Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aiseee hapo unatengeneza bomu la hatariiiiiJibu ni moja tu jambo km hilo mshirikishr mkeo, kama unaona ni kikwazo kwako kabsaaa ni vyema mshirikishe atakusaidia sn kuepukana na hiyo kero
Endelea na msimamo huo huo... shetan atakimbia mwenyewe!!! Zidisha maombi kwani huo ni mtihani mkubwa wa kiiman na uaminifu ktk ndoaJamani kwa mwanaume au yeyote aliyepitia jambo hili anisaidie jinsi ya kuliepuka. Suala lenyewe lipo hivi mimi nimeoa na ni miaka kama miwili hivi toka nioe, maisha yangu ya ndoa ninayafurahia kwasababu nilimpata mwanamke wa ndoto zangu yaani sijutii kuishi naye ingawa safari bado ni ndefu hivyo ni mapema kujihakikishia. Jambo linalonisumbua ni kuna mpangaji mwenzangu ambaye ni mdada flani hivi anamtoto mmoja na anakazi yake na kipindi nahamia pale nilimkuta.
Ni Dada ambaye alinionyeshea mashauzi sana kipindi napanga kwenye ile nyumba kitu ambacho kilipelekea kutokuwa na mazoea naye zaidi ya salamu tu basi. Kwa kipindi chote hicho cha takribani miaka miwili na zaidi sikubahatika kuomba namba yake ya mawasiliano na wala yeye hakuniomba mpaka hivi karibuni akawa ameniomba namba nikampa.
Siku moja baada ya kuniomba namba akanipigia akidai kwanini sijamjibu SMS yake wakati hakukuwa na SMS yoyote aliyonitumia, mimi nikamwabia sijaipata labda imefail kwahiyo nitumie tena ili niione akaniambia poa.
Akaanza na SMS ya kwanza samahani kama nitakukwaza, then akatuma SMS ya pili akisema, mimi ni binadamu, ninahisia, ninahitaji hivyo tafadhali naomba utimize haja ya moyo wangu kwani nimeteseka kwa miaka yote hiyo sijawahi kukwambia lakini uzalendo umenishinda, please don't let me down. Nikamrudishia, samahani kama nitakukwaza ila kiukweli sitaweza kufanya hilo unalohitaji.
Akaniambia, hivi unahisi nitajiskiaje mimi kama mwanamke kukuelezea hisia zangu then unanijibu hivyo, vipi nikikuona nitakuonaje na utanionaje, najua unamke wako lakini lengo langu si kuharibu ndoa yako, na nitaendelea kuitunza ile heshima tuliyokuwa nayo tangu awali. Nikamwambia kuwa mimi si mtu namna hiyo, imani yangu na maadili niliyolelewa hayaruhusu kitu hicho unachotaka kutoka kwangu, lakini pia naheshimu sana kiapo cha ndoa yangu.
Siku inayofuata akanitext kuwa anaomba nionane naye face to face, nikaona hiyo ndio itakuwa njia ya kumweleza ukweli kuwa anachofikiria hakitawezekana, kweli tukakutana akaniambia mambo mengi sana kuwa alinipenda toka siku ya kwanza kuniona, amevumilia sana kwa mda mrefu kwahiyo anaomba nimwelewe kwani itakuwa siri yetu, akasema ikibidi basi nimpe hata japo kwa siku moja tu yeye ataridhika.
Kiukweli nikamwambia anachopaswa kufanya ni kumwomba mungu amsaidie ili ampate mume kwani mimi ni mume wa mtu na siwezi kusaliti ndoa yangu then nikamuacha. Jana akanitext kuwa anaomba anione tena, nikaenda kumsikiliza akasema usiku wa Leo nimelala kwa raha sana kwani nilipoongea nawe nilifarijika na nilipofika nyumbani chupi yangu ilikuwa imeloa kabisa ingawa, naomba uniingizie japo kakichwa tu basi sitakusumbua tena.
Akasema kuna pafyumu ya wanaume nimekununulia hivyo nilikuita ili uje nikupe. Nikamwambia nashukuru kwa zawadi lakini samahai zawadi hiyo sitaipokea na usirudie kuingia gharama tena kwasababu unajiingiza hasara bure. Kwa kweli alionyesha kusikitika sana, lakini kuhusu ile pafyumu mimi niliingiwa na woga kwani nikahisi huenda akawa ameifanyizia madawa ili nikiitumia lengo lake lifanikiwe.
Basi nikaikataa na akalaumu kuwa nimekataa kumtimizia haja yake hata pafyumu ambayo ni zawadi tu naikataa! Basi mimi nikamwambia analolifikiria juu yangu hatafanikiwa hivyo asijisumbue. Lakini cha ajabu ameendelea kuwa kero kwangu kila Mara ananitumia SMS, ananipigia ingawa sipokei call zake, sasa sijui nitumie mbinu gani ili huyu Dada aachane na huo mpango wake wa kutaka kuninasa.
Hata ningekuwa mimi umeitwa bila kuniambia huo mziki wake lazima kinuke naye kwanini alienda au alijua wanaenda imba pambio huko au anapenda aache mambo ya kitoto hiyo namba wekwa black list baki hata akiitwa asiende akionja tu imekula kwake yaani ukiwa na mme au mke wenzio hawana ni mtihani kweli ila ukiwa na misimamo ya akili maisha yanaenda tu.Mkuu huyu Baba ameitikia Wito wa Vikao vya vya huyo mama zaidi ya Mara Mbili bila kumwambia mke wake huu usumbufu sasa akimshirikisha sasa hivi unajua moto wake?
Hivi unawasikia wanawake au Unawajua?
Tugawie namba yake tukuokoe. Atakusahahu baada ya siku 2.Ahsante lakini kumbuka nimeshamface lakini anakomaa
Walio wengi wakiitwa tu lazima aende ila wanawake kama hamtaki mtu hawezi hata kunusa yaani mwanamke anakwambia nipo free leo tuonane jitu midevu mwili mzima linaenda bila hata kuwaza labda huzani mapambioMoja kati ya watu watakaopata kivuli cha mwenyezimungu siku ya hukumu ni mwanaume aliyeitwa na mwanamke kwa tendo la zinaa akakataa kwa kuogopa kutenda dhambi.
Mi hata cha kukushauri sina....we mwanaume bwana.
Jamani kwa mwanaume au yeyote aliyepitia jambo hili anisaidie jinsi ya kuliepuka. Suala lenyewe lipo hivi mimi nimeoa na ni miaka kama miwili hivi toka nioe, maisha yangu ya ndoa ninayafurahia kwasababu nilimpata mwanamke wa ndoto zangu yaani sijutii kuishi naye ingawa safari bado ni ndefu hivyo ni mapema kujihakikishia. Jambo linalonisumbua ni kuna mpangaji mwenzangu ambaye ni mdada flani hivi anamtoto mmoja na anakazi yake na kipindi nahamia pale nilimkuta.
Ni Dada ambaye alinionyeshea mashauzi sana kipindi napanga kwenye ile nyumba kitu ambacho kilipelekea kutokuwa na mazoea naye zaidi ya salamu tu basi. Kwa kipindi chote hicho cha takribani miaka miwili na zaidi sikubahatika kuomba namba yake ya mawasiliano na wala yeye hakuniomba mpaka hivi karibuni akawa ameniomba namba nikampa.
Siku moja baada ya kuniomba namba akanipigia akidai kwanini sijamjibu SMS yake wakati hakukuwa na SMS yoyote aliyonitumia, mimi nikamwabia sijaipata labda imefail kwahiyo nitumie tena ili niione akaniambia poa.
Akaanza na SMS ya kwanza samahani kama nitakukwaza, then akatuma SMS ya pili akisema, mimi ni binadamu, ninahisia, ninahitaji hivyo tafadhali naomba utimize haja ya moyo wangu kwani nimeteseka kwa miaka yote hiyo sijawahi kukwambia lakini uzalendo umenishinda, please don't let me down. Nikamrudishia, samahani kama nitakukwaza ila kiukweli sitaweza kufanya hilo unalohitaji.
Akaniambia, hivi unahisi nitajiskiaje mimi kama mwanamke kukuelezea hisia zangu then unanijibu hivyo, vipi nikikuona nitakuonaje na utanionaje, najua unamke wako lakini lengo langu si kuharibu ndoa yako, na nitaendelea kuitunza ile heshima tuliyokuwa nayo tangu awali. Nikamwambia kuwa mimi si mtu namna hiyo, imani yangu na maadili niliyolelewa hayaruhusu kitu hicho unachotaka kutoka kwangu, lakini pia naheshimu sana kiapo cha ndoa yangu.
Siku inayofuata akanitext kuwa anaomba nionane naye face to face, nikaona hiyo ndio itakuwa njia ya kumweleza ukweli kuwa anachofikiria hakitawezekana, kweli tukakutana akaniambia mambo mengi sana kuwa alinipenda toka siku ya kwanza kuniona, amevumilia sana kwa mda mrefu kwahiyo anaomba nimwelewe kwani itakuwa siri yetu, akasema ikibidi basi nimpe hata japo kwa siku moja tu yeye ataridhika.
Kiukweli nikamwambia anachopaswa kufanya ni kumwomba mungu amsaidie ili ampate mume kwani mimi ni mume wa mtu na siwezi kusaliti ndoa yangu then nikamuacha. Jana akanitext kuwa anaomba anione tena, nikaenda kumsikiliza akasema usiku wa Leo nimelala kwa raha sana kwani nilipoongea nawe nilifarijika na nilipofika nyumbani chupi yangu ilikuwa imeloa kabisa ingawa, naomba uniingizie japo kakichwa tu basi sitakusumbua tena.
Akasema kuna pafyumu ya wanaume nimekununulia hivyo nilikuita ili uje nikupe. Nikamwambia nashukuru kwa zawadi lakini samahai zawadi hiyo sitaipokea na usirudie kuingia gharama tena kwasababu unajiingiza hasara bure. Kwa kweli alionyesha kusikitika sana, lakini kuhusu ile pafyumu mimi niliingiwa na woga kwani nikahisi huenda akawa ameifanyizia madawa ili nikiitumia lengo lake lifanikiwe.
Basi nikaikataa na akalaumu kuwa nimekataa kumtimizia haja yake hata pafyumu ambayo ni zawadi tu naikataa! Basi mimi nikamwambia analolifikiria juu yangu hatafanikiwa hivyo asijisumbue. Lakini cha ajabu ameendelea kuwa kero kwangu kila Mara ananitumia SMS, ananipigia ingawa sipokei call zake, sasa sijui nitumie mbinu gani ili huyu Dada aachane na huo mpango wake wa kutaka kuninasa.
Dah wanaume wengind wanakosa hzi chance afiu wana ambulia PUNYETO.....wewe leo unakuja humu kuleta hizoo dah wewe ni KILAZA CRITICAL LEVEL @100% aseeeeee hata kama dude lijali lililo oa na kupata watoto 4 haliwezii acha dagaa kama huyu aende maana yupo available..........
Kweli kabsa akupasie tenda ioOhooo! Delilah kakutana na Samsoni. Kinachofuata ni Sam kutobolewa macho... Kaka huyo mtoto naomba um divert kwangu asikuharibie ndoa yako bure... Mimi nitafanya kwa niaba yako, ila sambi zote utabeba wewe! 😀😀