Natongozwa sana na wadada Instagram

Nahis mtoa mada na anae reply mada ni watu wawili tofauti
Wako kijiweni wanapeana zamu[emoji38][emoji38][emoji38]ni mawazo yangu lakini
Hamna kitu mule, James delicious wa jf uyu. Sio mwenzetu kabisa uyu.

kingereza Cha miez 2 kwa RAS SIMBA kwa ajili ya kuombea mikuyege kwa vibabu vitalii vya kizungu coco beach[emoji4]
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]mkuu mie nikiona umenijibu nafurahi maana najua nachambwa[emoji38][emoji38][emoji38]
Please grow up halafu muda wa kula huu naomba ule tafadhal
Chakula yake mbona inafahamika uyo,
Ni Moto na kilainishi TU keshashiba tayar[emoji2]
 
Hamna kitu mule, James delicious wa jf uyu. Sio mwenzetu kabisa uyu.

kingereza Cha miez 2 kwa RAS SIMBA kwa ajili ya kuombea mikuyege kwa vibabu vitalii vya kizungu coco beach[emoji4]
Hapa tunachambana na bangi, mtoa mada Yuko high, tumsubirini asubuhi akili ikirudi
 
Hamna kitu mule, James delicious wa jf uyu. Sio mwenzetu kabisa uyu.

kingereza Cha miez 2 kwa RAS SIMBA kwa ajili ya kuombea mikuyege kwa vibabu vitalii vya kizungu coco beach[emoji4]
It's all about symmetry and attractiveness, no chance.
 
Hamna kitu mule, James delicious wa jf uyu. Sio mwenzetu kabisa uyu.

kingereza Cha miez 2 kwa RAS SIMBA kwa ajili ya kuombea mikuyege kwa vibabu vitalii vya kizungu coco beach[emoji4]

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]naomba tumsamehe mkuu
Sio vzuri kubishana na wakaka wadada eti
Tutapata dhambi
Mimi sipo[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hapa tunachambana na bangi, mtoa mada Yuko high, tumsubirini asubuhi akili ikirudi
Uyu hatakiwi kupewa pumz,
Ni bampa to bampa mpk akaazimishe dictionary nyingine, Maana hii LAZIMA iishe misamiati leo[emoji2]
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]naomba tumsamehe mkuu
Sio vzuri kubishana na wakaka wadada eti
Tutapata dhambi
Mimi sipo[emoji38][emoji38][emoji38]
Uyu tumepigwa,
Hamna mwanaume apa.

Wenye kilainishi waliokaribu wakaokoe jahazi uko kwa mtoa mada[emoji2]
 
Uyu tumepigwa,
Hamna mwanaume apa.

Wenye kilainishi waliokaribu wakaokoe jahazi uko kwa mtoa mada[emoji2]

Tunajaza servers tuu za Max hapa
Naomba mjadala uishie hapa
Kuna mtu nshamtuma kwa mtoa mada ndo anaenda kumshughulikia
One man down!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…