Natongozwa sana na wadada Instagram

Natongozwa sana na wadada Instagram

Hapana, natoa tu ya moyoni. Hii account haipaswi kujuana na mtu yoyote humu ili kulinda image niliyonayo katika jamii.
Hivyo ondoa shaka
Anatoa stress mwenzenu, ukute home kishaumana mama Yoo kakamata DM za kutongozwa huko.
 
Kwaiyo ulitaka tufanyaje?

Tuwazuie hao wadada?
Tuanze na sisi kukufuata PM?
Au unatafuta mchuchu humu

Anyway lipia tangazo weka risiti alafu tutakupa maelezo zaidi

For more info call Binadamu Mtakatifu customercare 0900000000
 
Ngoja nimzamie piemu madam ntakuja kuleta mrejesho hapa si ndio eee
U look absolutely ridiculous, u obsiously must have a mental issue. Go and wash your cave, u don't even need to use soap in that area, just wash thoroughly every day and the only smells will be pleasant ones
 
Naona mtoa mada kaamua kuonesha UBABE kwenye Uzi kwa kuongea kingereza[emoji2]

Amenikumbusha enzi za hizo ofisi flani wabongo ndo walikua waongeaji mno,

Mwenyekiti siku akitaka kupunguza idadi ya maswali kikao kiwe kifupi zaidi,

Anaamua kuendesha kikao kwa kingereza[emoji2]
 
U look absolutely ridiculous, u obsiously must have a mental issue. Go and wash your cave, u don't even need to use soap in that area, just wash thoroughly every day and the only smells will be pleasant ones

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]relax bruh
Huku sio Instagram na kingereza chako cha kipuuzi
What the meaning of u u u
Pathetic!
Naona una-buy time huku JamiiForums
I think bundle ya Instagram limekushinda
Mpuuzi mmoja wewe
 
Back
Top Bottom