu na siwezi kusaliti ndoa yangu then nikamuacha. Jana akanitext kuwa anaomba anione tena, nikaenda kumsikiliza akasema usiku wa Leo nimelala kwa raha sana kwani nilipoongea nawe nilifarijika na nilipofika nyumbani chupi yangu ilikuwa imeloa kabisa ingawa, naomba uniingizie japo kakichwa tu basi sitakusumbua tena.
Akasema kuna pafyumu ya wanaume nimekununulia hivyo nilikuita ili uje nikupe. Nikamwambia nashukuru kwa zawadi lakini samahai zawadi hiyo sitaipokea na usirudie kuingia gharama tena kwasababu unajiingiza hasara bure. Kwa kweli alionyesha kusikitika sana, lakini kuhusu ile pafyumu mimi niliingiwa na woga kwani nikahisi huenda akawa ameifanyizia madawa ili nikiitumia lengo lake lifanikiwe.
Basi nikaikataa na akalaumu kuwa nimekataa kumtimizia haja yake hata pafyumu ambayo ni zawadi tu naikataa! Basi mimi nikamwambia analolifikiria juu yangu hatafanikiwa hivyo asijisumbue. Lakini cha ajabu ameendelea kuwa kero kwangu kila Mara ananitumia SMS, ananipigia ingawa sipokei call zake, sasa sijui nitumie mbinu gani ili huyu Dada aachane na huo mpango wake wa kutaka kuninasa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndiyo maana Manabii walioa wake wengi nyie mnabania tutabanana tu.
Ohooo! Delilah kakutana na Samsoni. Kinachofuata ni Sam kutobolewa macho... Kaka huyo mtoto naomba um divert kwangu asikuharibie ndoa yako bure... Mimi nitafanya kwa niaba yako, ila sambi zote utabeba wewe! 😀😀