Natongozwa na mpangaji mwenzangu

Natongozwa na mpangaji mwenzangu

Mkuu Ukiendelea na Msimamo huu na Ukaendelea kuishi hapo hapo kuna Mawili yatajitokeza.

  • Huyo Mpangaji Kubadili Techniques ya kukuapproach ikiwa ni pamoja na kukubali yaishe lakini atakuwa akikushirikisha kila jambo lake.
  • Au Kupata Pongezi kutoka kwa Mke wako kwa Kuushinda Mtego huu.

Nipo Hapa utakuja kunikumbuka.
Ahsante, Ingawa kuhama hapa itanigharimu coz ni nyumba ambayo wapangaji tupo watatu tu na hatuishi na mwenye nyumba so wapangaji tupo huru sana. But kama itabidi naweza kuhama
 
Pole kwa huo usumbufu unaopata,tafta nyumba nyingine uhame hapo,pia badili namba ya sim,jiepushe kukutana na Huyu mama katika mazingira tatanishi.
Ahsante ila kuhusu kubadili namba siwezi coz ni namba yenye connection kubwa katika mambo yangu. Labda kuhama nyumba ikibidi.
 
Inasikitisha sana...

Ila wewe mtoa mada ni sitaki nataka... Ni muda tu atakunasa sasa hivi...

Number umempa, unapata hadi muda wa kukutana nae...kwenye massage unachat ane.. Huna msimamo...



Cc: mahondaw
 
hahaha unadhani ukimwambia mkeo ndo utaaminika thubutuuu
umeokota dodo chini mwarobaini
 
Jamani kwa mwanaume au yeyote aliyepitia jambo hili anisaidie jinsi ya kuliepuka. Suala lenyewe lipo hivi mimi nimeoa na ni miaka kama miwili hivi toka nioe, maisha yangu ya ndoa ninayafurahia kwasababu nilimpata mwanamke wa ndoto zangu yaani sijutii kuishi naye ingawa safari bado ni ndefu hivyo ni mapema kujihakikishia. Jambo linalonisumbua ni kuna mpangaji mwenzangu ambaye ni mdada flani hivi anamtoto mmoja na anakazi yake na kipindi nahamia pale nilimkuta.

Ni Dada ambaye alinionyeshea mashauzi sana kipindi napanga kwenye ile nyumba kitu ambacho kilipelekea kutokuwa na mazoea naye zaidi ya salamu tu basi. Kwa kipindi chote hicho cha takribani miaka miwili na zaidi sikubahatika kuomba namba yake ya mawasiliano na wala yeye hakuniomba mpaka hivi karibuni akawa ameniomba namba nikampa.

Siku moja baada ya kuniomba namba akanipigia akidai kwanini sijamjibu SMS yake wakati hakukuwa na SMS yoyote aliyonitumia, mimi nikamwabia sijaipata labda imefail kwahiyo nitumie tena ili niione akaniambia poa.

Akaanza na SMS ya kwanza samahani kama nitakukwaza, then akatuma SMS ya pili akisema, mimi ni binadamu, ninahisia, ninahitaji hivyo tafadhali naomba utimize haja ya moyo wangu kwani nimeteseka kwa miaka yote hiyo sijawahi kukwambia lakini uzalendo umenishinda, please don't let me down. Nikamrudishia, samahani kama nitakukwaza ila kiukweli sitaweza kufanya hilo unalohitaji.

Akaniambia, hivi unahisi nitajiskiaje mimi kama mwanamke kukuelezea hisia zangu then unanijibu hivyo, vipi nikikuona nitakuonaje na utanionaje, najua unamke wako lakini lengo langu si kuharibu ndoa yako, na nitaendelea kuitunza ile heshima tuliyokuwa nayo tangu awali. Nikamwambia kuwa mimi si mtu namna hiyo, imani yangu na maadili niliyolelewa hayaruhusu kitu hicho unachotaka kutoka kwangu, lakini pia naheshimu sana kiapo cha ndoa yangu.

Siku inayofuata akanitext kuwa anaomba nionane naye face to face, nikaona hiyo ndio itakuwa njia ya kumweleza ukweli kuwa anachofikiria hakitawezekana, kweli tukakutana akaniambia mambo mengi sana kuwa alinipenda toka siku ya kwanza kuniona, amevumilia sana kwa mda mrefu kwahiyo anaomba nimwelewe kwani itakuwa siri yetu, akasema ikibidi basi nimpe hata japo kwa siku moja tu yeye ataridhika.

Kiukweli nikamwambia anachopaswa kufanya ni kumwomba mungu amsaidie ili ampate mume kwani mimi ni mume wa mtu na siwezi kusaliti ndoa yangu then nikamuacha. Jana akanitext kuwa anaomba anione tena, nikaenda kumsikiliza akasema usiku wa Leo nimelala kwa raha sana kwani nilipoongea nawe nilifarijika na nilipofika nyumbani chupi yangu ilikuwa imeloa kabisa ingawa, naomba uniingizie japo kakichwa tu basi sitakusumbua tena.

Akasema kuna pafyumu ya wanaume nimekununulia hivyo nilikuita ili uje nikupe. Nikamwambia nashukuru kwa zawadi lakini samahai zawadi hiyo sitaipokea na usirudie kuingia gharama tena kwasababu unajiingiza hasara bure. Kwa kweli alionyesha kusikitika sana, lakini kuhusu ile pafyumu mimi niliingiwa na woga kwani nikahisi huenda akawa ameifanyizia madawa ili nikiitumia lengo lake lifanikiwe.

Basi nikaikataa na akalaumu kuwa nimekataa kumtimizia haja yake hata pafyumu ambayo ni zawadi tu naikataa! Basi mimi nikamwambia analolifikiria juu yangu hatafanikiwa hivyo asijisumbue. Lakini cha ajabu ameendelea kuwa kero kwangu kila Mara ananitumia SMS, ananipigia ingawa sipokei call zake, sasa sijui nitumie mbinu gani ili huyu Dada aachane na huo mpango wake wa kutaka kuninasa.
Asa ww mda woote huo mkeo hujamueleza chchte tu? Me nahc kuna mazngira unayatengeneza ili akunase... So kam vp we kajinyakulishe tu ili akunyakue...

Mana kam kwel unaithamin ndoa yako bs walau ata tetesi tu mkeo angeshazipata kupitia kwako,
 
Hiyo namba ya huyo dada kwa nini usiizuie kwenye simu yako? Au badilisha namba ya simu.

Vv
Nimeshaizuia now but siwezi kubadili Namba yenye connection kubwa ya mambo yangu kisa kutongozwa, nitabadili ngapi endapo watajitokeza wengine.
 
ukimwambia mkeo ndo utakuwa umerikoroga,cha msingi daaah,patamu hapo! zamani ilikua ukimwambia mtu akukome alikua anakoma,sijui kwa siku hizi kwa kweli ebu mjaribu "NIKOME JIRANI NEXT TIME NITAKUPIGA MBELE YA MKE WANGU"
 
Asa ww mda woote huo mkeo hujamueleza chchte tu? Me nahc kuna mazngira unayatengeneza ili akunase... So kam vp we kajinyakulishe tu ili akunyakue...

Mana kam kwel unaithamin ndoa yako bs walau ata tetesi tu mkeo angeshazipata kupitia kwako,
Ndugu yangu umeoa? Mimi niliambiwa niishi na mwanamke kwa akili, kwani utajua muda sahihi wa kumshirikisha mkeo ila si kukurupuka jambo halijamaliza hata wiki unamwambia mkeo, labda nikuambie tu, mke wangu kwa sasa ni mjamzito na Mungu akijaalia atajifungua hivi karibuni so sitaki kumpa mawazo kwa sasa ingawa najua kuna siku nitamwambia coz ushahidi ninao.
 
Sasa kama umekataa unataka ushauri gani tena kwetu? Au tukwambie ukubali?. Are u serious kweli?. Au umejisikia kupost tu, we mtu mzima na akili zako na umesema hutaki sasa huyo mwanamke atakufunga na kamba?. Leta mada zenye tija hayo wanaulizaga kwenye magazeti ya kiu na uwazi.
 
Kawaida wasio na kucha ndiyo husikwa na upele..
 
Huwezi kumwambia mkeo jambo ambalo hujajiridhisha kuwa kitatokea nini, labda kama hujaoa ila kama umeoa usingekuwa mwepesi wa kunishauri nimwambie wife punde tu jambo kutokea, ingawa nimempa worning kuwa akiendelea naweza kumwambia wife.
wewe na mkeo sasa ni mwili mmoja
chagua moja kusuka au kunyoa
mwambie mkeo au kula mzigo
acha kulialia kama huyo dada anataka kukubaka
 
Kwa akili za wanawake, usikute wanatambiana kisaikolojia yaani huyu mpangaji na mke halali wa mlalamikaji. Dawa kubwa hapa ni kumwambia huyu mpangaji mwenziwe kuwa akiendelea kumtongoza itabidi amwambie/amshirikishe mkewe na kama ana akili huyu mpangaji lazima ataacha kujitongozesha na kumchukia jamaa zaidi na kupelekea yeye mwenyewe kuhama kwa haibu. Very simple.
 
Kumbuka alishaitwa mpaka kuonyeshwa jinsi Chupi ilivyolowa nakuombwa kuingiza kichwa tu.. Kipindi chote hicho hakuwahi kumwabia Mke wake leo hii akithubutu Kumwambia tu ndipo atakapojua Rangi halisi ya Mke wake. Kumbuka wana Miaka Miwili ya Ndoa.

Mgogoro unaweza kuanzia hapo mpaka Akashangaa... Kitendo cha kumintertain au kumpa Number tu that was very big Mistake,

Anayejua Mwanamke vizuri asithubutu kumshirikisha ajitahiti aidha kuhama hilo eneo au Kubadirisha namba za simu period
soma vzr ujumbe, hajaoneshwa jinsi chupi ilivyoloa....bali alitumiwa ujumbe wa simu!
 
Back
Top Bottom