Natuma salam na wewe njoo utume zako

Natuma salam na wewe njoo utume zako

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Niwaache na kivuli changu nampenda hivyohivyo mie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo anayefichwa hivyooo daaah!!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Niwaache we dada nampenda mm jamani hivyohivyo tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo anayefichwa hivyooo daaah!!
 
Salam zangu za kipekee ziwaendee wote wenye roho nzuri na upendo.ujumbe msichoke kutenda wema na kujali wenzenu japo binaadamu hawabebeki kama gunia la mbigiri.

Salam zangu za pili ziwaendee wale wote wenye roho mbaya,chuki na vijiba,ujumbe mtabana sana lakini tutatoboa tu kwa uwezo wa jalali.

Salam za tatu ziwafikie wale wote mnaonidai,ujumbe tutafutane kuanzia mwezi ujao watu wa mungu,huu mwezi mgumu kwa wote,tustahamiliane.

Sent using Jamii Forums mobile app


😂😂😂jumbe nzito hii
 
Heri ya mwaka mpya wana jamii watu wa maana na mitakataka yote

salam zangu za kwanza ziende kwa dada yangu Khantwe
ujumbe hata kama hujanialika mimi nitakula tu ubwabwa kwa jirani

salam zangu za pili ziende kwa espy ujumbe we nidanganye tu kama utanipenda maana sitaki kuambiwa ukweli

salam zangu za tatu zikufuate Thad ujumbe wewe tupange tu hata tukiwa kumi mimi sijalii sina habari leo nitakula wali na kachumbari

salam zangu za nne ziende kwa Mafikizolo we nilikwambia kama utanipenda vyote vilivyobaki nitacover
asilimia sabini ya mwili wangu umejaa maji asilimia 30 nakupenda wewe

salam zangu za tano ziende kwa Madame B ujumbe dodoma ukumbuke kinga kama mimi navyozikumbuka

salam zangu za sita ziende kwa Sweet16 ujumbe hata kwa pm nikumbuke japo najua namba yangu umefuta na ukaiblock

salam zangu za saba ziende kwa Sky Eclat ujumbe eti kisa babu

salam zangu za nane ziende kwa anayejiita Daby ahsante kwa kunifitinisha na dadaako poa poa tu

salam za tisa ziende kwa Evelyn Salt ujumbe we unajua deep and down kwamba nilijiunga ili nikupate ww

salamu zangu za kumi ziende kwa mpwa wangu Shunie ujumbe kazi yako niliiona na naikumbuka upo kama pele ujumbe uwe unawahi kulala ukue

salam zangu za kumi na moja ziende kwako ww
ujumbe tusiogope kufa mwaka huu kwani kufa kama kulala tu na makaburi kama matuta
Asante kwa salamu zako na kunipa ujumbe.
Huku Dodoma ni bata kuanzia juzi, jana na leo.
Na Usijali kuhusu kinga....nami nakumbuka


Ujumbe:
Nakupa siku 3 uje...usipokuja utakuta msaidizi wako kahamia kwangu.
 
Back
Top Bottom