Natongozwa na mpangaji mwenzangu

Natongozwa na mpangaji mwenzangu

pole sana kwa hilo na hongera pia ila mungu akusaidie ushinde zaid maan hyo Dada atakuharibia ndoa yako
 
Kama umepanga si uhame tu. Badilisha namba na mwambie mkeo. Naziona dalili za Shetani kuanza kukulainisha.
Duh abadilishe number kwa ajili ya mtaka dushe tu?, mimi hakuna ninachoheshimu number yangu ya simu, maana ni kila kitu kwangu
 
Mkuu weka picha yake angalau ya chura tuone
 
[emoji351] haya cheza singeli...nyonga kibaskeli...[emoji344] [emoji344] [emoji350]
 
Mkuu awa;li ya Yote pole na Nakupa hongera sana kwa Ujasiri ulioufanya hasa kwa kuwa Mkweli na Muwazi na hata kudhirisha kuwa wewe Una Muheshimu Mke wako.

Awali ya yote hiyo imekuwa Mbinu Kuu siku hizi ya wadada au wanawake kujitongozesha na unapokataa huja na Gia hiyo ya kusema Mimi nitaonekanaje kama Mwanamke kukwambia hisia yangu kwako halafu unanikatalia. Wanaume wengi huanguka sana Wakisikia Kauli hiyo. Huingiwa na Huruma na mwisho wa siku Huingia huo Mtego na Mwishowe hufanya lile tendo kwa kisingizo kuwa ni Siri.... Mimi ni Mhanga wa Kutongozwa tena Sana na hizo ndiyo zimekuwa kauli zao....

Mkuu kwenye Hiyo Mbinu kwa huyo Mpangaji wako Kuna Yafuatayo ambayo unatakiwa Kuyaangalia.

  • Kwa haraka Haraka Unaweza hisi kuwa Mke wako Anakujaribu Uaminifu wako Kupitia Changamoto hiyo ya huyo Mpangaji,.. Hii Itategemeana na mazoea waliyo nayo.
  • Au, Mke wako hana mahusiano Mazuri na Huyo Mpangaji sasa anataka kumuonyesha kuwa anaweza Kumchukua Mume wake na baada ya kufanikisha utaone Kitakacho Tokea.
  • Au Huyo Mpangaji amejiona mjinga kama uliishi Pale kabla ya Kuoa na umekuja Kuoa mwanamke mwingine ilihali yeye yupo Pale na ana Vigezo Vyote.
  • Au Kweli alikukuwa anakuhitaji ila hukuonyesha initiative ya kumuapproach hivyo ameamua kuwa mkweli na inaweza kuwa ndivyo ilivyo.
Mkuu nina Imani kuwa katika hayo hapo Juu huyo Mpangaji wako ataangukia kwenye mojawapo.

Suluhisho,

  1. Usimwambie Mke wako Lolote linaoendelea na Usithubutu hata Siku Moja na Pindi Ukifanya hivyo Basi tarajia Ndoa yako Kuingiwa na Mgogoro Mkubwa kwa sabab umeitikia vikao zaidi ya Viwili bila kumhusisha Mkeo, sasa Ukimhusisha sasa hivi itakuletea matatizo Makubwa.
  2. Tafuta Nyumba Nyingine na Uhame hapo Mara Moja kama haupo Tayari kutimiza Matakwa ya huyo Mpangaji.
Ngoja niishie hapo kwanza nitarudi baadae

Atawakimbia wangapi?
 
Mnampongeza huyu jamaa kwa lipi?

Mwanamke humtaki afu unampatia mawasiliano yako kwa lipi?
Tambua huyu ni mpangaji mwenzangu, na hakuna dalili zozote mbaya alizowahi kunionyesha hapo kabla kwahiyo sikuwa na haja ya kumnyima namba
 
Acha ulofa wewe.

Mwanamke humtaki alafu unamchekeachekea hivo.

Huo muda unaenda kupiga nae stori vichichoroni unaupata wapi kama sio unafiki? Mpaka hapo mnapoongelea huko vichochoroni tayari ushamsariti mkeo manana huwa humwambii. Fikiria kama mkeo anakukuta huko vichochoroni ama wewe umkute mkeo amebananishwa na njemba vichichironi.


Mwambie aje apige stori nyumbani kwako na mkeo akiwapo.

Wewe sema unamtaka ila inamwogooa mkeo.

Mwanaume humtaki mwanamke afu akusumbue? Landa uwe mwanaume suruali.
Ahsante, lakini kukutana naye na kumsikiliza kumenisaidia kujua kuwa ni kweli kadhamiria maana mara ya kwanza nilijua just ni utani
 
Majiran wanamambo asee mpaka bas, nyumba za kupanga zinavimbwanga hatar
 
Majirani wa kike taabu sana huku uswahilini........

3.jpg

Balaa lake sasa haliki
 
Hebu acha blah blah
Unafurahia kubembelezwa na mtoto wa kike [emoji23] [emoji23] [emoji23] ( maana ni wanaume wachache wanaotangozwa)
Kama kweli humtaki ungemwambia mkeo.
Huwezi kumwambia mkeo jambo ambalo hujajiridhisha kuwa kitatokea nini, labda kama hujaoa ila kama umeoa usingekuwa mwepesi wa kunishauri nimwambie wife punde tu jambo kutokea, ingawa nimempa worning kuwa akiendelea naweza kumwambia wife.
 
Hiyo namba ya huyo dada kwa nini usiizuie kwenye simu yako? Au badilisha namba ya simu.

Vv
 
mwanamke akikuamulia kukunasa mwanaume huna lolote..hata maombi hayasaidii..kitakachokusaidia ni mbio zako...usipotoshwe kuwa unakimbia udhaifu wako ila ndio njia pekee..endelea kupanga hapo na bila shaka utakuja kulalamika ndoa yako inayumba..
 
Back
Top Bottom