Sijui amekufwa nina miezi miwili nimempm na sijamuona tena online ebu mtafute jamani nimemmiss THivi yupo kweeliii
Ndiwooo
Sina namna ya kumpata zaidi ya humu JF.. We umesahau vile vivuli eeehhSijui amekufwa nina miezi miwili nimempm na sijamuona tena online ebu mtafute jamani nimemmiss T
We mkorofi sanaKwa nini lakini
Sina namna ya kumpata zaidi ya humu JF.. We umesahau vile vivuli eeehh
We mkorofi sana
Sinaga mieEeenh na kwenye no ulifuta eenh
Wife material wa kivuli...Jamaniii mbona unanisingizia dada akee shunie
Ujue me wife material wa mtu
Wife material wa kivuli...
Mfyuuuuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Niwaache na kivuli changu nampenda hivyohivyo mie
Salam zangu za kwanza zinifikie mimi mwenyewe kwa ID hii.
Salam zangu za pili zinifikie mimi mwenyewe kwa ID nyingine nilizonazo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo anayefichwa hivyooo daaah!!
Salam natuma...
1. Kiranga
Ujumbe: Yeye ni rafiki mzuri sana, nimefaidi madini yake sana.
2. Nguruvi3
Ujumbe: Jukwaa la GT limenifumbua mengi sana, asichoke kuandika...
3. Shadeeya
Ujumbe: aendelee kuwa mkarimu na tabia njema
4. Kasie
Ujumbe: Azidi kuzidisha mahaba kwa dadii
5. dark angel
Ujumbe: Maisha ni safari, tuzidi kusonga mbele.
Sawa dada[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Niwaache we dada nampenda mm jamani hivyohivyo tu
Siamini nachokiona! Mamdogo sipo kwny listSalamu zangu nazituma kwa wake wenzangu espy Thad Neybright miss chagga ladyfurahia Mzigua90
Ujumbe, mwaka 2019 sitaki kushea na mtu
Siwezi kuwasahau wakorea wenzangu Damushin Nifah @animas EMPTY na wengine hebu piteni na huku kidogo
Happy New Year nawapenda sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Salam zangu za kipekee ziwaendee wote wenye roho nzuri na upendo.ujumbe msichoke kutenda wema na kujali wenzenu japo binaadamu hawabebeki kama gunia la mbigiri.
Salam zangu za pili ziwaendee wale wote wenye roho mbaya,chuki na vijiba,ujumbe mtabana sana lakini tutatoboa tu kwa uwezo wa jalali.
Salam za tatu ziwafikie wale wote mnaonidai,ujumbe tutafutane kuanzia mwezi ujao watu wa mungu,huu mwezi mgumu kwa wote,tustahamiliane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa salamu zako na kunipa ujumbe.Heri ya mwaka mpya wana jamii watu wa maana na mitakataka yote
salam zangu za kwanza ziende kwa dada yangu Khantwe
ujumbe hata kama hujanialika mimi nitakula tu ubwabwa kwa jirani
salam zangu za pili ziende kwa espy ujumbe we nidanganye tu kama utanipenda maana sitaki kuambiwa ukweli
salam zangu za tatu zikufuate Thad ujumbe wewe tupange tu hata tukiwa kumi mimi sijalii sina habari leo nitakula wali na kachumbari
salam zangu za nne ziende kwa Mafikizolo we nilikwambia kama utanipenda vyote vilivyobaki nitacover
asilimia sabini ya mwili wangu umejaa maji asilimia 30 nakupenda wewe
salam zangu za tano ziende kwa Madame B ujumbe dodoma ukumbuke kinga kama mimi navyozikumbuka
salam zangu za sita ziende kwa Sweet16 ujumbe hata kwa pm nikumbuke japo najua namba yangu umefuta na ukaiblock
salam zangu za saba ziende kwa Sky Eclat ujumbe eti kisa babu
salam zangu za nane ziende kwa anayejiita Daby ahsante kwa kunifitinisha na dadaako poa poa tu
salam za tisa ziende kwa Evelyn Salt ujumbe we unajua deep and down kwamba nilijiunga ili nikupate ww
salamu zangu za kumi ziende kwa mpwa wangu Shunie ujumbe kazi yako niliiona na naikumbuka upo kama pele ujumbe uwe unawahi kulala ukue
salam zangu za kumi na moja ziende kwako ww
ujumbe tusiogope kufa mwaka huu kwani kufa kama kulala tu na makaburi kama matuta